TANZIA Dkt. Peter Mamiro afariki dunia zikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe(Prof. Delphina Mamiro) afariki dunia

TANZIA Dkt. Peter Mamiro afariki dunia zikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe(Prof. Delphina Mamiro) afariki dunia

Dawa ya huu ugonjwa ni kwa kila mtu kuchukua tahadhari sio kusubiri upewe maelekezo............ Epuka mikusanyiko, vaa barakoa inapobidi .... ni kanuni tu za afya. Ila ni jukumu lako individually...............
 
COVID-19 hatuna nchini ila hii changamoto ya upumuaji ni balaa...inatumaliza!! Hatujui leo ni zamu ya nani....
 
Habari mbaya ya kusikitisha ni kuwa Dkt. Peter Mamiro amefariki dunia usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro ikiwa zimepita siku mbili tokea mkewe, Profesa Delphina Mamiro afariki dunia. Dkt. Peter Mamiro na Profesa Delphina Mamiro walikuwa wanafundisha Chuo cha Kilimo Sokoine - SUA.

Habari za kuaminika kutoka kwa ndugu wa karibu zinasema kwamba siku chache zilizopita, Dkt. Peter na Profesa Delphina walitoka Kilimanjaro kuwazika wazazi wawili (Mchungaji Kessy na mkewe) wa Profesa Delphina ambao nao vifo vyao vilifuatana.

Inadaiwa baada ya kurudi Morogoro hali ikuwa mbaya mpaka umauti unawakuta.

Mwenyezi Mungu aipe nguvu na faraja familia hii inayopitia majaribu haya yote.

Pia soma TANZIA - Profesa Delphina Mamiro wa Chuo Kikuu cha Kilimo(SUA) afariki dunia

Oh jamani [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Sipati picha watoto wao wana hali gani..this is more than pain[emoji119]
 
third world war haitumii silaha ila magonjwa kupunguza population baada ya hapo tutakua choka mbaya tukibahatika kuvuka salama halafu zile mambo za chanjo ya cheap ya mnyama wa miaka 666 huna hiyo utatengwa na G7 hata kuingia nchi zao then NWO watatoa tamko haya tukasome ufunuo, hatuja chelewa.
 
SASA MNATAKA NINI KIFANYIKE?? TUSIBAKI TUNA TOA LAWAMA ZISIZO KUWA NA MASHIKO. KILA MARA TUMESHATAHADHALISHWA TUCHUKUE TAHADHARI KWA MAAMBUKIZI KWA KUWA TZ SIYO KISIWA. AU UNATAKA SERIKALI ISEME KUANZIA LEO KILA RAIA ABAKI KWAKE TUTAWALETEA MKATE WA KILA SIKU KWENYE MLANGO?? SEMA UNA TAKA NINI KIFANYIKE??? NYUMBU WEWE.
Ndiyoooo, aseee, kwani umewahi kusikia yule mzee nundu akisema mdudu yupo? Kwann afiche? Na hilo huoni kama n tatzo? Kwann haweki mipango madhubut ya kudhibit mdudu? Unasema barakora is special for preventing tuberculosis transmission, real??? Pumbavu kabisa
 
Jnajifanya zuzu eee! Kabla cjakujib nikuulize swali, wewe ndo yule ulikuwa unaunga mkono baba yako akisema mdudu hayupo? Vip saiz unaamini mdudu yupo au hayupo?
Jibu swali, akishasema yupo, ndio anaondoka?
 
Tatizo humu hatujuani. Nilitaka nikutukane bonge la tusi lakini nikaogopa isije ikawa namtukana jiwe nikajikuta natafutwa kwa gharama yoyote. Ila mkuu sio poa, unataka kutuambia chanzo ya covid 19 inaua?
Mimi ndio Millard Ayo? Mimi ndio DW?
 
Hii hata kama ni kweli siyo habari ya maana. Vaccines zote zinaweza sababisha reaction mbaya na hata kifo. Kuna watu wakitumia dawa jamii ya penicillin wanaweza kufa lakini Haimaanishi hizo dawa ni mbaya.
Nimeleta habari kama ilivyo, sijasema chochote mimi
 
Kwavile wamekufa wawili watatu ambapo pia ni kutokana na reasons kibaooo

Hii ifanye watu wasipate chanjo?

Hakuna chanjo ni 100%....inaweza kua hata 90%

Yaani watu 100 wakichanjwa basi 90 watapona na wengine 10 they will die....eti kwavile 10 wanakufa basi tusichukue chanjo wote

Hii ndio stupid thinking ya mataga na liserikali lao
Mimi si nimewasilisha taarifa kama ilivyo, nimesema chochote kwani?
 
Yy mwenyewe husikika akisema "msema kweli n mpnz wa Mungu"
Najua bado hujui faida ya ukweli. Subiri ntakufundisha kwa 50,000/= per day. Mana naona huu usumbufu sasa
Akisema inaondoka? Na madhara gani yanaweza yakatokea endapo akisema?
 
Akisema inaondoka? Na madhara gani yanaweza yakatokea endapo akisema?
Kichwa cha mwendawwzimu hata ukikielimisha bado hakitaelewa. Ipo ck utakuja kunielewa mkuu, tusiwe na haraka nchi hii tupo wala hatuhami
 
Back
Top Bottom