Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Dkt. Rugemeleza Nshala: Nimetishiwa maisha baada ya kutoa maoni kuhusu mkataba wa Bandari na DP World

Hoja SI wote tunajua hatuitaki DP World. Na wanaopinga sana kama wakili msomi hapo wanawekwa kwenye target.
Tunaendelea kukataa aina hii ya ukoloni mamboleo na ujinga wa Serikali kutaka kukandamiza na kuumiza raia wake wanapoexercise their rights kupinga kuuzwa kwa nchi Yao.

Just wanted to know though, kwanini Askofu Mwamakula anajirefer yeye kama "sisi"
Two possibilities:
1. Slip of a pen/tongue
2. Represents a congregation of bishops
 
MAISHA YANGU YAPO HATARINI;WAKILI DKT NSHALA RUGEMELEZA AZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI.

"Damu yangu kama itamwagika basi ikapalilie mapambano ya kulinda rasilimali za nchi yetu Tanzania" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWa Habari

"Kuna maagizo kutoka ndani yanayosema,Mimi nikionekana niteketezwe,nimalizwe,niuawe,na jina langu liwe refu lianze na Marehemu Rugemeleza Albert Kamwagwa Nshala" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza

"Kama wenye dhamana watapenda Mimi niondoke,niitwe Marehemu basi yatawapata makubwa,vizazi vyao mia nne na arobaini vitakwenda kuteseka na kujibu juu ya jambo hili" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.

"Siko tayari kupigishwa magoti,kunyamazishwa au kukandamizwa na mtu yeyote ambaye kikatiba na Yeye ni Raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama Mimi" Wakili Dkt. Nshala Rugemeleza.

"Nitasema kweli daima fitna kwangu mwiko,sitatishiwa na binadamu mwenzangu anayeumbwa kama Mimi,anayeenda chooni kama Mimi,anayeumwa kama Mimi,anayekufa kama Mimi"Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.

"Nimetumia lugha nyepesi sana,na laini kwa walichotufanyia viongozi wetu,kama ingekuwa ni huru na kawaida basi viongozi wetu wangekuwa mbele ya sheria muda huu tunavyozungumza" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza.

"Mfumo wetu ni ule ambao hata Rais akikukanyaga unasema ooh ahsante kwa kunikuna" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza

"Sitasalimu amri,nitaendelea kupinga ugawaji huu wa rasilimali za nchi yetu,nitasimama na maneno yangu" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza

"Mkataba huu mbaya kuwahi kutokea Rais anahusika Moja kwa Moja kwa sababu sahii yake ipo mwisho wa jedwali la mkataba,Marais uwa hawasaini lakini yeye kasaini"Wakili Dkt Nshala Rugemeleza#MkutanoWaWaandishiWaHabari

"Bunge la mwaka 2017 lilitunga sheria kuhusu mikataba ya rasilimali zote zipite bungeni,ila mkataba wa bandari unasema Dp World haiusiki na sheria hiyo" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza

"Mkataba huu unalimbikiza Mali zote za nchi hii kuhusiana na bandari kwa kampuni binafsi ya DP World,sheria inasema tulinde maliasili kwa ajili ya kizazi hiki na vizazi vijavyo,hiki ndicho kilichotufanya tunyanyuke tupinge" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza

"Kama nasema uwongo nashika biblia yangu Mimi ni mkristo,nianguke chini Mungu achukue uhai wangu" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.

"Nimesoma digrii yangu ya kwanza Udsm,digrii ya pili Havard,nikaenda kusoma digrii ya tatu Yale na PhD Havard baada ya kutoelewa lugha iliyozungumzwa kwenye mgogoro wa Bulyakhuru" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.

"Tuna haki ya kulinda maliasili za Taifa kama zipo hatarini,sio kama mkubwa hakosei,Bandari ni mali ya Watanzania wote, tuna haki kuhoji au hata ikiwezekana kwenda mahakamani kama Mali za nchi zinauzwa"Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.

"Naipenda nchi yangu Tanzania,nipo tayari kuifia nchi yangu,na kama huu ni mwisho wangu basi nasema kwa herini tutaonana Paradiso" Wakili Dkt Nshala Rugemeleza #MkutanoWaandishiWaHabari.
Mama ameshaanza yale mambo ya Magufuli?! Ni hatari sana watanzania tusikubali mambo haya.
 
Nimesoma habari za baadhi ya watu kutishiwa kuuwawa endapo wataendelea kuupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na DPW ya Dubai.

My take: Hiki ndicho kiashiria kikubwa cha ubovu wa mkataba huu na kwamba mkataba huu umesheheni maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya Taifa.

