Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Dkt Nchimbi: CCM imekasirishwa sana na mauwaji ya Ali Kibao na serikali iharakishe haraka uchunguzi na matukio yakomeshwe

Dk. Nchimbi ana hoja asikilizwe:

View attachment 3095065

Kwamba anakerwa mno na utekaji, huyu ni mwenzetu katika mapambano.

Tupeleke ujumbe (emissaries) kwake, 23 September tukawe timu kubwa.

Hoja tunayo:

"Uchunguzi huru ni kwa maslahi ya kila mtu wakiwamo CCM, Serikali na hata wanaotajwa tajwa kwa majina."
ni muhimu sana kama Taifa kuwa wastahimilivu na wenye subra wakati maagizo ya Mkuu wa nchi Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu uchunguzi wa kifo tata cha marehemu kamanda Ally Mohamed Kibao kiongozi mwandamizi wa chadema kilichotokea hivi karibuni pamoja na matukio mengine ya kihalifu....

Ni muhimu zaid tukawa wazalendo 🐒
 
Kwenye great thinkers haupo, unaamini maneno ya Nchimbi kirahisi rahisi tu!?,kabla ya yule mzee wa Tanga kuuawa juzi alikuwa wapi!?,uliwahi kumsikia!?,ndo maana kipindi cha COVID ulikuwa unalilia tuwekwe LOCKDOWN na thread zako zipo humu. Kama unamwamini Nchimbi na hizi ngonjera wahi kapimwe akili haraka sana..
 
ni muhimu sana kama Taifa kuwa wastahimilivu na wenye subra wakati maagizo ya Mkuu wa nchi Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu uchunguzi wa kifo tata cha marehemu kamanda Ally Mohamed Kibao kiongozi mwandamizi wa chadema kilichotokea hivi karibuni pamoja na matukio mengine ya kihalifu....

Ni muhimu zaid tukawa wazalendo 🐒
Hivi huwa kila post au thread mnaanzisha mnalipwa shilingi ngapi!?,Kuna muda nahisi hata mkikomenti mnashangaa komenti zenu zilivyokaa kichawachawa.. wewe, lukasi na choici.. pengine ni ID moja zote.
 
ni muhimu sana kama Taifa kuwa wastahimilivu na wenye subra wakati maagizo ya Mkuu wa nchi Dr. Samia Suluhu Hassan kuhusu uchunguzi wa kifo tata cha marehemu kamanda Ally Mohamed Kibao kiongozi mwandamizi wa chadema kilichotokea hivi karibuni pamoja na matukio mengine ya kihalifu....

Ni muhimu zaid tukawa wazalendo 🐒

Tu wazalendo mno.

Ninaamini hata Dk. Nchimbi akipelekewa mwaliko kwa maumivu aliyo nayo hatasita kuja.

Nani asiyekerwa vilivyo na genge linalofanya haya?

Ni Lucas Mwashambwa au nani wandugu?
 
Kulikoni kuwasemea?

Kumsikia mtu anachosema ukakubali inakugharimu nini?

Apelekewe mwaliko Dk. Nchimbi wa shughuli 23 Sep.

binti kiziwi, Tlaatlaah, johnthebaptist, Zawadini kuukataa udhwalimu ni jukumu letu sote.
udhalimu wa aina yoyote dhidi ya utu au uhai wa binadamu wengine hakubaliki hata kidogo...

ni muhimu sana kua wastahimilivu na wenye subra wakati vyombo vya ulinzi na usalama vikitekeleza maagizo y mkuu wa nchi field..

kuchochea chuki dhidi ya serikali na viongozi wake tena waandamizi waliochaguliwa na wananchi si sawa na sio ungwana hata kidogo,

lakini pia kuhamasisha fujo, uharibufu na kuhatarisha umoja, amani, usalama na utulivu wa wanainchi ni jambo lisilopaswa kuvumiliwa wala kufumbiwa macho hata kidogo...

hakuna sababu hata moja kuhamasisha watu waumizwe na pengine kupoteza maisha...

Ni muhimu sana kuungana na mh.Rais katika jitihada zake za dhati za kuliunganisha taifa na kuifungua nchi Kimataifa,

na ni vyema pia kuungana kwa masikitiko makubwa na SG wa CCM Dr Nchimbi kulaani na kukemea vikali matukio haya yasiyo ya kiungwana ya ukatli dhidi ya binadamu, kwa kukemea kauli za wanasiasa hasa vijana zinazoweza kuchochea chuki miongoni mwao na kusababisha uhasama na mambo mengine kama hayo 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hivi huwa kila post au thread mnaanzisha mnalipwa shilingi ngapi!?,Kuna muda nahisi hata mkikomenti mnashangaa komenti zenu zilivyokaa kichawachawa.. wewe, lukasi na choici.. pengine ni ID moja zote.
zingatia maelezo,
mihemko na makasiriko si muhimu sana kwenye kipindi kigumu kama hiki, tuungane pamoja kutokomeza uhalifu wa aina zote nchini 🐒
 
Kwenye great thinkers haupo, unaamini maneno ya Nchimbi kirahisi rahisi tu!?,kabla ya yule mzee wa Tanga kuuawa juzi alikuwa wapi!?,uliwahi kumsikia!?,ndo maana kipindi cha COVID ulikuwa unalilia tuwekwe LOCKDOWN na thread zako zipo humu. Kama unamwamini Nchimbi na hizi ngonjera wahi kapimwe akili haraka sana..

Joined 19 Apr 2020, posts 79; hizi ni zile zinazoitwa ID za kazi? Almaarufu ID za msaada?

Uliwahi kusikia wapi tukijiita ma thinker achilia mbali u great unaouongelea wewe?

Lockdown? Unajua walikufa wangapi mlipokuwa mnachuuza wajinga kwa nyungu?

Bure kabisa!
 
Tu wazalendo mno.

Ninaamini hata Dk. Nchimbi akipelekewa mwaliko kwa maumivu aliyo nayo hatasita kuja.

Nani asiyekerwa vilivyo na genge linalofanya haya?

Ni Lucas Mwashambwa au nani wandugu?
acha mzaha kwenye mambo ya msingi na mazito kwa mustakabali wa umoja, amani na tulivu wa wananchi Tanzania..

hapatakua na Maandamano ya aina yoyote nchini Tanzania mpka baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov. 27,2024...

kuhusu unachozungumzia nadhani ni muhimu tu kuzingatia maelekezo ya vyombo vya ulinzi na usalama, waneeleza vizuri zaid na kwa kina zaid...

nachelea tu kuwaasa vijana kama wewe brazaj kujiepusha kurubuniwa na magenge ya kihalifu na ukajikuta umevunjika kiuno au taya na ukashindwa hata baadhi ya maneno kwa mfano CCM unasema thithiemu...
au nimeumizwa utasema nimeumidhwaa, kwasababu ukasema kwathababu na mambo mengine kama hayo..🐒
 
acha mzaha kwenye mambo ya msingi na mazito kwa mustakabali wa umoja, amani na tulivu wa wananchi Tanzania..

hapatakua na Maandamano ya aina yoyote nchini Tanzania mpka baada ya uchaguzi wa serikali za mitaa Nov. 27,2024...

kuhusu unachozungumzia nadhani ni muhimu tu kuzingatia maelekezo ya vyombo vya ulinzi na usalama, waneeleza vizuri zaid na kwa kina zaid...

nachelea tu kuwaasa vijana kama wewe brazaj kujiepusha kurubuniwa na magenge ya kihalifu na ukajikuta umevunjika kiuno au taya na ukashindwa hata baadhi ya maneno kwa mfano CCM unasema thithiemu...
au nimeumizwa utasema nimeumidhwaa, kwasababu ukasema kwathababu na mambo mengine kama hayo..🐒

Kumpelekea mwaliko Dk. Nchimbi, CCM kwa ujumla ikiwamo wewe na Lucas Mwashambwa hakuwezi kuacha kuionyesha nia njema iliyomo kutoka kwetu kwa vitendo.

Kwamba tuko kwenye kudai uchunguzi huru?

Hudhani mwenye kupinga hilo labda ana mkono kwenye teka teka yenyewe?

Nchi hii itakombolewa na wenye moyo.

Apongezwe Dk. Nchimbi ameuonyesha moyo huo.

Itapendeza mno kukutana naye 23 Sep shughulini.
 
Tlaatlaah Nakuona una wayawaya baada ya kusikia tamko la KM.

Umeshasahau kabisa uliyokuwa unayahubiri the other day kabla ya tamko.

Vipi, vile vimaswali vyako na Kawaida na mbumbumbu wenzio hamtaki tena vifanyiwe kazi na vitumike kama lead kwenye uchunguzi? Kama umesahau nikukumbushe Mlikuwa mnasema hivi “Kwanini mnyika na Boni ndio wamekuwa wa kwanza kupata taarifa za utekaji na upatikanaji wa mwili “

Bendera fuata upepo naona umesharuka, unahubiri completely different thing from what you have been saying earlier!!

Mwanaume unakosaje Integrity? I dare you and your fellow comrades muendeleze kampeni yenu ya CDM ni watekaji na Boni na Mnyika wakamatwe sababu ilikuwaje taarifa zote wanazipata wao mwanzo!

Will you?
 
Tlaatlaah Nakuona una wayawaya baada ya kusikia tamko la KM.

Umeshasahau kabisa uliyokuwa unayahubiri the other day kabla ya tamko.

Vipi, vile vimaswali vyako na Kawaida na mbumbumbu wenzio hamtaki tena vifanyiwe kazi na vitumike kama lead kwenye uchunguzi? Kama umesahau nikukumbushe Mlikuwa mnasema hivi “Kwanini mnyika na Boni ndio wamekuwa wa kwanza kupata taarifa za utekaji na upatikanaji wa mwili “

Bendera fuata upepo naona umesharuka, unahubiri completely different thing from what you have been saying earlier!!

Mwanaume unakosaje Integrity? I dare you with your fellow comrades muendeleze kampeni yenu ya CDM ni watekaji na Boni na Mnyika wakamatwe sababu ilikuwaje taarifa zote wanazipata wao mwanzo!

Will you?
gentleman,
kua mstahimilivu na mwenye subra tafadhali, kwa maelekezo ya mkuu wa nchi vyombo husika vya kiusalama viko kazini na kazi kinaendelea...

kama taifa tutasonga mbele kwa kuzingati maelekezo ya viongozi waandamizi wa chama na serikali sikivu ya CCM,

na sio kurudi nyuma,
umeelewa gentleman this is how politics works🐒
 
Back
Top Bottom