Wakati wa mjomba Magu ulipotea sana chiefHalafu siku nyingi nilikuwa najiuliza hili jina " SLAA " nimeliona wapi?
Nimekuta kumbe SLAA ni kundi moja lililoko USA lenye maana ya " Sex and Love Addicts Anonymous (SLAA) .
Hatari sana.
Nilitoga ushauri hii ishu ya DP world ilibiishe ni kitengo kubuni tukionmoja matata ambalo litakuwa gumzo mdomoni kwa kila mmoja na kushika vichwa vyote vya habri .Haka kanchi mpira ukipoa siasa inainuka,siasa ikipoa utasikia Kuna vidio ya mgonoko imevuja!, vidio ikipoa wanamuziki wanainuka! Utasikia mondi kafumania na chuchu!.. ilimradi tafrani inachosa Sasa.. hiyo ni dp world tu bado Kuna mzimu katiba umelala siku ukiamshwa mjue kivumbi..😂
Kwa kukuuza wewe na wenzako uarabuni,... usitake na wengine wakubali kuwa na akili iliyopinda kama yako.Wala usijari mimi nipo humu kwa ajili ya kuondoa upotoshaji wa aina yoyote dhidi ya Serikali yetu inayoendelea kufanya vizuri katika kuwahudumia na kuwapelekea wananchi maendeleo.
😃😃😃😃😃Ni ajabu sana. lakini ukiangalia hii nchi ni kama rais ni Mmarekani, Polisi ni North Korea, Mahakama ni Wacuba, Wananchi ni wavietnam.....network hazisomani kabisa. mambo ya kulifedhehesha taifa yanaendelea mchana kweupe na hakuna mtu wa kuwajibishwa.
Wewe ndio unategemewa ndani ya UVCCM. THINK
Magufuli nilimkubali sana na yyt aliyekuwa anaropoka ovyo alikuwa anamtia adabu juu kwa juu kwahio sikuhitajika kabisa kukumbusha hawa paka wasio na nidhamu.W
Wakati wa mjomba Magu ulipotea sana chief
Hebu thibitisha huo uadui wangu kwa hii Nchi yangu niipendayo ya TanzaniaMaadui wakubwa wa nchi hii ni watu wa aina yako.
Sasa hata kule kujivisha ngozi ya kondoo kumekushinda!
Hovyo Kabisa!
Nimekusoma mkuu.Hebu thibitisha huo uadui wangu kwa hii Nchi yangu niipendayo ya Tanzania
Tafadhali thibitisha
Nimeongeza nyama hebu isome kidogoNimekusoma mkuu.
Kwa sasa tuyaachie hapa.
Usiulize kiongozi, kaa kimya usije ukatukanwa na wenzetu hawa wanaojua kila kitu na wenye akili balaa.Amesomewa mahakama gani mashataka ya tuhuma uhaini? Inawezekana ofisi ya mashtaka haikuona kosa la kumshtaki la uhaini. Bado polisi wako sawa kumpa dhamana uchunguzi ukiendelea.
Yaani hili sakata la bandari linazidi kukolea utamu. Spika Tulia alidhani anaweza iburuza demokrasia kirahisi rahisi kwa kuwatumia akina Msukuma, akawadharau na kuwaandama akina Mpina! Demokrasia lazima iheshimie. Hii nchi ni ya sisi sote. Baraza la Maaskofu Tanzania, TEC limejiunga kwenye huu mchezo. Tulia ingefaa akaachia ngazi kwa kusababisha sakata hili.Eti wanamsubiria kwa hamu kwenye SPACE😀 kwamba ateme cheche bado zikiwa za moto moto kutoka rumande.
Dah!Nimeongeza nyama hebu isome kidogo
katika hili tupo pamoja sana.Yaani hili sakata la bandari linazidi kukolea utamu. Spika Tulia alidhani anaweza iburuza demokrasia kirahisi rahisi kwa kuwatumia akina Msukuma, akawadharau na kuwaandama akina Mpina! Demokrasia lazima iheshimie. Hii nchi ni ya sisi sote. Baraza la Maaskofu Tanzania, TEC limejiunga kwenye huu mchezo. Tulia ingefaa akaachia ngazi kwa kusababisha sakata hili.
Sio wote hufatilia upuuzi wa namna hiyo mkuu.Nilitoga ushauri hii ishu ya DP world ilibiishe ni kitengo kubuni tukionmoja matata ambalo litakuwa gumzo mdomoni kwa kila mmoja na kushika vichwa vyote vya habri .
Ni kumchukua bwege flani ambaye hana mshipa wa aibu kama Mwijaku ambaye hana mshipa wa aibu na kumpeleka kunya hadharani mchana kweupe pale posta round about askari monument mbele ya kadamnas
[emoji419][emoji375][emoji848][emoji2827][emoji1549]Dhamana imenajisiwa
Wanaweza wakawa wameshatoka muda huu mtaniNisaidieni, je hao vijana wengine huko mbeya wamepata dhamana ?