Watanzania tuendelee kuupinga mkataba huu wa kidhalimu.
 
Rugemeleza Nshala....2 and 9

RANKING
  • SCORES

RankName
Country/Region
No. of FTE StudentsNo. of students per staffInternational StudentsFemale:Male Ratio
1University of Oxford
United Kingdom
20,96510.642%48 : 52
2Harvard University
United States
21,8879.625%50 : 50
=3University of Cambridge
United Kingdom
20,18511.339%47 : 53
=3Stanford University
United States
16,1647.124%46 : 54
5Massachusetts Institute of Technology
United States
11,4158.233%40 : 60
6California Institute of Technology
United States
2,2376.234%37 : 63
7Princeton University
United States
8,2798.023%46 : 54
8University of California, Berkeley
United States
40,92118.424%52 : 48
9Yale University
United States
13,4825.921%52 : 48
10Imperial College London
United Kingdom
18,54511.261%40 : 60
=11Columbia University
United States
21,7814.538%n/a
=11ETH Zurich
Switzerland
21,66514.841%33 : 67
13The University of Chicago
United States
15,3666.036%47 : 53
14University of Pennsylvania
United States
21,4536.323%53 : 47
15Johns Hopkins University
United States
 

06 Julai 2023​

🅻🅸🆅🅴 DKT NSHALA ADAI KUTISHIWA MAISHA '' MAISHA YANGU YAKO HATARINI




Mkutano na waandishi wa habari Dr. Nshala athibitisha kupata taarifa kutoka vyanzo vinavyothibitika kuna njama za kuondoa uhai wake Ikiwemo uhai wa wakili Boniface Mwabukusi Prof. Issa Shivji hivyo siwezi kukaa kimya kwani imewahi kutokea kwa Mwangosi, Azori, Ben Saanane kupigwa risasi Tundu Lissu.

Dr. Nshala anasema inasikitisha kuona kuna watu wamejipatia leseni ya kuondoa uhai wa watu kwa kuwa tu kuna wametoa maoni yanayokinzana na wale waliopo madarakani .

Dr. Nshala amesisitiza kuwa mkataba wa bandari unamuhusu rais kutokana na kibali cha rais na mara nyingi mikataba huwa haina muongozo wa rais.

Kulinda maliasilia ya nchi yetu ni haki ya kila raia iliyotamkwa ndani ya katiba ya Tanzania. Hivyo tunavyopiga kelele tunatimiza haki yetu ya msingi ibara ya 26.1 ya katiba inasema .

Ibara ya 9 (c) ya katiba inaitaka serikali kuwajipika pia kutunza mali za taifa.

Huu mkataba unamilikisha mali zote kwa mtu binafsi yaani kampuni ya DP World ya Dubai.

Juzi kumevuja marekebisho yaani Miscellaneous amendments laws ili kuondoa bandari za maziwa na katika mito ya maji ili DP World waweze kufaidi Mali ya asili ya bandari.

DP World anaendelea kupewa ukiritimba wa kumiliki mali zetu kwa aina ya ajabu kupitia muswaada huu mpya utakaopelekwa bungeni kinyume na sheria ya rasilimali iliyotungwa mwaka 2017 ya kulinda mali kwa vizazi vyetu na vizazi vijavyo.

Dr. Nshala nimepata utaalamu mkubwa katika vyuo vikuu tajwa vya Yale na Harvard vyote vya nchini Marekani kwa miaka 10 1/2 kuelewa mikataba na sheria za wawekezaji vizuri. Hivyo elimu niliyopata siwezi kuacha kuitumia kutetea mali ya nchi yetu Tanzania ambayo imenisomesha.

Ningeweza kubaki Marekani kuajiriwa wakati ule kwa mshahara wa dola za kimarekani 22,000.00 kwa mwezi na bonasi kubwa kila mwaka.


Dr. Nshala amesema sitaweza kutishika kukimbia nchi yangu nitabaki hapa hapa Tanzania na wale waovu wanaotaka kuondoa uhai wangu wakifanikiwa basi wao na vizazi vyao laana hii itawaandama milele na kuwasumbua sana.

Mwandishi John Marwa wa Jambo TV anauliza swali kwa Dr. Nshala kuwa kauli za wakili Dr. Nshala zilikuwa kali kwa maoni ya baadhi ya Tanzania.

