Pasco,
Shein amwondoe mwanasheria mkuu kwa kosa gani? Kwa kuitetea katiba ya Zanzibar aliyoapa kuilinda? Mimi ntamshangaa sana Shein, manake yeye ndo anatakiwa kufutwa kazi kama atakwenda Dodoma kuipokea katiba inayoivunja katiba ya Zanzibar aliyoapa kuilinda.
Hata maccm yaliyopitisha hii katiba yao, mi naona kama vile yapo sahihi manake yanalinda yao waliyoapa kuyalinda...
Shein amwondoe mwanasheria mkuu kwa kosa gani? Kwa kuitetea katiba ya Zanzibar aliyoapa kuilinda? Mimi ntamshangaa sana Shein, manake yeye ndo anatakiwa kufutwa kazi kama atakwenda Dodoma kuipokea katiba inayoivunja katiba ya Zanzibar aliyoapa kuilinda.
Hata maccm yaliyopitisha hii katiba yao, mi naona kama vile yapo sahihi manake yanalinda yao waliyoapa kuyalinda...