Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wazee hawa walioshika imani za kikatoliki, vizuri sana ukimuweka ndani, endapo kama hana kosa ( ikosala ya kilatini haikopeshi) albadir cha mtoto!
--"Vermes, Cancer, et Vermes penetrant animam tuam".
Tupe tafsiri ya maneno hayo ya kilatini ili nasi tujifunze kitu.
 
Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Mahakama zetu ziko likizo
 
Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Wamuache huyu Babu apumzike
 
Alimtaja Mwamba. Halafu akafafanua kuwa Mwamba ni Mbowe. Akasema pia kuwa maafisa wamesambazwa nchi nzima. Itabidi afafanue hao ni maafisa usalama wa nchi gani ambao waliweza kusikiliza mazungumzo kati ya Rais na Mbowe.

Ukweli ni kuwa kwenye hili amejitakia mwenyewe. Na baada ya kumalizana na TISS, Mbowe anaweza kumfungulia kesi ya madai ambamo itabidi atoe ushahidi kuwa Mbowe alizungumza na Mkuu wa Nchi, na kuwa kuna pesa zilitoka serikalini kwenda kuwahonga wajumbe wa Baraza Kuu la Chadema. Alitakiwa amuige Lissu ambae anazungumzia pesa za Abduli bila kuwq specific.

Ila nakumbuka nae aliwahi kusema kuwa watu wasikimbilie kumtetea Mbowe kuwa sio gaidi. Sasa na yeye yamemkuta.

Lakini itakuwa vizuri kama DPP atasema hana haja ya kuendelea na hii kesi kama alivyofanya kwenye kesi ya Mbowe.

Amandla...
Kwa hyo ww ukiambiwa Mbowe unafahamu kuwa ni nani?
 
Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," -😂😂😂
 
Tupe tafsiri ya maneno hayo ya kilatini ili nasi tujifunze kitu.
Maneno mengi ya kilatini ni cursive word, yana nguvu za kiasili, hivyo ukitamkiwa linafanya kazi kwa 100%,,hiyo albadir ya waislam, japo ilibadilishwa lugha, lakini liiibiwa kutoka Latin, ikawa translated to Arab, bahati Arab pia ni lugha ambayo ipo katika kundi la cursive language!,hivyo ukikosea ukaiba Kanisa la roma, wakiamua, wakatamka maneno ya kilatin baadae wakaenda kwenye mti wakavunja tawi, umekwisha.
 
Haaaaa akitoka utasikia nilikuwa napokea taarifa nyeti sana nikiwa keko mzee kachoka kura miogo jamani si mpeni cake kidogo anadhidi kuzeeka!!!
Umri wa miaka 76 unaupimaje wewe, kwako ni umri mdogo sana wa kuonekana kijana siyo?

Halafu waTz tunapenda sana kushabikia ama kufurahia magumu ya wengine sijui kwa nini!

Huyu mzee anavyosimama na kutetea maslahi ya nchi, hastahili kulipwa bezo na kejeli zenu hizo.
 
Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya

Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Huyu hakimu Mkazi Beda Nyaki si alikua Naibu Msajili wa Mahakama Kuu kanda ya Tanga!? Je ameshuwa cheo au ndiyo taratibu za kikazi!? Naomba kufahamishwa kuhusu hilo wadau wa JF! Asanteni sana!!
 
Polisi watiifu kwa MCCCCM.
Dr exceeded his limits za kudanganya

Akawataje sasa hao vijana wa idara waliomwambia wako tayari kwenda public

hayupo chakademus hayupo ccm lakini he operates like he owns hivi vyama
 
Maisha yamempiga huyu jamaa, yuko hoi kabisa kimwili na kiuchumi.

Inawezekana frustration za maisha ndizo zinamfanya anamangamanga kila mahali kama mtu aliyechanganyikiwa.

Hebu muone. He looks like an ancestors

Screenshot_20250111-102357.jpg
 
Back
Top Bottom