Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuigeuza Tanganyika kuwa Zanzibar pia in terms of ajira na haki sawa .

IMG-20250226-WA0033.jpg
 

What the minister has given here are estimated costs and not the actual costs that are incurred after the roads are completed!! It’s the cost overruns that raise eyebrows when the final invoice is submitted!!
It will interesting to get the actual costs of the mwalimu Nyerere dam, the SGR railway and the Busisi bridge once they’re completed !
 
What the minister has given here are estimated costs and not the actual costs that are incurred after the roads are completed!! It’s the cost overruns that raise eyebrows when the final invoice is submitted!!
It will interesting to get the actual costs of the mwalimu Nyerere dam, the SGR railway and the Busisi bridge once they’re completed !
Wewe kima,hizo ni hela zilizotumika kugharia miradi ya Barabara zilizojengwa Kwa miaka 4 iliyopita km 1366.

Tafuta Kila mradi jumlisha utapata for individuals
 
Wewe kima,hizo ni hela zilizotumika kugharia miradi ya Barabara zilizojengwa Kwa miaka 4 iliyopita km 1366.

Tafuta Kila mradi jumlisha utapata for individuals
Wewe Sokwe, kabla ya kujibu lazima uelewe swali!! Tunataka kujua Makadirio
ya hiyo miradi na gharama zake halisi inapokamilika!! Hapo tunaweza kujua kama hizo cost overruns are justified au mnatuibia because of poor oversight.
Magufuli alikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa utekelezaji wa miradi unlike mama Kizimkazi anayengojea kuja kukata utepe tu! Ufuatiliaji wake yeye mwenyewe Magufuli ukiwafanya contractors wafanye kazi za viwango badala ya kulipua. Ma shule na za Habari Kweli mmejenga lakini quality yake ni substandard ; we don’t get value for the money spent!
Wewe Sokwe , tukiwaambia Kweli mnaishia kituita haters! Hiyo haitawasaidia.
 
Wewe Sokwe, kabla ya kujibu lazima uelewe swali!! Tunataka kujua Makadirio
ya hiyo miradi na gharama zake halisi inapokamilika!! Hapo tunaweza kujua kama hizo cost overruns are justified au mnatuibia because of poor oversight.
Magufuli alikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa utekelezaji wa miradi unlike mama Kizimkazi anayengojea kuja kukata utepe tu! Ufuatiliaji wake yeye mwenyewe Magufuli ukiwafanya contractors wafanye kazi za viwango badala ya kulipua. Ma shule na za Habari Kweli mmejenga lakini quality yake ni substandard ; we don’t get value for the money spent!
Wewe Sokwe , tukiwaambia Kweli mnaishia kituita haters! Hiyo haitawasaidia.
Wewe ni mbumbumbu wa mwisho,Kwa hiyo hizo gharama anazotaja Waziri anazitoa wapi?

Kama Magufuli alikuwa mfuatiliaji wa miradi Yale malalamiko ya wizi na dhuluma walizofanyiwa watu Kwa Bashite akiwa Mwenezi yalitoka wapi?

Mwisho mama anaweka mifumo na watu hahitaji kwenda site kuuliza mradi umepanda au umeshuka gharama ndio maana kuna CAG,PPRA,Kamati za Bunge, Taasisi tekelezaji nk.
 
Wewe Sokwe, kabla ya kujibu lazima uelewe swali!! Tunataka kujua Makadirio
ya hiyo miradi na gharama zake halisi inapokamilika!! Hapo tunaweza kujua kama hizo cost overruns are justified au mnatuibia because of poor oversight.
Magufuli alikuwa mfuatiliaji mzuri sana wa utekelezaji wa miradi unlike mama Kizimkazi anayengojea kuja kukata utepe tu! Ufuatiliaji wake yeye mwenyewe Magufuli ukiwafanya contractors wafanye kazi za viwango badala ya kulipua. Ma shule na za Habari Kweli mmejenga lakini quality yake ni substandard ; we don’t get value for the money spent!
Wewe Sokwe , tukiwaambia Kweli mnaishia kituita haters! Hiyo haitawasaidia.
Wewe chawa, I don’t expect you to like it!
 
Back
Top Bottom