and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Hiyo post ya twitter alisema nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ile mipesa ya mama B12 achomoki sema tu mama ataki kuwafunga wazee. Anajua tu ni njaa tu inasummbua! Miogo kila siku ,haaaaDr Slaa hakutaja usalama wa Taifa wa nchi gani.
Ndio tujue wanasiasa wanacheza na akili zetu.
Hii kesi Dr anashinda asubuhi.
Sala ya kilatini sio ya kiswahili tena?mungu wenu anasikia haraka kwa lugha ya kilatiniWazee hawa walioshika imani za kikatoliki, vizuri sana ukimuweka ndani, endapo kama hana kosa ( ikosala ya kilatini haikopeshi) albadir cha mtoto!
Kawaulize polisi. Ndio wanaojua😁Hiyo taarifa ya uongo iko wapi?
Tunanena kwa lugha ambayo shetani haielewi baada kushukiwa na Roho mtakatifu. Inaweza kuwa kilatini, kipare,kisukuma,kichaga au kihaya.Sala ya kilatini sio ya kiswahili tena?mungu wenu anasikia haraka kwa lugha ya kilatini
PoliccmKawaulize polisi. Ndio wanaojua😁
Ndiyo kazi ya ccmVitisho time
Kesi ndogo sana hiyo, nilifikiri watambambikia uhaini.Hiyo taarifa ya uongo iko wapi?
Nchi ya kijinga sn hiiHiyo post ya twitter alisema nini?
Kwa zamani wangesema" Yule anayejiita Daktari"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Samia anazidi kujichafua ndani na nje ya nchi.Wakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria