Ndio maana nchi hii haiendelei kwasababu mnapeana vyeo kwa upendeleo! Wewe mshauri wa Rais Hujui tofauti kati ya actual and estimated costs?Wewe ni mbumbumbu wa mwisho,Kwa hiyo hizo gharama anazotaja Waziri anazitoa wapi?
🚮🚮Ndio maana nchi hii haiendelei kwasababu mnapeana vyeo kwa upendeleo! Wewe mshauri wa Rais Hujui tofauti kati ya actual and estimated costs?
Namba 1 👇👇Hata mimi sikutegemea kama angeweza yote hayo tena Rais, mwanamke. Anaweza kuwa Rais wangu wa 3 au 2 kwa ubora wa kwanza Nyerere. Kutegemea na atakavyo maliza kipindi cha pili. Kinacho mharibia ni mwendokasi sijui haambiwi.