Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

Dkt. Slaa adaiwa kubadilishiwa mashtaka kutoka ya uchochezi na kuwa ya uhaini

CCM bana, hata kama hutaki kucheka utacheka tu - mambo ya Ugaidi aka Rau Madukani kwa mama Pendo, MO energy na mishikaki sasa hivi hamna tena ? Sasa hivi ni mambo na UHAINI eeeee
 
CCM bana, hata kama hutaki kucheka utacheka tu - mambo ya Ugaidi aka Rau Madukani kwa mama Pendo, MO energy na mishikaki sasa hivi hamna tena ? Sasa hivi ni mambo na UHAINI eeeee
Kuna kundi kwa makusudi limeamua kumpotosha huyo mama ili watimize matarajio yao.
 
Bandari ya London na Southampton zinaendeshwa na hao waarabu. Halafu mpuuzi mmoja anakwambia mwarabu anataka kuichukua Tanzania kupitia bandari yetu!. Kwanini asiinunue Belgium na UK aje kuinunua Tanzania yetu?. Tujiongeze vichwani ili hawa mawakala wa wapigaji kina Kalamu wakose kabisa hoja.
Mkataba wao unao utuwekee hapa?

Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.

Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
 
Mkataba wao unao utuwekee hapa?

Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.

Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
Wanasemaga kuwa kenge hawezi kujua kama ameumia hadi aone damu inamtoka masikioni
 
Mkataba wao unao utuwekee hapa?

Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.

Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
Vidole wanawatia nyinyi mnaojiita wanaharakati mnaokuja na maneno ya kichochezi, mnakamatwa na kushughulikiwa vilivyo.

Mkataba umetolewa ufafanuzi zaidi ya mara milioni moja mbele ya wahariri kama wewe unajifungia ndani wakati wa hiyo michakato basi tulia kwako usitake kusumbua watu, kwani utaumia vibaya sana.
 
naomba andiko nipitie naona stori inafana na kisa cha farao
NIMEKUSAIDIA HAYA MAANDIKO HAYA HAPA SOMA: MFalme Nebukadreza, kwa watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wanaokaa katika dunia yote; Amani iongezeke kwenu.
2 Mimi nimeona vema kutangaza habari za ishara na maajabu, aliyonitendea Mungu aliye juu.
3 Ishara zake ni kubwa kama nini! Na maajabu yake yana uweza kama nini! Ufalme wake ni ufalme wa milele; na mamlaka yake ni ya kizazi hata kizazi.
4 Mimi, Nebukadreza, nalikuwa nikistarehe katika nyumba yangu, nikisitawi katika nyumba yangu ya enzi.
5 Nikaota ndoto iliyonitia hofu; mawazo niliyokuwa nayo kitandani mwangu, na njozi za kichwa changu, zikanifadhaisha.
6 Basi nikatoa amri kwamba wenye hekima wote wa Babeli, waletwe mbele yangu, ili kunijulisha tafsiri ya ndoto ile.
7 Ndipo wakaingia waganga, na wachawi, na Wakaldayo, na wanajimu; nikawahadithia ile ndoto; wao wasiweze kunijulisha tafsiri yake.
8 Bali hatimaye Danielii akaingia mbele yangu, ambaye jina lake ni Belteshaza, kwa kufuata jina la mungu wangu; tena ndani yake inakaa roho ya miungu watakatifu; nikamhadithia ile ndoto, nikisema,
9 Ee Belteshaza, mkuu wa waganga, kwa sababu ninajua ya kuwa roho ya miungu watakatifu inakaa ndani yako, na ya kuwa hapana neno la siri likushindalo, niambie njozi za ndoto yangu niliyoiona, na tafsiri yake.
10 Njozi za kichwa changu kitandani mwangu zilikuwa hivi; naliona, na tazama, palikuwa na mti katikati ya nchi, urefu wake mkubwa sana.
11 Mti ule ukakua, ukawa na nguvu, urefu wake ulifika mpaka mbinguni, na kuonekana kwake mpaka mwisho wa dunia.
12 Majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha watu wote; wanyama wa kondeni walipata uvuli chini yake, na ndege wa angani walikaa katika matawi yake; kila kitu chenye mwili kilipata chakula kwake.
13 Nikaona katika njozi za kichwa changu kitandani mwangu, na tazama, mlinzi, naye ni mtakatifu, alishuka kutoka mbinguni.
14 Akapaza sauti yake, akasema, Ukateni mti huu, yafyekeni matawi yake, yapukusieni mbali majani yake, na kuyatawanya matunda yake, wanyama na waondoke hapo chini yake, na ndege katika matawi yake.
15 Walakini kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikapate maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama katika majani ya nchi;
16 moyo wake ubadilike, usiwe moyo wa binadamu, na apewe moyo wa mnyama; nyakati saba zikapite juu yake.
17 Hukumu hii imekuja kwa agizo la walinzi, na amri hii kwa neno la watakatifu; kusudi walio hai wapate kujua ya kuwa Aliye juu anatawala katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, tena humtawaza juu yake aliye mnyonge.
18 Mimi, Nebukadreza, nimeiona ndoto hii; na wewe, Ee Belteshaza, eleza tafsiri yake, kwa maana wenye hekima wote wa ufalme wangu hawawezi kunijulisha tafsiri yake; bali wewe waweza, maana roho ya miungu watakatifu inakaa ndani yako.
19 Ndipo Danielii, aliyeitwa jina lake Belteshaza, akashangaa kwa muda, na fikira zake zikamfadhaisha. Mfalme akajibu akasema, Ee Belteshaza, ndoto ile isikufadhaishe wala tafsiri yake. Belteshaza akajibu, akasema, Bwana wangu, ndoto hii iwapate wao wakuchukiao, na tafsiri yake iwapate adui zako.
20 Ule mti uliouona, uliokua, ukawa na nguvu, urefu wake ukafika mpaka mbinguni, na kuonekana kwake mpaka dunia yote;
21 ambao majani yake yalikuwa mazuri, na matunda yake mengi, na ndani yake chakula cha kuwatosha wote; ambao chini yake wanyama wa kondeni walikaa, na ndege wa angani walikuwa na makao yao katika matawi yake;
22 ni wewe, Ee mfalme, uliyekua, na kupata nguvu; maana ukuu wako umekua na kufika mpaka mbinguni, na mamlaka yako yamefika mpaka mwisho wa dunia.
23 Tena, kwa kuwa mfalme alimwona mlinzi, naye ni mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni, akisema, Ukateni mti huu, mkauangamize; ila kiacheni kisiki cha shina lake katika ardhi, pamoja na pingu ya chuma na shaba, katika majani mororo ya kondeni; kikatiwe maji kwa umande wa mbinguni, na sehemu yake iwe pamoja na wanyama wa kondeni, hata nyakati saba zipite juu yake;
24 tafsiri yake ni hii, Ee mfalme, nayo ni amri yake Aliye juu, iliyomjia bwana wangu, mfalme;
25 ya kuwa utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa kondeni, nawe utalazimishwa kula majani kama ng'ombe, nawe utatiwa maji kwa umande wa mbinguni, na nyakati saba zitapita juu yako; hata utakapojua ya kuwa Aliye juu ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa yeye amtakaye, awaye yote.
26 Na kwa kuwa waliamuru kukiacha kisiki cha shina lake; ufalme wako utakuwa imara kwako, baada ya wewe kujua ya kuwa mbingu ndizo zinazotawala.
27 Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; ukaache dhambi zako kwa kutenda haki, ukaache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za kukaa raha.
28 Hayo yote yakampata mfalme Nebukadreza.
29 Baada ya miezi kumi na miwili, alikuwa akitembea ndani ya jumba la kifalme katika Babeli.
30 Mfalme akanena, akasema, Mji huu sio Babeli mkubwa nilioujenga mimi, uwe kao langu la kifalme, kwa uwezo wa nguvu zangu, ili uwe utukufu wa enzi yangu?
31 Hata neno lile lilipokuwa katika kinywa cha mfalme, sauti ilikuja kutoka mbinguni, ikisema, Ee mfalme Nebukadreza, maneno haya unaambiwa wewe; Ufalme huu umeondoka kwako.
32 Nawe utafukuzwa mbali na wanadamu, na makao yako yatakuwa pamoja na wanyama wa kondeni; utalishwa majani kama ng'ombe, na nyakati saba zitapita juu yako, hata utakapojua ya kuwa Aliye juu ndiye anayemiliki katika ufalme wa wanadamu, naye humpa amtakaye, awaye yote.
33 Saa iyo hiyo jambo hilo likatimizwa, likampata Nebukadreza; alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ng'ombe, na mwili wake ulilowa maji kwa umande wa mbinguni, hata nywele zake zikakua, zikawa kama manyoya ya tai, na kucha zake kama kucha za ndege.
 
Vidole wanawatia nyinyi mnaojiita wanaharakati mnaokuja na maneno ya kichochezi, mnakamatwa na kushughulikiwa vilivyo.

