Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Tetesi: Dkt. Slaa adaiwa kugomewa kurudi CHADEMA

Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Kwani Mashinji alisharudi CHADEMA? Nilipitwa na habari za huzuni! Mbowe kaona mbali, kwa sababu CHADEMA kwa sasahivi haina wanasiasa. Lissu na Mnyika nao wameona mbali, kwani wanatetea matumbo yao na si kwa maslahi ya chama. Hata hivyo Dr Slaa kwa sasa ni mav-i ya kale, hana issue yeyote.
Kifupi kwa CHADEMA ilivyo sasa hivi, 2025 hata wabunge 15 TZ yote hawapati. Suala la Bandari halitwaongezea Kura.
 
CHADEMA hakijawahi mkataa mtu yeyote... HAKINA filter hiyo... ANYONE HAS A PLACE IN IT
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Alisahau nini Chadema? Si aliapa ameachana na siasa?
 
Kwani Mashinji alisharudi CHADEMA? Nilipitwa na habari za huzuni! Mbowe kaona mbali, kwa sababu CHADEMA kwa sasahivi haina wanasiasa. Lissu na Mnyika nao wameona mbali, kwani wanatetea matumbo yao na si kwa maslahi ya chama. Hata hivyo Dr Slaa kwa sasa ni mav-i ya kale, hana issue yeyote.
Kifupi kwa CHADEMA ilivyo sasa hivi, 2025 hata wabunge 15 TZ yote hawapati. Suala la Bandari halitwaongezea Kura.
Labda kwa tume ya policcm lkn kwa Tume huru Ccm isahau kuingia ikulu
 
Offcourse deep state wanamtaka Slaa ataweza mvuruga Samia Hadi suala la katiba mpya litakwenda na maji...
Slaa Hana adabu na ana chuki za kidini ..hii itamfanya Samia awachukie Chadema kabisa ...na asijali Sana maridhiano...na atalazimika kuwa accommodate..team JPM na team Kikwete more kupambana na Slaa na Tundu Lissu...ambao wote hawajui siasa wanajua .uwanaharakati...
In the end watakaopata faida ni ccm hardliners ambao Samia atalazimika kuwasikiliza zaidi ili kuwadhibiti Slaa na Tundu Lissu....
Huku mtu wa Pengo... Philip Mpango anaji brand kama "calm na collected" na "president in waiting"...

Let's wait and see
Nyuzi za chadema utashangaa wachangiaji na washauri ni maccm😆😆😆
 
Asieudi akae huko huko mnaafiki mnaafiki tu
Alisaliti kanisa
Akasiliti mke
Kasaliti chama
Usaliti damuni huyuuu
 
Labda kwa tume ya policcm lkn kwa Tume huru Ccm isahau kuingia ikulu
Nyie mnaota! Vijijini hamfahamiki, kura za huko mtazipataje? Kampeni zenu huwa zinaishia mijini tu. Nipe picha moja ya NYOMI akiwa kiongozi wenu mmoja wa CHADEMA kaenda kuhutubia huko kijijini. Kweli sijawahi kuona!
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Bandari kwanza
 
Nyie mnaota! Vijijini hamfahamiki, kura za huko mtazipataje? Kampeni zenu huwa zinaishia mijini tu. Nipe picha moja ya NYOMI akiwa kiongozi wenu mmoja wa CHADEMA kaenda kuhutubia huko kijijini. Kweli sijawahi kuona!
Bila shaka unashabikia Uto wewe...
 
Kwaakili za manyumbu wanamsubiri mbowe akisema Dr slaa anafaa watasema ndiyoooo akisema ni msaliti wataamini hivyo mpaka kifo chao.

Huwez amini wamemsamehe lowasa dhambi zake zote na Zitto wanamuona ndo msaliti kumzidi hata lowasa! Siasa za Manyumbu mtu anatembea na bongo zao mifukoni. Haaraf hata hii post wakija watatukana tuu
Hata mama yako anaweza rudiana na boyfriend wake wa zamani kipi cha ajabu Slaa kurudi chadema
 
Ijumaa ya tarehe 7/7/2023 , siku ya sabasaba , ilipangwa iwe siku maalumu ya kada maarufu na mbobezi Dkt. Slaa kurudi rasmi kundini na chama kuunganishwa , baada ya makovu waliyopitia Chadema baada ya Dr Slaa kuwaacha 2015.

Lakini mvutano mkubwa umeibuka , huku Mbowe akiwa tayari kumrudisha Kundini Slaa , Aliyewahi kuwa Rais wa TLS na makamu mwenyekiti Tundu Lissu , na Mnyika wamekataa kuridhia .

Baadhi ya wana chadema wanaona Tundu Lissu anamhofia Slaa anaweza kuwa fovorite 2025 kugombea urais , huku Mbowe akiamini kama waliweza kuwakaribisha akina Mashinji kila mtu anastahili msamaha na nafasi ya pili(second chance).

Kazi kwenu makada , Mbowe au Lissu?
Kwa sasa tuko Busy Kuinusuru Bandari zetu
 
Nyie mnaota! Vijijini hamfahamiki, kura za huko mtazipataje? Kampeni zenu huwa zinaishia mijini tu. Nipe picha moja ya NYOMI akiwa kiongozi wenu mmoja wa CHADEMA kaenda kuhutubia huko kijijini. Kweli sijawahi kuona!
Mada inahusu Chadema ushauri unatolewa na wanaccm.....maajabu
 
Dr Slaa hawezi kutamani wala kuwaza kurudi CHADEMA
ni mtu special saana.
Hakuna chama chenye level yake Kati ya CCM na CDM.
Dr Slaa ni level ya kina Magufuli, Nyerere, pro Shivji na wazalendo wengine.
Sio mchumia tumbo km wewe mleta mada
 
Kwaakili za manyumbu wanamsubiri mbowe akisema Dr slaa anafaa watasema ndiyoooo akisema ni msaliti wataamini hivyo mpaka kifo chao.

Huwez amini wamemsamehe lowasa dhambi zake zote na Zitto wanamuona ndo msaliti kumzidi hata lowasa! Siasa za Manyumbu mtu anatembea na bongo zao mifukoni. Haaraf hata hii post wakija watatukana tuu
Hakuna rafiki wala adui wa kudumu kwenye siasa
 
Nyie mnaota! Vijijini hamfahamiki, kura za huko mtazipataje? Kampeni zenu huwa zinaishia mijini tu. Nipe picha moja ya NYOMI akiwa kiongozi wenu mmoja wa CHADEMA kaenda kuhutubia huko kijijini. Kweli sijawahi kuona!
Mikutano ya cdm inaamsha hisia za watu wengi tofauti na nyinyi mikutano yenu imedoda sana huyo chongolo anazunguka tu na wasanii mikutano yenu mimi huwa naiona ni kama matamasha tu watu kwenda kuburudika
 
kasumba ya kumsajili pele 2006 wakati mpira wake umeisha1970! utategemeanini hapo?
 
Mikutano ya cdm inaamsha hisia za watu wengi tofauti na nyinyi mikutano yenu imedoda sana huyo chongolo anazunguka tu na wasanii mikutano yenu mimi huwa naiona ni kama matamasha tu watu kwenda kuburudika
Tafadhali, picha ya NYOMI kijijini!
 
Back
Top Bottom