Dkt. Slaa aachiwa kwa Dhamana kituo cha Polisi Oysterbay

Samia ana kazi nyingi za kupigania maendeleo ya watanzania hawezi kwenda kusalimia hiki kibabu kipotoshaji never ever.
 
Kwako Cc Kikaniki
 
Imeisha hiyo...Hongereni Holi sii!
 
Wamempima mkojo na tezi dume?
 
Failing state on its own discourse actions.

#Free Mwabhukusi and Mdude Nyagali because they are neither traitors nor criminals of any nature
 
Hii Nchi ni Secular Democracy tusije kujikuta tunachezea shilingi chooni

Siyo kweli, mfumo mzima wa Tanzania ni western christian, hata Zanzibari yenyewe ingawaje >98% ni Waislamu lkn inafwata Western Christian system of Governance …
 
Hata kama wamemwachia, imekula kwao, huo mkopo hatuwapi. Tutaona mjinga ni nani
 
Hata kama wamemwachia, imekula kwao, huo mkopo hatuwapi. Tutaona mjinga ni nani
Unataka Serikali ikose hela za kugharamia Uchaguzi wa Mwakani na ule Mkuu 2025 🤪
 
Kwanini Slaa peke yake? Au kwakuwa alikuwa mtumishi mwandamizi wa ile taasisi yao??
 
Afya yake haiko sawa. Unaweza let kesi nyingine akibaki ndani
 
Dr. Slaa mzinguaji. kipindi DIKTETA MAGUFULI anaitawala Tz🇹🇿 Kwa MKONO WA CHUMA yeye alikuwa anakula unyunyu kiwanja. Alidhihaki vibaya tukio la Tundu lissu kushambuliwa. aliunga mkono Operation zote zilizo tekelezwa na genge la DIKTETA MAGUFULI. Leo anataka huruma ya WA Tz🇹🇿 acha karma ikutafune mzee wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…