Vibaraka wa ndani ya nchi wanajidanganya kupindisha maana ya kauli na maneno utetezi wa mali ya umma. Anasisitiza Dr. Nshala kujibu swali la mwandishi, Lugha ni ya uchungu na siyo kali bali kuwaamsha rais, makamu wa rais, mawaziri, bunge kuwa wanapaswa kukubali makosa yao kwa kuwaambia ukweli ....

Mkuu FaizaFoxy sasa huku kutishiana maisha kwa kutoa maoni dhidi ya DP World inakuaje hapo?

Kama jambo ni la heri, kulikoni vitisho na mbinumbinu?
 
Kuna swali huwa najiulize sana I wish ningepata majibu, kwanini watu weusi huwa hatujipendi? Hatuangalii vizazi vyetu vijavyo? tunaishi kama sisi ndio watu wa mwisho kuwepo?
Tumerithi kwa mababu zetu mkuu, wao walikua wanauza watu sisi twauza vitu.
 
Awaambie waliokuwa Wana mpump kufanya upotoshaji sie wengine hatuna Cha kumsaidia..
 
Nimesoma habari za baadhi ya watu kutishiwa kuuwawa endapo wataendelea kuupinga mkataba wa bandari kati ya serikali na DPW ya Dubai.


My take: Hiki ndicho kiashiria kikubwa cha ubovu wa mkataba huu na kwamba mkataba huu umesheheni maslahi binafsi na sio kwa maslahi ya Taifa.

Watanzania tuendelee kuupinga mkataba huu wa kidhalimu.
 
Wahaya bado tu tunajuwa ulikuwa USA sasa tukufanye nini? kajenge nyumbani Bukoba ulete heshima sio kujivunia vyuo onesha umefanya nini? Mtu hata uwe na degree 10 ni tabia zako mbele za watu ndio inakupa uhalisia wako, Huyo prof wako kuongea tu unamjuwa mtu maisha yamempiga anaona vipi mwanfunzi wangu kasoma hapa Dar tu leo speaker wa bunge, atakufa kwa roho mbaya yeye na yule mzee Issa miaka nenda miaka rudi wako hapohapo.
 
Huyu Mwamakula ni askofu wa CHADEMA hivyo apuuzwe. Achague kuwa askofu au mwanasiasa. Anachofanya hakikubaliki kwa Mungu wala kwa shetani. NI MNAFIKI
Maisha ni siasa,Dini ni siasa,maendeleo ni siasa,kazi ni siasa,uchumi ni siasa,elimu ni siasa,utamaduni ni siasa,jamii ni siasa,nchi ni siasa,bila siasa hakuna maisha wala maendeleo.
 
Daah, hatari, ila..

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

Tanganyika wazanzibar wanachukua Mali yetu kisa Cha muwekezaji jamani.
WHY WHY BANDARI ZA ZANZIBAR No. KUWA FAIDA WACHUKUE WAO TU YOTE HATA TANGANYIKA ISIPATE FAIDA YA 0TZS. HUKU MASIKINI WAKIUMIZWA NA KODI YA MIAMALA NA KILA SEHEMU IMEJAA KODI WHY HUYO ASEMEHEWE KODI HAMUONI KUWA HAO JAMAA WANAJILIPA KWENYE BANDARI KAMA WENGINE WALIVYOKWISHAJILIPA KWENYE UMEME, GESI NA MAFUTA WAO TU NDIO MADILA BASI PAMOJA NA SUKARI.

WATU MMELALA SIJUI MTAJUJA KUWAAMBIAJE WAJUKUU ZENU WATAKAPOKUWA HAWANA PA KWENDA NA KUTUMIKISHWA KAMA PUNDA NA HUKU WEWE UMESHIBA LEO PEKEE.

JAMANI ACHENI UOGA KIZAZI CHA AKINA NYERERE WALITESEKA SIE TUWE HURU WHY SIE TUNAKUWA WAOGA NA ASKARI ANAGANYA KAZI KAMA ROBOTI ANAUA MTU ANAYETETEA TAIFA KISA CHA AJIRA YAKE AMBAYO KWANZA INAMFANYA AWE MASIKINI.
ANGALIENI NCHI YETU IMESHAUZWA IMEISHA PORI TENGEFU, MADINI YAMEISHA YOTE WANAWAPA WATU KWA GAWIO LA SIRI KIVYAO NA SIO LA SERIKALI.

BAADAYE UNAKAMULIWA KODI MPAKA VIMA YAISHE.