Mkataba umetolewa ufafanuzi zaidi ya mara milioni moja mbele ya wahariri kama wewe unajifungia ndani wakati wa hiyo michakato basi tulia kwako usitake kusumbua watu, kwani utaumia vibaya sana.
Mpumbavu kabisa, ndiyo maana huelewi chochote.
Mimi sikwambii uweke ile takataka ya Dubai na Tanzania hapa. Ninakwambia uweke hiyo mikataba unayojigamba Dubai na waingereza wanashirikiana juu yake.

Usiweke matumaini yako sasa kwenye huo ujinga unaouona sasa hivi wa kubambikizia watu tuhuma. Hayo mazingaombwe hayatasaidia chochote kuzuia kuzolewa kwenu na kimbunga kinachokuja kuwazoa.
 
Mpumbavu kabisa, ndiyo maana huelewi chochote.
Mimi sikwambii uweke ile takataka ya Dubai na Tanzania hapa. Ninakwambia uweke hiyo mikataba unayojigamba Dubai na waingereza wanashirikiana juu yake.

Usiweke matumaini yako sasa kwenye huo ujinga unaouona sasa hivi wa kubambikizia watu tuhuma. Hayo mazingaombwe hayatasaidia chochote kuzuia kuzolewa kwenu na kimbunga kinachokuja kuwazoa.
Unapoishiwa hoja unakimbilia kwenye matusi, hayo hayauzwi yanatumiwa bure tu tangu tukiwa watoto na tutakufa tukiyaacha.

Mikataba ya consession na lease inaendelea kuandaliwa muda huu huko ughaibuni. Faida za uwekezaji zitakwenda kugusa maisha ya mtanzania wa kawaida hata wewe unayeona ufahari kuja na matusi hapa jukwaani.
 
Mkataba wao unao utuwekee hapa?

Najua huna akili, na ni kazi bure kuendelea kujaribu kukueleza mambo yale yale unayorudiarudia kila mara humu.

Hao polisi utakapofika wakati ndio watakaokutia kidole wewe na wenzako. Subiri kidogo.
Tafuta mitandaoni, google ipo kwa ajili ya wote.
 
Unapoishiwa hoja unakimbilia kwenye matusi, hayo hayauzwi yanatumiwa bure tu tangu tukiwa watoto na tutakufa tukiyaacha.

Mikataba ya consession na lease inaendelea kuandaliwa muda huu huko ughaibuni. Faida za uwekezaji zitakwenda kugusa maisha ya mtanzania wa kawaida hata wewe unayeona ufahari kuja na matusi hapa jukwaani.
Haya uliyoweka hapa ni habari mpya, au ni yaleyale unayorudia marakwa mara?

Haitakusaidia chochote kufikiri kuwa ukirudiarudia mambo yale yale yatabadili maana na kuwa ya msingi zaidi

Hiyo IGA yenu ni takataka, na mtazikwa na takataka zenu hizo mnazowaletea waTanzania.
 
Aliupiga wakati ule. Na sasa akiupiga tena tutamwambia. Ila naona amepumzika kwanza.
Hakuna kitu hapo.
Hiyo unayosema "aliupiga" zilikuwa hadaa/uigizaji/mazingaombwe.
Mtu hawezi kuigiza, halafu ikageuka kuwa uhalisia wa mambo.

Kwa hiyo, kama unayo matumaini zaidi ya kuona uigizaji mwingine, wewe utakuwa ni mtu wa kipekee kabisa kuwa na matumaini ya namna hiyo.
 
Sina muda huo.
Wewe uliyekwenda kufukunyua huko na kuleta hiyo habari ulipashwa kufanya hivyo, kuliko kutujazia takataka humu JF zisizokuwa na maana yoyote.
Takataka mnajaza nyinyi mnaoishia kuweka mapovu yenu wakati haina uwezo wa kuibadilisha mipango mizito ya uwekezaji pale bandarini.

Inakuwa sawa na sisimizi mgongoni mwa tembo wakati akinywa maji.
 
Haya uliyoweka hapa ni habari mpya, au ni yaleyale unayorudia marakwa mara?

Haitakusaidia chochote kufikiri kuwa ukirudiarudia mambo yale yale yatabadili maana na kuwa ya msingi zaidi

Hiyo IGA yenu ni takataka, na mtazikwa na takataka zenu hizo mnazowaletea waTanzania.
Pole sana kwa maumivu makubwa unayoyapata baada ya nia zako mbaya kushindwa kila mara.
 
Back
Top Bottom