OPEN the Door
Senior Member
- Nov 15, 2024
- 170
- 84
Tupe tafsiri ya maneno hayo ya kilatini ili nasi tujifunze kitu.Wazee hawa walioshika imani za kikatoliki, vizuri sana ukimuweka ndani, endapo kama hana kosa ( ikosala ya kilatini haikopeshi) albadir cha mtoto!
--"Vermes, Cancer, et Vermes penetrant animam tuam".
Tumeuanza mwaka mpya juzi tu, tayari tumeshafika kesi 900.kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025
Kwa hiyo haya maneno aliyatamka akiwa Kenya?Dr Slaa hakutaja usalama wa Taifa wa nchi gani.
Ndio tujue wanasiasa wanacheza na akili zetu.
Hii kesi Dr anashinda asubuhi.
Mahakama zetu ziko likizoWakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Wamuache huyu Babu apumzikeWakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Kwa hyo ww ukiambiwa Mbowe unafahamu kuwa ni nani?Alimtaja Mwamba. Halafu akafafanua kuwa Mwamba ni Mbowe. Akasema pia kuwa maafisa wamesambazwa nchi nzima. Itabidi afafanue hao ni maafisa usalama wa nchi gani ambao waliweza kusikiliza mazungumzo kati ya Rais na Mbowe.
Ukweli ni kuwa kwenye hili amejitakia mwenyewe. Na baada ya kumalizana na TISS, Mbowe anaweza kumfungulia kesi ya madai ambamo itabidi atoe ushahidi kuwa Mbowe alizungumza na Mkuu wa Nchi, na kuwa kuna pesa zilitoka serikalini kwenda kuwahonga wajumbe wa Baraza Kuu la Chadema. Alitakiwa amuige Lissu ambae anazungumzia pesa za Abduli bila kuwq specific.
Ila nakumbuka nae aliwahi kusema kuwa watu wasikimbilie kumtetea Mbowe kuwa sio gaidi. Sasa na yeye yamemkuta.
Lakini itakuwa vizuri kama DPP atasema hana haja ya kuendelea na hii kesi kama alivyofanya kwenye kesi ya Mbowe.
Amandla...
Huyo Babu mwenyewe hataki kupumzika, sasa utmwachaje kwa mfano?😁Wamuache huyu Babu apumzike
Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," -😂😂😂Wakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Tapeli mbowe sio mpumbavu kwamba akajivue nguo hadharani kwa kumfungulia kesi ya madai Dr Slaa.Na baada ya kumalizana na TISS, Mbowe anaweza kumfungulia kesi ya madai
Amandla...
Maneno mengi ya kilatini ni cursive word, yana nguvu za kiasili, hivyo ukitamkiwa linafanya kazi kwa 100%,,hiyo albadir ya waislam, japo ilibadilishwa lugha, lakini liiibiwa kutoka Latin, ikawa translated to Arab, bahati Arab pia ni lugha ambayo ipo katika kundi la cursive language!,hivyo ukikosea ukaiba Kanisa la roma, wakiamua, wakatamka maneno ya kilatin baadae wakaenda kwenye mti wakavunja tawi, umekwisha.Tupe tafsiri ya maneno hayo ya kilatini ili nasi tujifunze kitu.
Umri wa miaka 76 unaupimaje wewe, kwako ni umri mdogo sana wa kuonekana kijana siyo?Haaaaa akitoka utasikia nilikuwa napokea taarifa nyeti sana nikiwa keko mzee kachoka kura miogo jamani si mpeni cake kidogo anadhidi kuzeeka!!!
Wakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya
Huyu hakimu Mkazi Beda Nyaki si alikua Naibu Msajili wa Mahakama Kuu kanda ya Tanga!? Je ameshuwa cheo au ndiyo taratibu za kikazi!? Naomba kufahamishwa kuhusu hilo wadau wa JF! Asanteni sana!!Wakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Dr exceeded his limits za kudanganyaPolisi watiifu kwa MCCCCM.
Asante sana mkuu.Kesi ndogo sana hiyo, nilifikiri watambambikia uhaini.
Balozi ana siri nyingi za Nchi wanataka asiendelee kuzitoa huko Club House nadhani hilo ndilo lengo lao la kumtisha.
View: https://www.youtube.com/live/mnDuyGGWBTs?si=87Fc4yyyA5Lt9WIS