Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19

Dkt. Nyambura Moremi ateuliwa tena kuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa. Aliondolewa baada ya sampuli za mimea kukutwa na UVIKO-19

DOKTA mwenye D MBILI karudishwa kazini kuendelea kuangamiza watanganyika!

Asante Magufuli kwa kutufungua macho
 
DOKTA mwenye D MBILI karudishwa kazini kuendelea kuangamiza watanganyika!

Asante Magufuli kwa kutufungua macho
Angekuwa na D 2 unadhani WHO wangekuwa wanamtumia? Hebu shirikisha akili kama unazo kabla hujaandika pumba
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemrejesha kwenye nafasi yake aliyekuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii (NPHL), Dk Nyambura Moremi aliyesimamishwa kazi Mei 4, 2020 kupisha uchunguzi.

Dk Moremi amerejeshwa ikiwa ni miaka minne, baada ya kuondolewa katika nafasi hiyo na Waziri wa Afya, baada ya Rais wa wakati huo, hayati John Magufuli kutia shaka usahihi wa vipimo vya Maabara ya Taifa vilivyothibitisha kuwapo Uviko-19 katika sampuli za wanyama na mimea.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Afya, Englibert Kayombo, Dk Moremi ameteuliwa kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa maabara hiyo, Medard Beyanga.

“Kwa kipindi chote Dk Moremi alikuwa Mkuu wa Idara ya Tafiti katika Maabara Kuu ya Taifa,” amesema Kayombo.

Dk Moremi ni miongoni mwa wabobezi katika fani ya maabara na ni mtaalamu wa magonjwa ya kuambukiza.

Pia, soma=> Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

View attachment 2960667


View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1778374400317767778?t=07CH9V1X6z4RR1t8Zfq5rw&s=19

My Take
Walinda Ligacy mnaitwa huku 🤣🤣🤣

Yule mbwa alikuwa muonevu sana, ngoja wabeba jeneza waje
 
Angekuwa na D 2 unadhani WHO wangekuwa wanamtumia? Hebu shirikisha akili kama unazo kabla hujaandika pumba
WHO wanapenda kuwatumia watu wenye maksi DUNI ili wawe watiifu kwao.

Hata wakiambiwa waseme kinyesi ni corona wanaitikia NDIO BOSII... papai ni corona NDIO BOSSIIII, kahawa ni corona NDIO BOSSIIII....

Unaona kabisa hapa chanzo ni D MBILI.

Baadaye anaamua kubong'oa adungwe machanjo ili adhihirishe utiifu wake usio na shaka.
 
WHO wanapenda kuwatumia watu wenye maksi DUNI ili wawe watiifu kwao.

Hata wakiambiwa waseme kinyesi ni corona wanaitikia NDIO BOSII... papai ni corona NDIO BOSSIIII, kahawa ni corona NDIO BOSSIIII....

Unaona kabisa hapa chanzo ni D MBILI.

Baadaye anaamua kubong'oa adungwe machanjo ili adhihirishe utiifu wake usio na shaka.
Huna hoja jobless mkubwa wewe.
 
Kwani Dr Mwigullu PhD hakuwahi kutumbuliwa na Shujaa Magufuli?

CAG Kichere je?!!

We bint ni mshambamshamba sana 🐼
Ya kumtumbua huyu mtaalamu wa Tiba ALIKURUPUKA. Usizifananishe na za hao wanasiasa
 
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemrejesha kwenye nafasi yake aliyekuwa Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii (NPHL), Dk Nyambura Moremi aliyesimamishwa kazi Mei 4, 2020 kupisha uchunguzi.

Dk Moremi amerejeshwa ikiwa ni miaka minne, baada ya kuondolewa katika nafasi hiyo na Waziri wa Afya, baada ya Rais wa wakati huo, hayati John Magufuli kutia shaka usahihi wa vipimo vya Maabara ya Taifa vilivyothibitisha kuwapo Uviko-19 katika sampuli za wanyama na mimea.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Wizara ya Afya, Englibert Kayombo, Dk Moremi ameteuliwa kuchukua nafasi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa maabara hiyo, Medard Beyanga.

“Kwa kipindi chote Dk Moremi alikuwa Mkuu wa Idara ya Tafiti katika Maabara Kuu ya Taifa,” amesema Kayombo.

Dk Moremi ni miongoni mwa wabobezi katika fani ya maabara na ni mtaalamu wa magonjwa ya kuambukiza.

Pia, soma=> Kutoka Chato: Rais Magufuli amwapisha Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Kwanini Mbuzi, papai, fenesi na Kware wawe na Corona?

View attachment 2960667


View: https://twitter.com/TanzaniaInsight/status/1778374400317767778?t=07CH9V1X6z4RR1t8Zfq5rw&s=19

My Take
Walinda Ligacy mnaitwa huku 🤣🤣🤣

Waliokua wawakilishi kwenye njama ya uviko wanarudishwa kila kona. Kuna wale walipangwa kupewa tenda kulisha wananchi kwenye karantini wao labda watawapa tenda zingine. Yaani fisadi wanajua ku take care of each other. Pia wanahangaika kuonesha magu hakua sahihi. Sasa kama alipimwa kware, mbuzi, bata ikaoneshwa ana covid vipi sasa kumrudisha mpimaji kama huyo.😂🤣
 
Back
Top Bottom