kisaka victpr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 657
- 116
Asante Pasco!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washabiki wa UKAWA inabidi wasusie Mchakato kama walivosusia Wajumbe wao! Una matatizo ya akili si bure!
Dr. Shein na Mwanasheria mkuu ni kitu kimoja, support kubwa wanapata toka kwa maalim seif na Karume. Anachokifanya Mwanasheria mkuu kina baraka zote toka ikulu ya znz.
Kuna taarifa chini ya kapeti kuwa, huenda Dr. Shein asipewe kipindi cha pli cha uongozi kwa kuruhusu haya yaliyotokea.
wakimfuta leo, kesho yake utamsikia amekuwa kiongozi fulani chama cha upinzani na watakoma. hawawezi kufanya hilo kosa, litakuwa kosa kubwa sana litakalowagarimu. yeye ameshachukua credit mbele za watu na hakuna wa kumuadibisha.
Dr. Shein na Mwanasheria mkuu ni kitu kimoja, support kubwa wanapata toka kwa maalim seif na Karume. Anachokifanya Mwanasheria mkuu kina baraka zote toka ikulu ya znz.
Kuna taarifa chini ya kapeti kuwa, huenda Dr. Shein asipewe kipindi cha pli cha uongozi kwa kuruhusu haya yaliyotokea.
Dr. Shein na Mwanasheria mkuu ni kitu kimoja, support kubwa wanapata toka kwa maalim seif na Karume. Anachokifanya Mwanasheria mkuu kina baraka zote toka ikulu ya znz.
mbona kuna ibara amezikubali angalieni pande zote za shilingi msiwe watu wa kulaumu tu! hakika huyu ni mtu mkweli anayeheshimu kiapo chake kama mwanataalumaAsipomwondoa ndio tutaamini lao moja.
Huwa Nasema Hapa Kila Siku Pasco Ni Mtu Mwenye Wadhifa Mkubwa Kama Si Waziri Wa Wizara Nyeti, Basi Ni !!! Mtu Mkubwa Sana Serikarini/usalama Wa Taifa, Nimekuwa Makini Sana Nikifatilia Post Zake Hapa Kila Siku, Kama Huamini Mfuatilie Kwenye Jukwaa Hili Utaamini, Usishangazwe Na Id Anayotumia
Huwa Nasema Hapa Kila Siku Pasco Ni Mtu Mwenye Wadhifa Mkubwa Kama Si Waziri Wa Wizara Nyeti, Basi Ni !!! Mtu Mkubwa Sana Serikarini/usalama Wa Taifa, Nimekuwa Makini Sana Nikifatilia Post Zake Hapa Kila Siku, Kama Huamini Mfuatilie Kwenye Jukwaa Hili Utaamini, Usishangazwe Na Id Anayotumia