Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Pre GE2025 Dkt. Nchimbi: Maendeleo aliyoleta Rais Samia kwa miaka 3 Madarakani ni kama miujiza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapa kuna muhtasari wa taarifa ulizotoa, ukionyesha kwamba kuna mwelekeo wa upotoshaji:

1. TanRoads:
- Inadai kwamba wamekamilisha zaidi ya kilomita 1,000 za lami.
- Inasema kuwa zaidi ya kilomita 3,700 zinaendelea na ujenzi, lakini hii inaweza kuwa na upotoshaji kuhusu kiwango halisi cha maendeleo.

2. Tarura:
- Inadai kujenga zaidi ya kilomita 800 za lami.
- Inasema kuwa zaidi ya kilomita 500 zinaendelea na ujenzi, lakini kunaweza kuwa na mashaka kuhusu usahihi wa takwimu hizi.
- Inatoa taarifa kwamba wamefungua maelfu ya vijiji kupitia barabara mpya za changarawe na madaraja.
- Bajeti ya Tarura inadaiwa kuongezeka kutoka bilioni 270 hadi bilioni 800, ambayo inaweza kuhitaji uthibitisho zaidi.

Taarifa hizi zinapaswa kufanyiwa uchunguzi ili kubaini ukweli wake.
Uchunguzi upi Sasa unataka wewe? Unajua Kuna watu akili zenu Zina shida sana.

Kama huamini hizi taarifa za Jumla si nenda tuu hapo Halmashauri Yako au Kwa diwani wako mwambie akupe Bajeti ya Tarura mwaka 2021 na Sasa.

Yaani hakuna mnachojua ila ubishi tuu wa kijinga.Kabla ya Samia Tarura ilikuwa Cha source Moja tuu ya hela ya Road Fund (30%) ndio ikawa hiyo Bilioni 272 Sasa hivi Kuna Tozo Bil.322 ,Jimbo (Central Government) Bil.153 na Hiyi Road Fund hapo unapata Jumla ngapi?

Yaani hiyi hapo Juu ni Bajeti tmrasmi Kila mwaka ila On top of that Kuna program kibao za Tarura eg RISE, TACTIC,DMDP 2 (WB),,Agri-Connect,Own Source (Halmashauri) nk

Ukweli ni kwamba mama ameleta mapinduzi ya miundombinu ya Mjini na Vijijini via Tarura haihitaji tochi huko huko mtaani kwako au Vijijini unaona au uliza wanavijiji nyie wa mjini hakuna kitu Wala shida mnajua walizokuwa wanapitia watu wa Vijijini

View: https://www.instagram.com/p/DC9zF_bt3Ol/?igsh=bDVzNnN4d292cHdi
 
How much AID does Tanzania get kutoka nje? Kwa taarifa Yako more than 3 percent? How does mama Samia anasaidia Wamama wajawazito? Program hizi zimekuwepo kabla yake na magufuli ndio alifungua huo Mlango Kwa kutoa exemption wewe unaongea Nini?
Through Budget allocation and by sourcing external funds from donors.

Mwisho hao Wahisani walikuwa Wanamsubiria Samia tuu na sio wengine Ili kufanya yafuatayo?
-Kununua CT Scans,MRIs nk Mikoa yote.
-Kujenga Wodi maalumu za Watoto Njiti
-Kununua Vifaa tiba Mikoa yote
-Kutia maelfu ya Ajira za Afya Kila mwaka
-Kujenga zaidi ya Vituo vya Afya 400 kata zote na Sasa vituo 150 vinaendelea na ujenzi
-Kujenga Hospitals zote za Wilaya na Kufanya Upanuzi wa Hospitals za Mikoa,Rufaa. Na Taifa?

Hata ukimchukia Samia ila historia imeshaandikwa ,Hakuna Rais wa kabla yake ambae amewahi fanya revolution ya Afya ,Elimu, miundombinu Vijijini,maji,Kilimo, biashara na uwekezaji na Ajira kumzidi Samia ,hayupo.
20240513_115046.jpg
20240513_123231.jpg
20240513_123234.jpg
20240513_115049.jpg
 
Ukilala usiku hua unaota kweli au ni fuvu lisilo na wire kichwani?

Mambo yote yametajwa ni miradi ya Magufuli, miradi Gani yeye katekeleza, kama ni growth in different sector ukiangalia Kwa umakini ni matokeo ya maandalizi makubwa her predecessor amefanya.
Hapo kwenye List miradi ya Magufuli ni kama upi? Nitajie 2

Nitajie maandalizi yaliyofanywa na Mwendazake Hadi kuchangia ukuaji wa sekta zifuatazo
-Kilimo
-Miundombinu Vijijini
-Biashara na Uwekezaji
-Utalii
-Afya na Elimu
-Ajira
-Banking Sector na Bima
-Ardhi na Nyumba.

Eleza Magufuli alichofanya maandalizi hapo.Kwa Ubunifu wa Samia aisee Bado hamjasema kitu hii Mpya inakuja 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DC9jWLpt-3N/?igsh=cWo5b3ZyMGlpbWRu
 
Back
Top Bottom