Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu kuna mtu anajiita Conforter in Chief anasema hakuna Corona.... bado wasukuma wenzake alowakabidhi afya wanasema barakoa ni za TB!
Sasa ni dhahiri haki sio shwari . Hii 19 , inatakiwa serikalini useme neno otherwise tunakoelekea hata SGR itakosa wa kuipanda
Changamoto za kupumuaHabari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea msiba wa mkewe Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter Mamiro na Profesa Delphina Mamiro walikuwa wanafundisha chuo cha kilimo Sokoine - SUA.
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kwamba siku chache zilizopita, Profesa Delphina alitoka Kilimanjaro kuwazika wazazi wake wawili (Mchungaji Kessy na mkewe) ambao nao vifo vyao vilifuatana.
Inadaiwa baada ya kurudi Morogoro hali ikuwa mbaya mpaka umauti unawakuta.
Mwenyezi Mungu aipe nguvu na faraja familia hii inayopitia majaribu haya yote.
Pia soma TANZIA - Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA) afariki dunia
Wale siyo wasukuma hata yeye siyo msukuma hakuna wasukuma wapumbavu namna hiyo duniani.Halafu kuna mtu anajiita Conforter in Chief anasema hakuna Corona.... bado wasukuma wenzake alowakabidhi afya wanasema barakoa ni za TB!
Itoe neno gani kwa mfano, kwamba mjifungie ndani, kwanini msitumie akili mnataka muwe kama misukule? Huna akili kichwani au unataka neno la nini?Sasa ni dhahiri haki sio shwari . Hii 19 , inatakiwa serikalini useme neno otherwise tunakoelekea hata SGR itakosa wa kuipanda
Akishaweka wazi kwamba yupo ndio huyo mdudu anaondoka? Nieleweshe tafadhali..Aweke wazi kuwa mdudu yupo na siyo anaficha ficha tu. Na mdudu huyu alivo n kama kunguni vile, ukiwa pekee yako anajificha ila mkiwa wengi tena ww ndo unaongea ko wengine wamekula attention wanakutazama usoni, na kunguni ndo anajitokeza kwenye shat lako jeupe anaanza misele. Ko jamaa anajitahid kumficha huyu mdudu but mdudu anazidi kuchanja mbuga tu, wanaoumia n raia🤔
Habari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea msiba wa mkewe Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter Mamiro na Profesa Delphina Mamiro walikuwa wanafundisha chuo cha kilimo Sokoine - SUA.
Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kwamba siku chache zilizopita, Profesa Delphina alitoka Kilimanjaro kuwazika wazazi wake wawili (Mchungaji Kessy na mkewe) ambao nao vifo vyao vilifuatana.
Inadaiwa baada ya kurudi Morogoro hali ikuwa mbaya mpaka umauti unawakuta.
Mwenyezi Mungu aipe nguvu na faraja familia hii inayopitia majaribu haya yote.
Pia soma TANZIA - Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA) afariki dunia
Mpigie simu mkewe umuulize, Yeye ndie waziri wa Afya au? Unamtaka wa nini?Yuko wapi Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango?
Kuna mke wake hapa?Yuko wapi Waziri wa Fedha, Dkt. Mpango?
Stay online..Kuna mke wake hapa?
Inaingia lini Bungeni???? Naona wafanya maamuzi hawajui hili...Covid is real killing us very awkwardly
Uchawi tu, huna loloteStay online..
Stay onlineInaingia lini Bungeni???? Naona wafanya maamuzi hawajui hili...
Jnajifanya zuzu eee! Kabla cjakujib nikuulize swali, wewe ndo yule ulikuwa unaunga mkono baba yako akisema mdudu hayupo? Vip saiz unaamini mdudu yupo au hayupo?Akishaweka wazi kwamba yupo ndio huyo mdudu anaondoka? Nieleweshe tafadhali..
Lumbumba huwa hawana Tabia ya kujifunza wala kuamini. Problem std 7.Uchawi tu, huna lolote