Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Sasa yakomeshwe vp na mtu wameshamjuwa na hatuoni hatua hatua kwanza ichukuliwe hata ya kunyonga hao watu ndo iwe fundisho kwa wengine
Huko twitter kwa motto balaaa, huyo MTU anayeitwa mafwere ndio nani? Naona Watu wanatuma email kwenye Shule anayosoma binti yake huko South Africa
 
Muhusika namba moja huyo hapo kama kweli yuko serious.
{Copy and Pest}

WASIFU WA MKUU WA GENGE LA UHALIFU AMBALO LINATUHUMIWA KUTEKA,KUKAMATA,KUTESA NA KUUA WAKOSOAJI NA WAPINZANI WA SERIKALI YA CHAMA TAWALA CCM

Jina: Faustine Jackson Mafwele
Umri: miaka 47
Kabila : Mkerewe
Dini: Mkristo
Makazi : Mikocheni
Kazi: Afisa mwandamizi wa polisi
Cheo: Kamishina Msaidizi wa Polisi
Madaraka: Zonal Crime Officer
Tuhuma: Kuendesha genge la uhalifu dhidi ya binadamu.
Mawasiliano: +255 755 855 743
+255 787 922 913

1. ACP Faustine Mafwele kwa mara ya kwanza amethibitishwa hadharani na kutambuliwa na Edgar Edson Mwakabela (Sativa) kama afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye alitoa amri ya kubebwa kwake kisha kusafirishwa kwenda Arusha na katavi kupigwa risasi ya kichwa kabla ya kunusurika kuuawa.

2. ACP Faustine Mafwele amewahi kuwa OC-CID mwaka 2011-2015 wa kituo cha Polisi Arusha na baadae akawa RCO wa Mkoa wa Arusha

Wakati wa mauaji ya wanachama wa CHADEMA maandamano ya Arusha ya 04 January 2011 alikuwa OC-CID.

Wakati huo Faustine Mafwele akiwa na cheo cha ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi

Tarehe 05 January 2012 akiwa Mrakibu Msaidizi wa Polisi Faustine Mafwele alipigwa risasi na Jambazi Jijini Arusha kati ya majibizano ya risasi baina yake na Jeshi la Polisi,hata hivyo askari mmoja wa Jeshi la Polisi aliuawa kwa risasi na Mafwele aliendelea kutibiwa hospitali ya Seriani.

3.Amewahi kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya MKIRU yani Mkuranga, Kibiti, Rufiji.

4.katika kesi za watu wanaolalamika kwangu ndugu zao kutekwa, kupotea au kukutwa wameuwawa asilimia 90 wanamtuhumu ACP Faustine Mafwele kama mtu ambaye ndiyo mtekelezaji wa shughuli hizi mbaya.

5.ACP Faustine Mafwele amekuwa ni Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye hana madaraka makubwa sana ila anaogopwa hadi na viongozi wake wa Jeshi la Polisi kuanzia Kanda Maalum ya Dar es saalam hadi Makao Makuu ya Polisi,Dodoma

6.Kuna hisia ambazo hazijathibitishwa kuwa ni Penetrating Officer (PE) wa Idara ya Usalama wa Taifa ambaye anafanya kazi mbili kwa pamoja kiasi cha Viongozi wa Jeshi la Polisi kumuogopa wakiamini ni Mtu ambaye kazi zake zina baraka ya Idara ya Usalama wa Taifa.

7.Baada ya Kazi Maalum ya MKIRU (Mkuranga, Kibiti Rufiji) kumalizika akiwa kama Crime zonal Officer (ZCO) alihamishiwa kwenda Kuwa RCO wa Mkoa wa Mwanza

Huko Dunia ilianza kufahamu ukatili wa ACP Faustine Mafwele baada ya 2021 Mzee William Sije kulalamika kuwa RCO Mafwele wa Mkoa wa Mwanza amemuua Mtoto wake James William Sije.

