cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Wewe waijua tabora kweli, kwahyo chuo Cha madini kitolewe Dodoma kipelekwe Geita sio?Hujui lolote. Hifadhi ya Mt Kilimanjaro hakuvunwi miti wewe. Miti kwa wingi inavunnwa Njombe naTabora huko ndiko chuo hupaswa kuwepo. Mangi usipende kufaidi kwa mitelemko
Justification yako ya hovyo kuliko ime base kwa ubinafsi tu ka jiwe mjenga airport maporini