Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ndiko nakotamani ili wajue c vzr kufichana. Tena kwenye huko ngoma ile ya south ULONDOLOSE🔥🔥🔥 ndo ingefaa iguse kule na kile kiti cha mpuuzi pale idodomya😁Hali ni mbaya kuzidi uhalisia wake...ngoja ngoma iguse cabinet
Mungu hawezi tulinda kwenye ujinga wetuAiseee. Mungu atulinde jamani. Hali imekuwa tete sana jamani. Bila shaka yule saizi yupo happy anashushia na kapepsi barid akiona wananchi wake tunateseka[emoji25][emoji25][emoji25]
Kweli wewe unamtindio wa ubongo, nadhani unaposti kutokea milembe. Yaani bado hujasikia kila mara ukipewa tahadhali? haya mdudu yupo chukua tahadhali. Umefurahi???. Ukifungiwa ndani uanaouwezo wa kula milo mitatu kwa muda gani? hata hapo milembe unapopewa chakula cha bure bado wanahitaji msaada wa kuwasaidia wahitaji. Any way Ufipa mnamatatizo, kamalizeni suala la kumng'oa katibu wenu maana pumzi zimekata KO na Makomandoo 19.Ndiyoooo, aseee, kwani umewahi kusikia yule mzee nundu akisema mdudu yupo? Kwann afiche? Na hilo huoni kama n tatzo? Kwann haweki mipango madhubut ya kudhibit mdudu? Unasema barakora is special for preventing tuberculosis transmission, real??? Pumbavu kabisa
Si eti mungu alituepusha mkuu tulivyopiga maombi? Kwani saiz imekuwaje? Mdudu yupo kasi sanaaa mpk kauli zimebadilika kutoka kutokuwepo kwa mdudu hadi tahadhar zichukuliwe na saiz barakola ili kujilinda na kifua kikuuu, mwezi ujao tutegemee kusema barakola kwa ajiri ya mdudu🤣🤣🤣🤣🤣Mungu hawezi tulinda kwenye ujinga wetu
Huyu mdudu naomba aangalie na sehemu za kutua. 😡😡😡Kweli wewe unamtindio wa ubongo, nadhani unaposti kutokea milembe. Yaani bado hujasikia kila mara ukipewa tahadhali? haya mdudu yupo chukua tahadhali. Umefurahi???. Ukifungiwa ndani uanaouwezo wa kula milo mitatu kwa muda gani? hata hapo milembe unapopewa chakula cha bure bado wanahitaji msaada wa kuwasaidia wahitaji. Any way Ufipa mnamatatizo, kamalizeni suala la kumng'oa katibu wenu maana pumzi zimekata
Yule hakua kwa ajili yetuSi eti mungu alituepusha mkuu tulivyopiga maombi? Kwani saiz imekuwaje? Mdudu yupo kasi sanaaa mpk kauli zimebadilika kutoka kutokuwepo kwa mdudu hadi tahadhar zichukuliwe na saiz barakola ili kujilinda na kifua kikuuu, mwezi ujao tutegemee kusema barakola kwa ajiri ya mdudu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi unaelewa kwamba wewe unafahamu kuhusu uwepo wa huyu dudu kwa sababu unatembelea social networks kama JF au Twitter?! Ulishapata kujiuliza wale ambao source yao ya habari ni TBC, ITV, Radio One and the like wanapata wapi taarifa?! Hivi kwa uelewa yako habari inayorushwa na hivyo vyombo ni ile ya Magufuli na yule Mama Chizi wanaosema Corona hamna au habari inayosema watu wanakufa kwa korona? Hivi unapopita mitaani unakuta watu wamechukua tahadhali?Akishaweka wazi kwamba yupo ndio huyo mdudu anaondoka? Nieleweshe tafadhali..
Anakosea sana huyu mwehu kwa sababu anayemnanga anamuona halafu anakuja kwetu!Huyu mdudu naomba aangalie na sehemu za kutua. 😡😡😡
Ko huyu huenda kaletwa ili kumwambia mkubwa kuwa kamwe asipende ligi na wakubwa🤣🤣🤣🤣Yule hakua kwa ajili yetu
ASANTE SANA MKUU HII NI SERIOUS
Sasa ni dhahiri haki sio shwari. Hii 19, inatakiwa serikalini useme neno otherwise tunakoelekea hata SGR itakosa wa kuipanda.
Aiseee. Mungu atulinde jamani. Hali imekuwa tete sana jamani. Bila shaka yule saizi yupo happy anashushia na kapepsi barid akiona wananchi wake tunateseka[emoji25][emoji25][emoji25]
Inafika peak na kushuka kama kuna hatua zozote zinafanyika kujikinga na kuzuia, je unaona kuna hilo. Phase ya kwanza tulifanya haya vizuri sana ndio maana ilipungua, halafu tukajidanganya kuwa maombi yametuokoa. Kikubwa nchi na serikali yote ilifanya kampeni kubwa na kujikinga.Whichever we wanna call whatever is happening. Taasisi husika inabidi ziangalie kwanini vifo vimeongezeka?
Kwa opinion yangu nadhani ni bora kama wangesema wanajua kinachotokea (COVID au lolote lile) kuliko wanajua sio COVID, sasa ni nini? Yaani ni bora kujua kinachotokea kuliko kutokujua, hence hata kukiepuka hauwezi.
The only good thing ni kwamba (Kama ni COVID) itafikia peak alafu itashuka / pungua na kuacha ila issue ni kwamba peak imefika, imeshafika au haijafika (hopefully imeshafika na kupita)
Kavute pumzi then rudi ujibuKichwa cha mwendawwzimu hata ukikielimisha bado hakitaelewa. Ipo ck utakuja kunielewa mkuu, tusiwe na haraka nchi hii tupo wala hatuhami