Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sema Dr Slaa ameshawaharibia mipango.Na ile mipesa ya mama B12 achomoki sema tu mama ataki kuwafunga wazee. Anajua tu ni njaa tu inasummbua! Miogo kila siku ,haaaa!!
Big Up Dr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema Dr Slaa ameshawaharibia mipango.Na ile mipesa ya mama B12 achomoki sema tu mama ataki kuwafunga wazee. Anajua tu ni njaa tu inasummbua! Miogo kila siku ,haaaa!!
Hata siku moja, team Lissu Heche haimtegemea mtu mmoja ni kata mti panda mtiKampeni Manager wa Lissu korokoroni - kampeni zachacha.
Hata siku moja, team Lissu Heche haimtegemea mtu mmoja ni kata mti panda mti
Sasa huko ndio kuuliza? Kama huwezi waache wafanye kazi😁Policcm
Kwahiyo lile file la Botswana tutalipata?Sema Dr Slaa ameshawaharibia mipango.
Big Up Dr
Amekamatwaje huku bado hawajajua sheria gani itumike kwenye tuhuma yake?au PGO inasemaje?Wamepeleka faster hii ndio inatakiwa mtu akikamatwa afikishwe mahakamani kama ya masaa 24
Kwahiyo unamchukulia ni leo yaku kwamba hamna kitu,?fuatilia utajua huyo ni nani,Mzee Membe alishawahi kuse.ma"Mtu wa kitengo ni wa kitengo tu,hakomi kuwa hivyo"Huyu mzee anao ushahidi wa kutosha kuthibitisha aliyoyasema?.
Kama hana aombe msamaha kwa chama na serikali.
Inasemekana Magonjwq kamchongeaSasa huko ndio kuuliza? Kama huwezi waache wafanye kazi😁
Mtu yeyote mwenye kuvuta pumzi ni wathamani kuliko chochote na yeyote hapa Duniani.Mnapenda kuwakuza watu.Dr Slaa ni wa kuachana naye
zee jitu zima Lakini liongo kama toto dogo 🐒Wakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Alisemaje mkuuKwa yale maneno asingekamatwa ninheshangaa
Kawaida ya chukua chako mapema,akisha tumika,anatupwa jalalanizee jitu zima Lakini liongo kama toto dogo 🐒
Hawezi kuwasababishia matatizo informer wake, hapo inabidi akomae tu ata wakimuona muongo ni sawa tuHuyu mzee anao ushahidi wa kutosha kuthibitisha aliyoyasema?.
Kama hana aombe msamaha kwa chama na serikali.
File gani tena?Kwahiyo lile file la Botswana tutalipata?