Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kundi kwa makusudi limeamua kumpotosha huyo mama ili watimize matarajio yao.CCM bana, hata kama hutaki kucheka utacheka tu - mambo ya Ugaidi aka Rau Madukani kwa mama Pendo, MO energy na mishikaki sasa hivi hamna tena ? Sasa hivi ni mambo na UHAINI eeeee
Mpaka waombe poo...Sukuma gang mwaka lazima mtemeshwe ubuyu
Umeonaeeeeeee?Mpaka waombe poo...
Uwanja wetu wa Chato nasikia ng'ombe wanapumzikia pale wakiota jua ili wapate Vitamin D kwa wingi
Walivyo na hasira wataondoka na mtu safari hiiUpepo wa DPW umefunua yale ya sirini.
Mkataba wao unao utuwekee hapa?Bandari ya London na Southampton zinaendeshwa na hao waarabu. Halafu mpuuzi mmoja anakwambia mwarabu anataka kuichukua Tanzania kupitia bandari yetu!. Kwanini asiinunue Belgium na UK aje kuinunua Tanzania yetu?. Tujiongeze vichwani ili hawa mawakala wa wapigaji kina Kalamu wakose kabisa hoja.
Wanasemaga kuwa kenge hawezi kujua kama ameumia hadi aone damu inamtoka masikioniMkataba wao unao utuwekee hapa?
Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.
Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
Vidole wanawatia nyinyi mnaojiita wanaharakati mnaokuja na maneno ya kichochezi, mnakamatwa na kushughulikiwa vilivyo.Mkataba wao unao utuwekee hapa?
Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.
Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
NIMEKUSAIDIA HAYA MAANDIKO HAYA HAPA SOMA: MFalme Nebukadreza, kwa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wanaokaa katika dunia yote; Amani iongezeke kwenu.naomba andiko nipitie naona stori inafana na kisa cha farao
Mpumbavu kabisa, ndiyo maana huelewi chochote.Vidole wanawatia nyinyi mnaojiita wanaharakati mnaokuja na maneno ya kichochezi, mnakamatwa na kushughulikiwa vilivyo.
Mkataba umetolewa ufafanuzi zaidi ya mara milioni moja mbele ya wahariri kama wewe unajifungia ndani wakati wa hiyo michakato basi tulia kwako usitake kusumbua watu, kwani utaumia vibaya sana.
Unapoishiwa hoja unakimbilia kwenye matusi, hayo hayauzwi yanatumiwa bure tu tangu tukiwa watoto na tutakufa tukiyaacha.Mpumbavu kabisa, ndiyo maana huelewi chochote.
Mimi sikwambii uweke ile takataka ya Dubai na Tanzania hapa. Ninakwambia uweke hiyo mikataba unayojigamba Dubai na waingereza wanashirikiana juu yake.
Usiweke matumaini yako sasa kwenye huo ujinga unaouona sasa hivi wa kubambikizia watu tuhuma. Hayo mazingaombwe hayatasaidia chochote kuzuia kuzolewa kwenu na kimbunga kinachokuja kuwazoa.
Aliupiga wakati ule. Na sasa akiupiga tena tutamwambia. Ila naona amepumzika kwanza.Siku hizi pambio za kuupiga mwingi hazisikiki kabisa.
Tafuta mitandaoni, google ipo kwa ajili ya wote.Mkataba wao unao utuwekee hapa?
Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.
Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
Haya uliyoweka hapa ni habari mpya, au ni yaleyale unayorudia marakwa mara?Unapoishiwa hoja unakimbilia kwenye matusi, hayo hayauzwi yanatumiwa bure tu tangu tukiwa watoto na tutakufa tukiyaacha.
Mikataba ya consession na lease inaendelea kuandaliwa muda huu huko ughaibuni. Faida za uwekezaji zitakwenda kugusa maisha ya mtanzania wa kawaida hata wewe unayeona ufahari kuja na matusi hapa jukwaani.
Sina muda huo.Tafuta mitandaoni, google ipo kwa ajili ya wote.
Hakuna kitu hapo.Aliupiga wakati ule. Na sasa akiupiga tena tutamwambia. Ila naona amepumzika kwanza.
Takataka mnajaza nyinyi mnaoishia kuweka mapovu yenu wakati haina uwezo wa kuibadilisha mipango mizito ya uwekezaji pale bandarini.Sina muda huo.
Wewe uliyekwenda kufukunyua huko na kuleta hiyo habari ulipashwa kufanya hivyo, kuliko kutujazia takataka humu JF zisizokuwa na maana yoyote.
Pole sana kwa maumivu makubwa unayoyapata baada ya nia zako mbaya kushindwa kila mara.Haya uliyoweka hapa ni habari mpya, au ni yaleyale unayorudia marakwa mara?
Haitakusaidia chochote kufikiri kuwa ukirudiarudia mambo yale yale yatabadili maana na kuwa ya msingi zaidi
Hiyo IGA yenu ni takataka, na mtazikwa na takataka zenu hizo mnazowaletea waTanzania.