Dkt. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii

Mkuu Pasco naona Mh Raisi Shein ameitikia wito wako kama ulivyoagiza. Bila shaka nawe ni 'amiri jeshi' kinamna maana maagizo yako yametekelezwa haraka iwezekanavyo
 
Nimekuelewa pia Na roho ya mungu ayaambia makanisa......
 
Mkuu, kama ulifuatilia vizuri nyendo zote za mwanasheria huyu toka awali mchakato ulipoanza utakubaliana na mimi kuwa hakuwa peke yake, hili la kufutwa kazi ni amri toka kwa bosi mkuu Tanganyika, Dr. Shein hana altenative.

Kwani Dkt Shein atakokea chama kipi tena?
 
dr shein ni domo zege masikini kila anachoambiwa jibu lake ndio mzee ..ccm bara wajanja sana wanahakikisha rais wa zanzibar anachaguliwa dodoma na awe mtu wa kuendeshwa endeshwa kwa remote control.fact zanzibar ni koloni lisilo rasmi la tanganyika
 
Dah... Mkuu Pasco takaa ama kubali uko kwenye System aisee... What a coincidence!!!
 
Last edited by a moderator:


Usichokijua ni kama usiku wa Giza .Huna haja ya kutoka pofu.Kama unaona hii ni hoja nenda mbele zaidi Mshauri Shein amfukuze na Maalim Seif.
Hilo unalozungumzia la ushawishi eti kumwaga sumu ,tayari umwekwisha mwagika toka wamfukuze Mansoor Hamid na kwa taarifa yako bado sana,subiri Vikao vya Baraza la Wawakilishi lianze.

Ila kabla huja..bwa..bwa..ja sana rejea hii nukuu hapo chini. Hivyo Shein kuamua kumfukuza Mwanasheria ni uoga ule ule na kulinda masilahi yake binafsi na si ya wanZanzibar wengi,na hili ni suala la muda


 
Mkuu Pasco yametimia. CHAMInglady huyo yuko kambi tarajiwa urais 2015; ni kambi yenye uwezo wa kupata chochote toka srikali hii maana walishiriki kuijenga hapo mwanzo!
 
Last edited by a moderator:
dr shein ni domo zege masikini kila anachoambiwa jibu lake ndio mzee ..ccm bara wajanja sana wanahakikisha rais wa zanzibar anachaguliwa dodoma na awe mtu wa kuendeshwa endeshwa kwa remote control.fact zanzibar ni koloni lisilo rasmi la tanganyika
 
Mwanasheria gani huyo ambaye hata ethics za taaluma yake hazijui?

Ethics zipi ambazo hazitambui? Alichokifanya ndicho alicho apa kukifanya,yeye haongozwi kwa mawazo ya wanasiasa,yeye anaongozwa na taratibu za kazi yake
 
Rudi shule kwanza


............nirudi shule gani sasa :wacko:, maana ninajua (KUKUKU) kuhesabu, kusoma na kuandika. Hebu toa maelekezo yaliyosimama ili niifahamu hiyo shule
 
Hii ndiyo Demokrasia Tanzania... Kwa hili linatuonesha wazi viongozi wetu ni majuha pia hawana nia njema na maisha ya watanzania... kama mtu anaingiliwa kwenye UHURU wake binafsi tena wa kikatiba.

Hili lilofanya na mwenye nchi huku Zanzibar linakinzana na Sera ya utawala bora na uvunjifu wa haki za binadamu wa kuingilia Uhuru wa MTU..Tuna saini mikataba ya kimataifa ya nini bora tuishi bila misingi ya kikatiba wala hiyo mikataba ya kimataifa juu ya haki za binadamu..bora tuishi tunajua kuwa tuna utawala wa kiimla...

Kuna maswala ya kumfukuza mtu kazi na si hili la mwanasheria wa Zanzibar alilofanyiwa maana tarehe 2.10.2014 huko bungeni Dodoma alichokifanya ni juu ya kile alichokiamini.K wa hali hii Katiba bora itapatikana ? au ndio tutapigwa virugu ili tupige kura ya ndiyo? Mungu ibariki Tanzania na tuondolee viongozi majuha.
 

Mwambie mwanasheria wako ajifunze toka kwa MREMA. kama hukubaliani na msimamo wa serikali unayoitumikia unayatoa ya moyoni mwako na kujiudhuru hapohapo bungeni Hakutakiwa kungoja afukuzwe
 
Mkuu Kabulala, just note the date and do your homework
P
 
Kuna watu wanaitwa ni wamwaga sumu. Niliwahi kutoa angalizo kuhusu mmwaga sumu huyu, sasa ndio yumo serikali, hivyo kufikia 2025, kama hatadhibitiwa kabla, uchaguzi wa 2025 Zanzibar kuna kazi!.
P
 
Mkuu Nzwangendaba, kwanza hongera kwa jina zuri, linafanana na yule kiongozi wa Wangoni kutoka Africa Kusini kuja kuhamia Tanzania, Zongendamba.

Karibu mitaa hii, angalia tuu tarehe ya bandiko ni la lini na nini kilikuja kutokea.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…