Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

all thngs talk abt politics jaribu kupost vitu ambyvo vinamake sound i hate politics
Unapaswa kujihakiki kama upo sawa maake you are very wrong na pasco yupo sahihi hili ni jukwaa la siasa tafuta unapopapenda sio unakuja kwenye jukwaa usilolipenda afu Id yako na ulichoandika havifanani as if kuna mtu alikusajilia account ya Jf bwana
 
Usitake kuzungumzia usiyojajua. Ni bora kukaa kimya. Otherwise, utaonekana kama kasuku vile.

Labda nikufahamishe tuu ni kuwa a trailer is an advertisement consisting of short scenes from a motion picture that will appear in the near future.

So, in future don't guess movie itakuwaje kama hata trailer hajaangalia.


Mkuu, kama ulifuatilia vizuri nyendo zote za mwanasheria huyu toka awali mchakato ulipoanza utakubaliana na mimi kuwa hakuwa peke yake, hili la kufutwa kazi ni amri toka kwa bosi mkuu Tanganyika, Dr. Shein hana altenative.
 
Napenda sana uandishi wako Mr. Pasco
 
Last edited by a moderator:
Hakika Huyo Mwanasheria ataibuka shujaa,TIME WILL TELL
 
Nimeamini tatizo la wazanzibari ni mzanzibari mwenyewe. Wa znz ni wanafiki sana. How hard is it for then to unite as one? Kudai self determination au referendum? Hawatofika kokote kama wenyewe kwa wenyewe wako hivi. ------------ kwa dola 200 na wakirudi Znz watapokelewa kwa vofijo na nderemo bafala ya disgust na itikafu. Wazanzibari ni wanafiki sana na njaa ya dola 200 ndio imezi kuchangia
 
ungekuwa sio ule utaratibu wa "zisipo tosha zinatosheshwa!", hali ingekuwaje...
Aiseee, uwazi wako hapo kwenye RED umenifurahisha sana, nashukuru kwa kuwa muwazi kuhusu mbinu zenu!
 
Huwa Nasema Hapa Kila Siku Pasco Ni Mtu Mwenye Wadhifa Mkubwa Kama Si Waziri Wa Wizara Nyeti, Basi Ni !!! Mtu Mkubwa Sana Serikarini/usalama Wa Taifa, Nimekuwa Makini Sana Nikifatilia Post Zake Hapa Kila Siku, Kama Huamini Mfuatilie Kwenye Jukwaa Hili Utaamini, Usishangazwe Na Id Anayotumia

Huyu ni Paschal Mayalla,mwanahabari tu,kama humfahamu angalia vipindi vya NHC.
 
Dr. Shein na Mwanasheria mkuu ni kitu kimoja, support kubwa wanapata toka kwa maalim seif na Karume. Anachokifanya Mwanasheria mkuu kina baraka zote toka ikulu ya znz.

Kuna taarifa chini ya kapeti kuwa, huenda Dr. Shein asipewe kipindi cha pli cha uongozi kwa kuruhusu haya yaliyotokea.

haha ha apa patamu sana lakini napata shida kuamini kichwa changu hakitaki
 
Mkuu Pasco Laigwanani akikuacha katika utukufu wake basi kutakuwa na mkono wa mtu.Unafaa sana kuchukua nafasi ya yule rafiki yetu Salva.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahhhh.... Pasco !!

Kunawatu niliwaambia humu ndani kwamba uwezo wa huyu jamaa uko juu sana, Sema ktk maandiko yake unapomsoma unatakiwa uwe Great Thinker hasa ili uweze kumwelewa na mwende sambamba vinginevyo unatoka kapa kabisa..

Nadhani leo mtamwelewa nasikitika sikuipata thread hii mapema

BACK TANGANYIKA
 
Last edited by a moderator:
Pasco
Yaani wewe kama sio magamba basi una laana! Bravo Masoud!
 
Last edited by a moderator:
Pasco njoo uhitimishe thread yako, wamekusikia na wametekeleza. Hivi bado unapenda kuendesha piki piki au baada ya ile ajali mbaya umeacha? Niuzie moja maana folen za jiji hili dawa ni pikipiki.
 
Shikamoo Pasco! Leo ndo nimefunguka macho na kukuelewa post zako zote. Hakika taaluma ya fasihi umeimiliki barabara. Tangu sasa nitakuwa nakusoma katikati ya mistari. Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Dah! Huyu jamaa, Pasco ana rangi nyingi sana mpaka nashindwa kuelewa!
Anyway, mwomba hupewa!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom