Sasa mnahangaika nae wanini?!Maisha yamempiga huyu jamaa, yuko hoi kabisa kimwili na kiuchumi.
Inawezekana frustration za maisha ndizo zinamfanya anamangamanga kila mahali kama mtu aliyechanganyikiwa.
Hebu muone. He looks like an ancestors
View attachment 3198420
Kweli kabisa ubovu wote huu unaanzia kwa Rais mstaafu Kikwete.
Mwachieni Balozi hii ni masika jamaniWanamuonea Tu Mzee wa watu
Mkuu wakati wa Kikwete Demokrasia ilistawi kuliko wakati wa Magufuli na Samia.Kweli kabisa ubovu wote huu unaanzia kwa Rais mstaafu Kikwete.
Taarifa ya ukweli nayo ni ipi? Ni Nani Ana hati miliki ya uongo au na ukweli?Hiyo taarifa ya uongo iko wapi?
Keshasomewa shitaka lake kwa hiyo ni imebaki kazi ya mahakama kusikiliza ushahidi wa pande zote mbili na kutafsiri sheriaAmekamatwaje huku bado hawajajua sheria gani itumike kwenye tuhuma yake?au PGO inasemaje?
Hii ya kumweka mahabusu Dr Wilboard Slaa , Kwa kisa ambalo Lina dhamana , linaweza kuleta matokeo mabaya Kwenye uchaguzi Mkuu Kwa waliotenda isivyoWakuu
Kama muonavyo picha
View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).
Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.
"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.
Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.
Soma:
- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni
- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Duh, Kanisa linatoa laana badala ya baraka? Inashangaza sana. Mimi katika Ukatoliki sijawahi kusikia kama Kanisa inaweza kulaani mtu bali Baraka.Maneno mengi ya kilatini ni cursive word, yana nguvu za kiasili, hivyo ukitamkiwa linafanya kazi kwa 100%,,hiyo albadir ya waislam, japo ilibadilishwa lugha, lakini liiibiwa kutoka Latin, ikawa translated to Arab, bahati Arab pia ni lugha ambayo ipo katika kundi la cursive language!,hivyo ukikosea ukaiba Kanisa la roma, wakiamua, wakatamka maneno ya kilatin baadae wakaenda kwenye mti wakavunja tawi, umekwisha.
Alisemaje?Huyu mzee anao ushahidi wa kutosha kuthibitisha aliyoyasema?.
Kama hana aombe msamaha kwa chama na serikali.