Master Peace:
Kichaa mara zote hujiona yupo sawa na huona walio wazima ni vichaa,hivi wewe kwa akili yako fupi ulitaka Dr Slaa atoke Iringa bila kufuatana na Magari Mengine?? Angepanda helicopta basi kama hataki kuona gari yoyote nyuma yake
Ritz-one acha kutokwa povu ninaufahamu vizuri sana uwezo wako wa kufikiri kutoka pale UDSM na huwezi kunipindisha katika hilo; Tatizo familia yenu nzima ni vilaza na wavivu wa kufikiria, na hakuna wa kumshauri mwenzie, possibly wote mmelewa madaraka na ulinzi wa hayo mageti ya ikulu;
Post yako imedhihirisha wazi, familia yenu nzima ni wavivu wa kusoma; Umeshindwaje kusoma post ya Dr.Slaa ili uweze kuelewa tukio zima lilivyo kuwa, cha kushangaza unaandika utumbo utadhani umekurupuka kutoka usingizini, post kama hizi uwe unamuandikia muishiwa dhaifu ndo atakubaliana na wewe;
Dr. Slaa ameeleza wazi, walipo kuwa Njombe waliaga wanaelekea Kongwa- Dodoma kwenye jimbo la Ndugai, walipo fika mjini Morogoro wakaingia Shell kuongeza mafuta na wale jamaa wakawafuata hapo shell, cha kusikitisha wao hawakuongeza mafuta, ghafla wakaondoka kwa kufuata Dodoma road bila kujua Dr. Slaa alipata dharura ya kuja Dar immediatelly na hivyo kusitisha safari ya kwenda Kongwa, wakiwa njiani kuelekea Dar es Salaam, TISS hao hao waliokuwa wakielekea Dodoma ghafla wakaipita ghari ya Dr. Slaa iliyokuwa ikielekea Dar es Salaam. Hizo scenarios zinadhihirisha pasipo shaka kuna mchezo mchafu ulikuwa unaendelea, cha kusikitisha msomi mwenye Bachelor ya Sheria ya kudesa unataka kutuaminisha ati ni foleni. Narudia ushauri kama huo uwe unaishauri familia yako ambayo uwezo wa kufikia umefika ukomo.
Probably unafahamu mchezo mzima ulivyokuwa ndo maana unataka kutupotosha, kumbuka kwenye tamko la Mabere Marando na wewe umo ndani ya nyumba, it is just a matter of time kila kitu kitakuwa hadharani.
Jiandaeni psychologically kuwa wapinzani ifikapo 2015; na sehemu pekee inayowafaa ni the Hegue.
Hakuna utawala dhalimu uliyodumu Milele; Hakuna awaye yeyote awezae kuzuia mabadiliko nchini Tanzania.
M4C ni mithili ya Tsunami hakuna wa kuizuia.
Mungu Ibariki CHADEMA;
Mungu mbariki Dr. Slaa.