8.IGP Simmon Sirro alimuhamishia Mkoa wa Dar es Salaam kuja kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya Dar es saalam 06 April 2022 kwa kazi maalum dhidi ya Panya road na ujambazi wa kutumia Silaha.

9.Misheni na siri nyingi anazozijua ndiyo chanzo cha Viongozi wa Serikali ya CCM kumuogopa na kumlinda wakiamini anaweza kwenda kusema mambo mabaya zaidi anayoyajua.

Kupitia hoja hiyo, ACP Faustine Mafwele amelalamikiwa mara nyingi sana lakini Viongozi wizarani na serikalini wanamuogopa sana kuchukua hatua.

10. Mafwele pia anatuhumiwa na familia nyingi kama mtu ambaye ameshiriki mauaji kwa moja katika kuwapoteza ndugu wa baadhi ya familia zao
kupotea kwa

1.Mfanyabiashara Musa Mziba
2.Kupotea kwa Deo Mugasa
3.Kupotea kwa Adinani Hussein Mbezi
4.Kupotea kwa Vijana watano wa Aggrey
5.kutekwa na Kupigwa risasi kwa Edger Edson Mwakabela.
6.Faustine Mafwele na genge lake tarehe 22 August 2024 alituhumiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuhusika kwake ktk Kupotea kwa Kina Godwin Mlay,Deusdedith Soka na Frank Mbise

11.Katika kuonyesha jeuri na kuogopewa na wenzake ACP Faustine Mafwele amejipa ukiranja wa kuwa mwenyekiti wa Ma-RCO wa Jeshi la Polisi Tanzania tofauti na utamaduni wa Jeshi la Polisi ulio zoeleka wa Ma-RCO kuwa chini ya usimamizi wa DCI

12.Nimeona niweke kumbukumbu hizi vizuri na wasifu mfupi wa ACP Faustine Mafwele mjue kazi kubwa iliyopo mbele yetu kuhakikisha Faustine Mafwele anafikishwa mbele ya vyombo vya sheria na kujibu tuhuma zake

Bila kelele za kutosha hakuna Jambo litakalotokea kwa sababu nilizozitaja hapo juu

Boniface Jacob
Ex-Mayor Kinondoni & Ubungo
0712 239 595
The voice of the silenced Majority /
Kumbe ndio huyu?
 
Hivi Mafwele akiuawa kutokana na tuhuma hizi Boniface Jacob hatokuwa mshukiwa namba moja??Hivi watoto wake wakidhuriwa Bonoface Jacob atakuwa hajahusika?
Namshauri Mafwele amfingulie kesi boniface Jacob mara moja
Mafwele hawezi kufungua mashitaka popote hapa duniani, maana anajijua ni muhalifu, na akitia pua tu mahakamani ushahidi wa uhalifu wake uko wazi peupe. Kama huamini namba zake ziko hapo. Mpigie simu mshauri aende mahakamani, tena uzuri ni mahakama za ccm, chama hiki hiki kinachomtuma kuua wapinzani. Uoene kama atathubutu. Auye kwa upanga naye lazima auwawe kwa upanga.
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi ,amesema CCM kimekasirishwa sana na mauwaji ya aliyekuwa Mshauri wa CHADEMA Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe.

"Chama chetu kinaunga mkono kauli ya Rais wetu yakutaka uchunguzi wa haraka ufanyike, watuhumiwa wapatikane na hatua zichukuliwe. Rais ametoa kauli hile kwa ukali kabisa ameeleza wazi ambavyo amekerwa na jambo ambalo limetokea."Nchimbi

"Mimi binafsi ni waambieni tu nilipopata taarifa ya hule Msiba, Mbowe alinipigia simu zaidi ya mara tano najuwa atakacho niambia ni habari ya msiba imekuwaje najuwa kama chama tawala na wajibu anapo ongea hivyo ila ujasiri wa kupokea simu nilikosa"

"Na baadae nikamuandikia meseji nikamwambia nakuomba radhi jambo lile lilinivuruga sana nikashindwa kupokea simu yako"Nchimbi

