Mtu yyt muungwana hawezi kutetea CCM abadan.Ila nyie uvccm kiukwel bila unafiki nyie ndio bure kbs kati ya vijana weny dhamana ya utawala hakika nyie ni wajinga ila samahan kwa maneno yang makali but huo ndio ukwerii!! Mitandaon sehem nying hua hamna upeo wa kujibu hoja ili kuitetea serikali ya CCM hata kdg!!
Hoja dhaif kbs hii ❌Keshapimwa mkojo na adabu kashika na atafunga bakuli lake jumla ,hutomsikia tena kama Dr.Nshala.
Kumbe mhaini ruksa kupewa dhamana!!
Aibu nyingine tena kwa Taifa.......Mwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
Sahihi ✔️Ni ajabu sana. lakini ukiangalia hii nchi ni kama rais ni Mmarekani, Polisi ni North Korea, Mahakama ni Wacuba, Wananchi ni wavietnam.....network hazisomani kabisa. mambo ya kulifedhehesha taifa yanaendelea mchana kweupe na hakuna mtu wa kuwajibishwa.
Kumbe,ulimpima wewe!?Keshapimwa mkojo na adabu kashika na atafunga bakuli lake jumla ,hutomsikia tena kama Dr.Nshala.
Nakazia hapo 👆👆Mtu yyt muungwana hawezi kutetea CCM abadan
zina watu ( zinafanya kazi kwenye kundi flani la watu )..Kwahiyo hizi sheria zimetungwa ziwe kama gazeti la Mashairi?
Wewe hukatazwi kuamini chochote hapa.Ninachoamini mimi hii nchi inaongozwa na watu wenye upeo mdogo mno. Nina hakika hata mtoto wa darasa la saba anaweza akawa kiongozi bora kuliko huu uozo tulio nao sasa.
hapo palipaswa pawe ukomo wa comment yako. Kuniambia mambo ya UKIMWI wako uliokuwa nao na mambo ya Samia ambae hata hajatajwa nakuhisi ni kama mfa maji unaetapatapa.Wewe hukatazwi kuamini chochote hapa.
Sikubaliani naww katika hili 👆👆. Kwanza kbs JPM ambacho hakutaka ni kukosolewa kiujumla ushindan wa kisiasa kwa hoja hakulitaka abadan that's why alikua vile, na dunia ya leo Mzee huez kwepa wapinzani wako kwa hoja utaishia aidha kutaka kuwamaliza kitu ambacho hakikusaidii. Dunia yenyew ndio hii tunapita tu. Haya kiko wapi? NB: Ukikubali kuingia siasani kubali na game zote za politics unless otherwise achana na siasa!! OverAngekuwa ni magufuli hapa huyo Slaa angekuwa historia tu.
Shukuruni sana kwa Mungu Mama Samia yuko madarakani
kwahiyo wamemtenganisha na akina mwabukusi na mdude kwakuiogopa vaticanMwanasiasa mkongwe na Mwanadiplomasia hapa Tanzania Dkt. Wilbroad Slaa ameachiwa kwa dhamana masaa machache yaliyopita ikiwa ni siku chache baada ya kukamatwa akituhumiwa kwa makosa ya uhaini.
Taarifa za kuachiliwa kwa Dkt. Slaa zimekuja ndani ya masaa 24 baada ya jopo la Mawakili wanaomtetea yeye na wenzake watatu kufungua kesi dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mwendesha Mashtaka Mkuu, Mkuu wa Polisi Mkoa wa Mbeya na Mkuu wa Polisi Kituo Kikuu cha Mbeya Mjini kwa kuendelea kuwashikilia wateja wao kinyume na taratibu za kisheria.
Pia soma
- Dkt. Slaa arudishwa kituo cha Polisi Oysterbay kutoka Mbeya. Wakili wake aambiwa akashughulikie dhamana
serikali ya hangaya inahurumaKumbe uhaini una dhamana siku hizi?