Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni kawaida Kwa watu genius ila Huyu Mama Kwa Uongozi na delivery haijapata kutokea.
Anaupiga mwingi kaandikisha wafu,watoto,majina hewa ma kukata wagombea wa upinzani....utekaji,mauaji ya wapinzani na wakosoaji wake,shida ni diploma ya mzumbe na kiwango kidogo cha elimu aliyonayo.,ashukuru katiba mbovu ya ccm ilimteua kua raisi bila hivyo uraisi angeusikia bububu
 
Back
Top Bottom