Soma Pia: Dar: Ally Mohamed Kibao, kiongozi wa chadema auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Mh. Dkt Nchimbi na Mwenyekiti wanashindwa kuelewa upepo wa wananchi. Nadhani uwezo wao wa kufikiria umekuwa mdogo kiasi kwamba hawatambui na kuchambua. Nilitegemea Mh. Dkt Nchimbi na Dkt Samia cha kwanza ilikuwa kumuondoka IGP, Waziri wa mambo ya ndani halafu uchunguzi uendelee. Na hicho ndicho Mh. Mbowe anakitaka. Vingine hivi ni porojo tu. CCM yetu inaharibiwa na watu kutokufuata ushauri
 
Mbowe alimpigia simu Nchimbi mara tano? Kwa umuhimu upi na lengo gani? Kwa kutaka nini hasa?
 
Muhusika namba moja huyo hapo kama kweli yuko serious.
{Copy and Pest}

WASIFU WA MKUU WA GENGE LA UHALIFU AMBALO LINATUHUMIWA KUTEKA,KUKAMATA,KUTESA NA KUUA WAKOSOAJI NA WAPINZANI WA SERIKALI YA CHAMA TAWALA CCM

Jina: Faustine Jackson Mafwele
Umri: miaka 47
Kabila : Mkerewe
Dini: Mkristo
Makazi : Mikocheni
Kazi: Afisa mwandamizi wa polisi
Cheo: Kamishina Msaidizi wa Polisi
Madaraka: Zonal Crime Officer
Tuhuma: Kuendesha genge la uhalifu dhidi ya binadamu.
Mawasiliano: +255 755 855 743
+255 787 922 913

1. ACP Faustine Mafwele kwa mara ya kwanza amethibitishwa hadharani na kutambuliwa na Edgar Edson Mwakabela (Sativa) kama afisa mwandamizi wa Jeshi la Polisi Tanzania ambaye alitoa amri ya kubebwa kwake kisha kusafirishwa kwenda Arusha na katavi kupigwa risasi ya kichwa kabla ya kunusurika kuuawa.

2. ACP Faustine Mafwele amewahi kuwa OC-CID mwaka 2011-2015 wa kituo cha Polisi Arusha na baadae akawa RCO wa Mkoa wa Arusha

Wakati wa mauaji ya wanachama wa CHADEMA maandamano ya Arusha ya 04 January 2011 alikuwa OC-CID.

Wakati huo Faustine Mafwele akiwa na cheo cha ni Mrakibu Msaidizi wa Polisi

Tarehe 05 January 2012 akiwa Mrakibu Msaidizi wa Polisi Faustine Mafwele alipigwa risasi na Jambazi Jijini Arusha kati ya majibizano ya risasi baina yake na Jeshi la Polisi,hata hivyo askari mmoja wa Jeshi la Polisi aliuawa kwa risasi na Mafwele aliendelea kutibiwa hospitali ya Seriani.

3.Amewahi kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya MKIRU yani Mkuranga, Kibiti, Rufiji.

4.katika kesi za watu wanaolalamika kwangu ndugu zao kutekwa, kupotea au kukutwa wameuwawa asilimia 90 wanamtuhumu ACP Faustine Mafwele kama mtu ambaye ndiyo mtekelezaji wa shughuli hizi mbaya.

5.ACP Faustine Mafwele amekuwa ni Afisa wa Jeshi la Polisi ambaye hana madaraka makubwa sana ila anaogopwa hadi na viongozi wake wa Jeshi la Polisi kuanzia Kanda Maalum ya Dar es saalam hadi Makao Makuu ya Polisi,Dodoma

6.Kuna hisia ambazo hazijathibitishwa kuwa ni Penetrating Officer (PE) wa Idara ya Usalama wa Taifa ambaye anafanya kazi mbili kwa pamoja kiasi cha Viongozi wa Jeshi la Polisi kumuogopa wakiamini ni Mtu ambaye kazi zake zina baraka ya Idara ya Usalama wa Taifa.

