Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Tumekupata kamanda tuko pamoja tunaelekea kushinda vita hii
 
Last edited by a moderator:
naweza declare kusema kwamba, SINA IMANI NA RAISI WA TANZANIA NA SERIKALI YAKE KWA UJUMLA, na pia mimi najihisi kama sina Raisi. kwakua haonyeshi jitihada zozote za kunisaidia mimi raia wa taifa analotawala pale ninapokua kwenye tabu. Huyu mkwe.re naanza kumfananisha na Assad wa Syria. Hana huruma kabisa kwa Raia zake ambao ndio waliomuongezea kura kujazilia zile alizoiba kwenye eleksio
 

kudos! Rais wangu
 
Dr.hao inawezekana walikuwa wanataka kukuzuru lakini kwa upande mwingine wa shiling ilimradi umefika salama na hawajakuzuru kitu basi inawezekana hao walikua wanakuescoti kwa ajili ya usalama wako,walikua wanakulinda usidhuriwe na mtu manake wanajua ukipata madhara yeyote hata kwa bahati mbaya italeta shida kwa wananchi
 

Msikubali kulaghaiwa na Dr. Slaa.

Note kuwa hajataja namba ya gari. Hii ni kujaribu kujiweka mbali na responsibility za huu uzushi.

Hii simulizi ni sawa Dar Express lifike Arusha halafu waseme Scandnavia lilikuwa linatufuata!

Weka picha ya gari hapa tulione.
 
Sure mkuu. Ukiangalia kwa makini, maelezo ya dr slaa yamekuwa mepesi mno na hayana uthibitisho wowote kusupport hoja yake. Alikuwa kwa id fake akapost. Alipoona anashambuliwa sana akaja kwa id yakekudai kufafanua kumbe ndo analikoroga
 
Dr slaa, humu waachie vijana uliowaajiri tucheze nao. Wewe humuwezi. Ona sasa unavyoaibikwa kwa maelezo yasiyo na evidence hata moja.
 
Wana wa Israel walikaa utumwani Misri miaka 400 hadi Mungu alipoamua- sasa basi!.Naamini,Iwapo kweli watu wanyonge wa taifa hili wamechoka,wamlilie Mungu angalau siku moja tu!Wafunge kula na kunywa,Mungu atatenda na kama kipindi cha Yoshua,kuta za Yeriko zitaanguka!Kama watu hawajachoka,ni vigumu sana kutokea mabadiliko yoyote!Watazidi kuzaliwa wanafiki na wasaliti ambao mwisho wa siku ndio watakaokuwa wahanga wa siasa za visasi ambazo zina hatari ya kuzaa waasi!Mkabidhini Mungu njia zenu naye atazithabitisha.


Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Sure mkuu. Ukiangalia kwa makini, maelezo ya dr slaa yamekuwa mepesi mno na hayana uthibitisho wowote kusupport hoja yake. Alikuwa kwa id fake akapost. Alipoona anashambuliwa sana akaja kwa id yakekudai kufafanua kumbe ndo analikoroga

Dr. Slaa tangu ufisadi wake ufahamike hoja ya ufisadi anaona hata aibu kuiongelea kwahiyo anabuni njia mbalimbali za kulaghai vijana. Ila njia hii anayotumia sasa sidhani kama ina manufaa.

Unasema umepiga picha gari, lakini picha hiyo hujapeleka polisi wala hapa hujaileta. Sasa picha umepiga ya nini? Namba za gari hajazithibitisha. Hii sio bahati mbaya, ni makusudi tu ili later aseme yeye hakulitaja hilo gari pale itakapogundulika kuwa namba hizo wanazotaja ni za gari gani na muda huo wanaosema lilikuwa kwenye shughuli gani.

Ila unfortunately kuna vijana wanalaghaika kwa vimbinu vya namna hii!!!
 

Ni wakati sawia wa kupeleka mashitaka katika baraza la usalama la umoja wa mataifa,taifa sasa lina freemasonry ambao wana hamau na damu za raia wema,haivumiliki
 
Cha ajabu ni kwamba mkwer..e hajui kama nchi imemshinda....

Baba MwanaASha hana habari na vitu visivyo na maslahi kwake,yeye kazi kubwa aliyonayo siku hizi ni kukaba 10% za mikataba ya gesi na ndio maana kila safari za nje hamuachi maziri wa nishati na madini!!
 
Hizi mbinu za dokta ache mambo yake bwana watanzania wanaona si vipofu na mfa maji haishi kutapatapa.
 
Hivi hakuna na ya kujua hii number T963 ABN. ina milikiwa na nani kama ilivyo number za simu?isije kuta ni wazee wa makumbusho~
 
dr mpaka 2015 utakuwa umezua magapi kila kukicha unalako jipya muogope mungu pia wakatoriki si waongo kiasi hicho kumbuka wewe ni padri.
 
nani amfatilie huyo babu ameshajichokea tangu zamani anaganga njaa tu hapo kinondoni
 
mzee slaa anjikaba mwenyewe hizi mbinu anazosema zimetumika kumfuatilia hizi ni mbinu zake anazotumia kumfuatilia mama yake zito aseme vizuri uongo si mzuri.
 
Dr. Wa ukweli usife moyo kwani penye mafanikio hapakosi changamoto kama hizi na mwisho wake mafanikio yatakuwepo mfano mzuri ni NELSON MANDELA wakati akipigania uhuru wa south afrika
 
Hivi hakuna na ya kujua hii number T963 ABN. ina milikiwa na nani kama ilivyo number za simu?isije kuta ni wazee wa makumbusho~

mkuu nenda mamlaka ya mapato utaijua hii numba ila usishangae ukikuta yako au ya zito.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…