Halafu kesho aseme Tundu Lisu kupigwa risasi ni tukio la kawaida na Ulaya huwa yanatokea! Akasema tena kuwa Chadema wanatekana na upuuzi mwingi tu.
Amejifunza ukubwani kuwa tukemee ubaya hata kama unanufaika na ubaya wa magufuli (ubalozi).
Kumalizia Dr. Slaa ni mpuuzi mkubwa aliyoyasema na kufanya alipo defect to CCM
Amejifunza ukubwani kuwa tukemee ubaya hata kama unanufaika na ubaya wa magufuli (ubalozi).
Kumalizia Dr. Slaa ni mpuuzi mkubwa aliyoyasema na kufanya alipo defect to CCM