Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Pre GE2025 Dkt. Slaa afikishwa mahakamani Kisutu kwa Shtaka la kusambaza taarifa za Uongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi saga zinanifanya nikumbuke kitabu Cha...

BETRAYAL IN THE CITY by fransis Imbuga..

There is one complicated question at the heart of the play.
What chance do the citizens of a country have if the most powerful people in government are monsters??

Kuna huyu wakuitwa mosese akiwa jelaaaa askari tells Mosese in the jail ‘’It doesn’t pay to have a hot mouth’’

Pia docta slaa anaweza kua ni mzalendo wa kweli mwenye uchungu na hii nchi nipende kunukuu huu usemi wa kizungu ‘’silence is the best ship home’’ meaning silence is the best way of evaluating or leaving the problem.

Ngoja tuendelee kusubiri Nini kitajiri kwa Docta slaa Ila hii saga imenikumbusha play ya BETRAYAL IN THE CITY Cha fransis Imbuga.
 
Hamna aliyefikishwa mahakamani kuhusiana na yanayosemwa kayafanya Abdul?
 
Free Dr.Slaa
artworks-000058502882-3jbg1l-t500x500.jpg
 
Wakuu

Kama muonavyo picha

View attachment 3197638Mwanasiasa mkongwe, Wilbroad Slaa (76) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kujibu shtaka moja la kusambaza taarifa za uongo katika mtandao wa X (zamani twitter).

Dk Slaa amefikishwa mahakamani hapo leo Januari 10, 2025 na kusomewa kesi ya jinai namba 993 ya mwaka 2025 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Beda Nyaki.
View attachment 3197644
Mapema leo Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro alithibitisha kumshikilia Dk Slaa.

"Daktari yupo, tuko naye na tumekuwa na mahojiano naye kwa baadhi ya mambo na yanakwenda vizuri kwa hiyo tunaiangalia mifumo ya kisheria inatuelekeza ni nini cha kufanya na taarifa kamili zitatolewa baadaye," - Kamanda Muliro.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Slaa imesambaa kupitia mitandao ya kijamii, ikisikika sauti ya mwanasiasa huyo akizungumza kuhusu kukamatwa na Jeshi la Polisi na kwamba anapelekwa katika Kituo cha Polisi cha Mbweni, Dar es Salaam.

Soma:

- Dkt. Slaa akamatwa usiku huu nyumbani kwake Mbweni

- Jeshi la Polisi: Tumemkamata Dkt. Slaa, tunamhoji na kuangalia mifumo ya Sheria
Hii ya kumweka mahabusu Dr Wilboard Slaa , Kwa kisa ambalo Lina dhamana , linaweza kuleta matokeo mabaya Kwenye uchaguzi Mkuu Kwa waliotenda isivyo
 
Maneno mengi ya kilatini ni cursive word, yana nguvu za kiasili, hivyo ukitamkiwa linafanya kazi kwa 100%,,hiyo albadir ya waislam, japo ilibadilishwa lugha, lakini liiibiwa kutoka Latin, ikawa translated to Arab, bahati Arab pia ni lugha ambayo ipo katika kundi la cursive language!,hivyo ukikosea ukaiba Kanisa la roma, wakiamua, wakatamka maneno ya kilatin baadae wakaenda kwenye mti wakavunja tawi, umekwisha.
Duh, Kanisa linatoa laana badala ya baraka? Inashangaza sana. Mimi katika Ukatoliki sijawahi kusikia kama Kanisa inaweza kulaani mtu bali Baraka.
 
Back
Top Bottom