YAANI HUJIULIZI UNALIPWA SALARY KODI, UKITOA HELA BANK KODI, UKIITUMA KODI, UKIITOA ULIYOTUMIWA KODI, UKINUNUA KITU KODI , YAANI KUNA KODI NYINGI MNO UNALIWA MPAKA UNAKUJA KUIPATA HELA YAKO.
HUKU WATU WAKIWAPA MA EX WAO GARI ZA 500M.
ASKARI usifanye kazi Kama roboti kuwa Ni amri unaumiza wananchi wanaotetea maisha mpaka ya mjukuu wako. Usiwaze tumbo lako Leo tu.
Unataka wazanzibar WACHUKUE bandari yetu mbona wao za kwao hazimo.

Yaani wasamehewe Kodi asilimia kweli afande wewe unayetumwa jamani na huku sie kila kona Kodi na maisha ya wananchi hawapati huduma za muhimu. Haya tuueni Mana nyie mtaishi milele.Ivi kweli kuwa jamaa wasemehewe Kodi ili iweje na kwa faida ya Nani na bandari inachukuliwa Kama shamba la mtu milele ,

Ila kweli kuwa mwanasiasa hata jambazi anao uafadhali
Wametudharau sana. Kwamba unaweza kuwafanyia lolote watanganyika.
 
Daah, hatari, ila..

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

Tanganyika wazanzibar wanachukua Mali yetu kisa Cha muwekezaji jamani.
WHY WHY BANDARI ZA ZANZIBAR No. KUWA FAIDA WACHUKUE WAO TU YOTE HATA TANGANYIKA ISIPATE FAIDA YA 0TZS. HUKU MASIKINI WAKIUMIZWA NA KODI YA MIAMALA NA KILA SEHEMU IMEJAA KODI WHY HUYO ASEMEHEWE KODI HAMUONI KUWA HAO JAMAA WANAJILIPA KWENYE BANDARI KAMA WENGINE WALIVYOKWISHAJILIPA KWENYE UMEME, GESI NA MAFUTA WAO TU NDIO MADILA BASI PAMOJA NA SUKARI.

WATU MMELALA SIJUI MTAJUJA KUWAAMBIAJE WAJUKUU ZENU WATAKAPOKUWA HAWANA PA KWENDA NA KUTUMIKISHWA KAMA PUNDA NA HUKU WEWE UMESHIBA LEO PEKEE.

JAMANI ACHENI UOGA KIZAZI CHA AKINA NYERERE WALITESEKA SIE TUWE HURU WHY SIE TUNAKUWA WAOGA NA ASKARI ANAGANYA KAZI KAMA ROBOTI ANAUA MTU ANAYETETEA TAIFA KISA CHA AJIRA YAKE AMBAYO KWANZA INAMFANYA AWE MASIKINI.
ANGALIENI NCHI YETU IMESHAUZWA IMEISHA PORI TENGEFU, MADINI YAMEISHA YOTE WANAWAPA WATU KWA GAWIO LA SIRI KIVYAO NA SIO LA SERIKALI.

BAADAYE UNAKAMULIWA KODI MPAKA VIMA YAISHE.


YAANI HUJIULIZI UNALIPWA SALARY KODI, UKITOA HELA BANK KODI, UKIITUMA KODI, UKIITOA ULIYOTUMIWA KODI, UKINUNUA KITU KODI , YAANI KUNA KODI NYINGI MNO UNALIWA MPAKA UNAKUJA KUIPATA HELA YAKO.
HUKU WATU WAKIWAPA MA EX WAO GARI ZA 500M.
ASKARI usifanye kazi Kama roboti kuwa Ni amri unaumiza wananchi wanaotetea maisha mpaka ya mjukuu wako. Usiwaze tumbo lako Leo tu.
Unataka wazanzibar WACHUKUE bandari yetu mbona wao za kwao hazimo.

Yaani wasamehewe Kodi asilimia kweli afande wewe unayetumwa jamani na huku sie kila kona Kodi na maisha ya wananchi hawapati huduma za muhimu. Haya tuueni Mana nyie mtaishi milele.Ivi kweli kuwa jamaa wasemehewe Kodi ili iweje na kwa faida ya Nani na bandari inachukuliwa Kama shamba la mtu milele ,

Ila kweli kuwa mwanasiasa hata jambazi anao uafadhali
Wajukuu zako si wajengee sasa unataka kuwa rithisha bandari au? hakuna kujibu hoja wala nini. Serikali imechaguliwa inawakalisha wewe subiri 2025 gombania ukipata nafasi fanya maamuzi. Huu ujinga kila mtu utawaambia nini wajukuu zako ni ujinga mkubwa, wajukuu zako ni wako fanya kazi uwachie mali waje kuuza wagawane kidogo watakukumbuka kwenye dua zao.
 
Back
Top Bottom