cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Ila huwezi linganisha hizo PhD mbili kwa kweliLakini mwakyembe na paramimacho ni wa mlimani pia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila huwezi linganisha hizo PhD mbili kwa kweliLakini mwakyembe na paramimacho ni wa mlimani pia mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wafanye jambo la kushangaza mara ngapi ?
1. Wewe hujashangaa professor mwenye GPA ya 4.8 kuita chuo kikuu jalala ?
2. Wewe hukushangaa Dk wa sheria kutaka mtu asifunge ndoa bila cheti cha kuzaliwa.
3. Wewe hushangai Dk wa Sayansi ya siasa kusema atatumia dola kubaki madarakani na kusababisha maafa na vilema kwa watu wengi tu.
4. Wewe hushangai Dk wa uchumi kupandisha kodi ya mafuta halafu akashusha kodi kwenye bia kisa anataka kuboresha barabara za vijijini ?
5. Wewe hukushangaa Dk Kigwangalla a professional MD kuwa na msimamo A dhidi ya corona juu ya utawala wa jiwe na kuwa na msimamo B kwenye utawala wa sasa ?
6. Wewe hukushangaa Muhimbili kujenga banda la kujifukiza chini ya utawala uliopita baada ya hapo waliokwenda kujifukiza hapo wakiwemo wataalamu wa Afya kutaka livunjwe tupate chanjo ??
Kuna mengi ya kushangaza ila huwa hatutaki kushangaa tu yawezekana tumeshachoka kushangaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu umeua
Hofu yangu mmoja wao anaweza akawa prezidaa Kama Dr stone halafu akauza nchi kabisa
Hivi yule wazir wa elimu wa Tanzania lakn n mkenya kiasili ambaye alifuta michezo mashuleni na kuunganisha masomo hivyohovyo alikuwa anaitwa Nani vile?
Nchi hii hata waziri anaweza akashauri tule mavi na mamlaka zikaafki tu
chuo kujengwa Moshi lilikua kosa. Misitu iko Iringa chuo Moshi. Mi naona Mhe analekebisha makosa. Ili kurahisisha ujifunzaji.Huu ni mwendelezo wa chuki dhidi ya watu wa Kaskazini. Mi nashauri hata na Mlima Kilimanjaro ahamishie Songea kama itawasaidia kuwa karibu na watalii toka Malawi na Mozambique
Na yule mama mwenye jimbo la jina lako hili, hawana kitu ni utumboo tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23]Dah so sad ndumbaro n mbunge wangu huko nyumbani songea town
Wachaga walipeleka fursa zote kwao.Sio tuu kuhamia Iringa bali Ihamie Njombe au Mafinga..huko uchagani hakuna misitu yoyote usitupigie makelele hapa
Ya pale Biafra PHD yake.Kumbe ni PhD za shule ya kata, kusoma open university hyo sio chuo bana wanasiasa hukimbilia huko kupata mteremko
[emoji3][emoji3]duh PhD za kutaftia cheo Cha kisiasa hzoYa pale Biafra PHD yake.
Kumbuka hata Mary Mwanjelwa alikuwa PHD holder akapigwa swali gumu sana.[emoji3][emoji3]duh PhD za kutaftia cheo Cha kisiasa hzo
Ni ujinga kufanya vitu eti kurahisisha ufundishaji sikuhizi sikuna maabara za kisasa kabisa kujifunza hata agriculture sio lazima uende kwenye majaruba ya mpunga. Hafu nchi hii kila mkoa una hifadhi zake za misitu, hebu acheni ujinga na mentality za hovyo Tena ni Bora hivo vyuo vijengwe kila Kanda na sio excuse eti hamna msitu, hivi unajua Kuna msitu wa hifadhi ya Kilimanjaro?chuo kujengwa Moshi lilikua kosa. Misitu iko Iringa chuo Moshi. Mi naona Mhe analekebisha makosa. Ili kurahisisha ujifunzaji.
Hawezi kukujibu walahangeulizwa inakuwaje sugar research institute iko Kibaha badala ya mtibwa au kilombero kunakolimwa miwa.
au kwa nini taasisi ya utafiti wa mpunga/ubwabwa iko bagamoyo badala ya mbarali
Huyo Mary mwanjela sio alikuwa MD kweli?Kumbuka hata Mary Mwanjelwa alikuwa PHD holder akapigwa swali gumu sana.
Hujui lolote. Hifadhi ya Mt Kilimanjaro hakuvunwi miti wewe. Miti kwa wingi inavunnwa Njombe naTabora huko ndiko chuo hupaswa kuwepo. Mangi usipende kufaidi kwa mitelemkoNi ujinga kufanya vitu eti kurahisisha ufundishaji sikuhizi sikuna maabara za kisasa kabisa kujifunza hata agriculture sio lazima uende kwenye majaruba ya mpunga. Hafu nchi hii kila mkoa una hifadhi zake za misitu, hebu acheni ujinga na mentality za hovyo Tena ni Bora hivo vyuo vijengwe kila Kanda na sio excuse eti hamna msitu, hivi unajua Kuna msitu wa hifadhi ya Kilimanjaro?
Yule hakuwa msomi tulipigwaPia kuna daktari wa kemia umemsahau hapo.
Dah huyo ndio tunatoka Kijiji kimoja sina la kusema s mnamuona. Wenyewe mambo yakeNa yule mama mwenye jimbo la jina lako hili, hawana kitu ni utumboo tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23]
chuo cha utafiti wa sukari kiko kibaha na si mtibwa wala kilombero. Na hata cha utafiti wa mpunga/ubwabwa kiko bagamoyo siyo mbarali kunakolimwa sana mpunga.chuo kujengwa Moshi lilikua kosa. Misitu iko Iringa chuo Moshi. Mi naona Mhe analekebisha makosa. Ili kurahisisha ujifunzaji.
Mwanangu wewe kabishi ni hatari! Akipangua hizi hoja nitajua Ndumbaro ni mwanaume!😁😁😂😂Hoja hii inataka kutuaminisha mafunzo kwa vitendo hayawezekani hadi chuo kihamie Mafinga. Je, vyuo vya madini viko migodini? (mfano Cho cha Madini Dodoma). Taaluma ya mafuta na gesi, vyuo viko bahari kuu? Taasisi ya Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP- Dodoma) iko Vijijini? Vyuo vya Mafunzo ya Fedha vingapi viko benki? Taasisi ya FITI kuwa Moshi tatizo nini hadi ihamishwe?
Una libunge popoma mkuu!Dah so sad ndumbaro n mbunge wangu huko nyumbani songea town