Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Dr Slaa hakutaja usalama wa Taifa wa nchi gani.

Ndio tujue wanasiasa wanacheza na akili zetu.

Hii kesi Dr anashinda asubuhi.
Na ile mipesa ya mama B12 achomoki sema tu mama ataki kuwafunga wazee. Anajua tu ni njaa tu inasummbua! Miogo kila siku ,haaaa
 
Sala ya kilatini sio ya kiswahili tena?mungu wenu anasikia haraka kwa lugha ya kilatini
Tunanena kwa lugha ambayo shetani haielewi baada kushukiwa na Roho mtakatifu. Inaweza kuwa kilatini, kipare,kisukuma,kichaga au kihaya.
 
Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Kwa zamani wangesema" Yule anayejiita Daktari"

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Samia anazidi kujichafua ndani na nje ya nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…