Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunahitaji tupitishwe utumwani kwa mara ingine ili medular oblungator ikae kwenye mhimili wake.
Mkuu ndio maana ushoga umebaki kama ngao ya kutoboa maisha kwa vijana wa kileo. Hawana mwelekeo wala maono ktk maisha yao.
Kesi ya Dr Slaa ni Nyepesi mno.

Inaashiria nguvu kubwa waliyonayo Team Lissu
 
Aibu mzee kuitwa muongo!!
Huyu Sasa ahukumiwe tuu ameshaongea uongo mwingi bila aibu na kasaliti watu wengine anzia kanisa,mkewe,mke wawatu,vyama vya siasa nk
Nadhani anachangamoto ya akili huyu Babu
 
Mkuu ndio maana ushoga umebaki kama ngao ya kutoboa maisha kwa vijana wa kileo. Hawana mwelekeo wala maono ktk maisha yao.
Kesi ya Dr Slaa ni Nyepesi mno.

Inaashiria nguvu kubwa waliyonayo Team Lissu
Ndio maana awamu ya pili ya utumwa inafaa wapitishwe wanachukua chako mapema(ccm)
 
Back
Top Bottom