7.Baada ya Kazi Maalum ya MKIRU (Mkuranga, Kibiti Rufiji) kumalizika akiwa kama Crime zonal Officer (ZCO) alihamishiwa kwenda Kuwa RCO wa Mkoa wa Mwanza

Huko Dunia ilianza kufahamu ukatili wa ACP Faustine Mafwele baada ya 2021 Mzee William Sije kulalamika kuwa RCO Mafwele wa Mkoa wa Mwanza amemuua Mtoto wake James William Sije.

8.IGP Simmon Sirro alimuhamishia Mkoa wa Dar es Salaam kuja kuwa Zonal Crime Officer (ZCO) wa Kanda maalum ya Dar es saalam 06 April 2022 kwa kazi maalum dhidi ya Panya road na ujambazi wa kutumia Silaha.

9.Misheni na siri nyingi anazozijua ndiyo chanzo cha Viongozi wa Serikali ya CCM kumuogopa na kumlinda wakiamini anaweza kwenda kusema mambo mabaya zaidi anayoyajua.

Kupitia hoja hiyo, ACP Faustine Mafwele amelalamikiwa mara nyingi sana lakini Viongozi wizarani na serikalini wanamuogopa sana kuchukua hatua.

10. Mafwele pia anatuhumiwa na familia nyingi kama mtu ambaye ameshiriki mauaji kwa moja katika kuwapoteza ndugu wa baadhi ya familia zao
kupotea kwa

1.Mfanyabiashara Musa Mziba
2.Kupotea kwa Deo Mugasa
3.Kupotea kwa Adinani Hussein Mbezi
4.Kupotea kwa Vijana watano wa Aggrey
5.kutekwa na Kupigwa risasi kwa Edger Edson Mwakabela.
6.Faustine Mafwele na genge lake tarehe 22 August 2024 alituhumiwa na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe kuhusika kwake ktk Kupotea kwa Kina Godwin Mlay,Deusdedith Soka na Frank Mbise

11.Katika kuonyesha jeuri na kuogopewa na wenzake ACP Faustine Mafwele amejipa ukiranja wa kuwa mwenyekiti wa Ma-RCO wa Jeshi la Polisi Tanzania tofauti na utamaduni wa Jeshi la Polisi ulio zoeleka wa Ma-RCO kuwa chini ya usimamizi wa DCI

12.Nimeona niweke kumbukumbu hizi vizuri na wasifu mfupi wa ACP Faustine Mafwele mjue kazi kubwa iliyopo mbele yetu kuhakikisha Faustine Mafwele anafikishwa mbele ya vyombo vya sheria na kujibu tuhuma zake

Bila kelele za kutosha hakuna Jambo litakalotokea kwa sababu nilizozitaja hapo juu

Boniface Jacob
Ex-Mayor Kinondoni & Ubungo
0712 239 595
The voice of the silenced Majority /
Mtu katili na hatari sana huyu
 
Mbowe alinipigia simu zaidi ya mara tano najuwa atakacho niambia ni habari ya msiba imekuwaje najuwa kama chama tawala na wajibu anapo ongea hivyo ila ujasiri wa kupokea simu nilikosa"

"Na baadae nikamuandikia meseji nikamwambia nakuomba radhi jambo lile lilinivuruga sana nikashindwa kupokea simu yako"Nchimbi
Huu ni uwongo!
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Dkt Emmanuel Nchimbi ,amesema CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya aliyekuwa Mshauri wa CHADEMA Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe.

"Chama chetu kinaunga mkono kauli ya Rais wetu yakutaka uchunguzi wa haraka ufanyike, watuhumiwa wapatikane na hatua zichukuliwe. Rais ametoa kauli hile kwa ukali kabisa ameeleza wazi ambavyo amekerwa na jambo ambalo limetokea."Nchimbi

"Mimi binafsi ni waambieni tu nilipopata taarifa ya hule Msiba, Mbowe alinipigia simu zaidi ya mara tano najuwa atakacho niambia ni habari ya msiba imekuwaje najuwa kama chama tawala na wajibu anapo ongea hivyo ila ujasiri wa kupokea simu nilikosa"

"Na baadae nikamuandikia meseji nikamwambia nakuomba radhi jambo lile lilinivuruga sana nikashindwa kupokea simu yako"Nchimbi

Soma Pia:
Futuhiiiiiiiii ndiyo ni FUTUHI.
 
Hivi Mafwele akiuawa kutokana na tuhuma hizi Boniface Jacob hatokuwa mshukiwa namba moja??Hivi watoto wake wakidhuriwa Bonoface Jacob atakuwa hajahusika?
Namshauri Mafwele amfingulie kesi boniface Jacob mara moja
Kwani Jackob amesema mafwele akipotea asiulizwe? Yule uvccm aliyesema wakiwapoteza watu polisi wasihangaike alichukuliwa hatua gani?
 

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi amesema chama hicho hakiwezi kuvumilia matukio ya utekaji na uvunjifu wa amani na hakitakubali.

Mbali na hilo, Dk Nchimbi ametaka vyama vya upinzani ikiwemo Chadema kuungana pamoja kukemea, kukataa kufarakanishwa juu ya matukio ya utekaji na amepuuza taarifa za mitandaoni zinazolenga kuwahusisha viongozi wa Chadema na utekaji, mauaji.

Pia, CCM imelaani tukio la kutekwa na kuuawa kwa Mjumbe wa Sekeretarieti ya Chadema, Ali Kibao kikisisitiza hilo halikubaliki.

Kibao alitekwa Septemba 6, 2024 na watu wenye silaha eneo la Kibo Complex, Tegeta jijini Dar es Salaam akiwa kwenye basi la Tashriff akienda nyumbani kwake mkoani Tanga.

Mwili wake uliokotwa siku iliyofuata eneo la Ununio, Dar es Salaam ukiwa umeharibika na inaelezwa uso wake ulimwagiwa tindikali.

"Mtu yoyote anayehatarisha usalama wa raia, anayeteka raia au kikundi chochote kinachohatarisha usalama kinaharibu taswira ya CCM," amesema.

Dk Nchimbi amesema hayo leo Ijumaa, Septemba 13, 2024 alipozungumza na wahariri na waandishi wa habari, ofisi ndogo za CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam.

Katika maelezo yake Dk Nchimbi amesema: "Tumemsikia Mwenyekiti wa Chadema, (Freeman) Mbowe akitoa mwelekeo wa chama chake kuwa kitachukua hatua. Nikiri Mbowe ni rafiki yangu, lakini Mbowe amefikishwa hapo na genge la utekaji?"

Dk Nchimbi amesema amekutana na Mbowe hivi karibuni katika hafla ya kumuaga aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi, Bakari Machumu: "Na Mbowe alinieleza juu ya suala la Kibao, kwa kumtazama Mbowe hahusiki na tukio hili la utekaji."

Snapinsta.app_459349757_878453977679787_5882357340535702904_n_1080.jpg
 
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dk. Nchimbi ameeleza kuwa CCM inaunga mkono kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa uchunguzi ufanyike ili kubaini wahusika.

Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na Wandishi wa habari leo Septemba 13, 2024 katika Ofisi ndogo za Chama Cha Mapinduzi Lumumba, Dar es salaam
 
Katibu mkuu umeupiga mwingi. Jinsi wafuasi wa Mbowe wanavyopingaga kila kitu sijui kama na hii kauli ya katibu mkuu wa CCM wataipinga..😄
Wewe unaungaunga mkono Kila kitu.

Sasa hapo huoni anawapiga dongo nyie wananadharia njama (Conspiracy theorists) mnaoshinda kuzua mitandaoni kuwa CHADEMA wanatekana wenyewe Kwa wenyewe na tuhumu zenu huwa mnazielekeza Kwa Mbowe?
 
Back
Top Bottom