Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

Dkt. Slaa Afuatiliwa na watu wasiojulikana kutoka Iringa hadi Dar Es Salaam

You seem to be too desperate for power!!

Uongozi mwanana wa kuongoza jamii unakuja automatically kwa mapenzi ya waongozwa. Mwl. Nyerere alisema kiongozi mzuri ni yule asiyetaka kuongoza. Ninyi kwa sasa inavyoonekana mnataka kuongoza kwa hali na mali.

Hizi spinning mnazozianzisha zitakuja kuwarudieni ninyi wenyewe. Historia ya chaguzi nyingi za nchi za Afrika imebainisha hili. You're setting the spinning bar very high kiasi kwamba hata mkiingia madarakani hamuwezi kuwapa wananchi kile mnacho spin kucha kutwa kama kinawezekana. otherwise, tunaanza kuona kama mko na mission za kutaka kujinufaisha kibinafsi

Nchi yenye amani zaidi ya miaka 50 na yenye rasilimali kuliko zote afrika mashariki, leo wananchi wake ni maskini zaidi hata ya Rwanda? nchi iliyokuwa na vita miaka kadhaa. Kuna Mbunge mmoja alisema Tanzania ni maskini kuliko Rwanda akashambuliwa sana na kuambiwa hana data, wenye data wakapinga leo watu wa Dunia ya kwanza wameongea labda na wao hawana Data. Kama huna kumbukumbu kaombe wakukukumbushe unaowaamini wenye Data.

Huenda unachoongea ni yale yale ya kutupilia mbali Hoja za Mbatia leo wameanza kuunda tume, Pia Hoja ya Mnyika leo wale wale wanagomea bajeti. Huu kama sio uendawazimu ni nini? Wenye akili na watoa ahadi zinazoweza kutekelezwa (Zisizo Hewa) Hebu tuchambulieni. PIa pitia hapa Bunge lakwamisha bajeti ya maji na Wabunge CCMhalafu hawa wabunge wanavyosema hewa ni wa CDM au naye wanatudanganya kuwa si hewa ni maji, Au wakati wanatupa hoja bunge lililopita maji yalikuwepo na leo yamekauka ndio maana wanafanya hivi, otherwise na wao ni CDM wasiokubali mazuri ya yanayofanywa na serikali?
 
Hii habari imekaa kwa mtindo wa kutafuta Sympathy, ionekane wameandamwa viongozi wote hasa kwa wakati huu ambao imeonekana kuwa Lema ana matatizo ambayo yeye mwenyewe kayasababisha huku kilaza wao mkuu wa mkoa akiya chochea kwa akili yake iliyompa maamuzi ya kipimbi!

Dr Slaa alikuwa akifuatiliwa na watu wasiojulikana akiwemo afisa habari, huyo afisa habari kashindwa kutuletea habari hapa kwa uhakika zaidi ama ndiyo wewe mwenyewe umefungua ID hii kwa kazi hii?

Chadema mkiendelea hivi mtakuwa hakuna tofauti na serkali ya sasa. Hiyo ni UDHAIFU namna mmelichukulia hili suala!
 
WANABODI,

Usalama wa viongozi wa chama kikuu cha upinzani Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) upo hatarini.Akiwa njia ni kutokea Iringa, Dr. Slaa amefuatiliwa na Gari aina ya Landcruiser yenye vioo vya giza (Tinted) lenye namba za usajili T963 ABN. Awali waliokua ndani ya gari la Dr. Slaa hawakushtuka sana japo waliona kuna mchezo wa gari hilo kuwapita kwa kasi na kisha kupunguza mwendo ghafla na kisha gari la Dr. Slaa kuwapita tena.Walichukulia kama vile ni mchezo wa kawaida hadi walipofika Morogoro na kushtuka zaidi na kuanza kuchukua tahadhari kwa kunakili namba ya gari hilo


Walipofika kibaha ilibidi watoe taarifa kwa askari wa usalama barabarani.

Dr. Slaa na maofisa wa chama akiwemo afisa habari walishtuka zaidi walipofika njia panda ya Tamko-Bunju ambayo mara nyingi hutumika kunapokua na foleni kubwa ya maghari(Traffic Jam) na kulikuta gari hilo likiwasubiri

Baada ya kufuata barabara kuingia jijini Dar Es Salaam gari hiyo ghafla ikaingia nyuma ya gari aliyokua akitumia Dr. Slaa aina ya Landcruiser yenye namba za usajili namba T834 BJG. Ndipo afisa wake aliyekua ndani ya gari akapanda juu (Roof Top) na kufanikiwa kulipiga picha gari hilo.

Kuona hilo likifanyika gari hilo likapaki pembeni na ghafla likaondoka na kupotea hadi muda huu walipoingia Ubungo.

Sasa katika mazingira haya taifa linaelekea wapi? Kama watu wanafuatiliwa na kufanyiwa vituko mchana kweupe usalama wa Watanzania na hasa wanaharakati na viongozi wa upinzani Tanzania uko wapi? Mambo haya ni bora yafahamike mapema na watanzania wayajue. Hili ni tukio lisilo la kawaida kipindi hiki ambacho umma umekosa imani (loose confidence) na vyombo vya dola vinavyotumika kwa matakwa ya kisiasa.

Kuna matukio kadhaa yametokea miaka na miezi michache iliyopita yanayotoa taswira mbaya juu ya usalama wa raia na baadhi ya viongozi wanaokosoa utawala. Siku za karibuni Viongozi wa CHADEMA wamekua wakiwindwa sana na tayari chama hiki kikuu cha upinzani kilishatoa tuhuma kwa Usalama wa Taifa na baadhi ya viongozi wa juu serikali kuhusika katika mipango haramu ya kukihujumu chama hicho na hata kufikia hatua ya kuwabambikia kesi viongozi wake.

LAKINI wewe UMEJIUNGA LEO APRIL 26th Umeandika HOJA 16 Umeshakuwa na REP POWER 304?

Unaandika au Unacharanga... Sasa hizi habari zote zinakupata wewe 16 kwa siku moja???

Join Date : 26th April 2013
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received2
Likes Given3
 
I know you butt boy about your hatred on Dr Slaa. Nothing new. Son of a devil is a devil.

Dr. Slaa as a person hana tatizo tatizo ni hizi njia zake za kulaghai watu na kuwatoa kwenye mijadal muhimu ya kitaifa. Yaani hapa tunajadili yeye kufuatiliwa na yeye mwenyewe yupo anasoma hasemi kitu!

Jana alifuatilia kwa ID yake unverified mjadala wa kutokusimama kwenye kijiji alichoahidi kusimama alivyoona mjadala unaenda vibaya akasign in haraka sana kwa ID yake na kujibu hoja.

Hapa akiona vijana wake wanashindwa kumtetea ataingia sasa hivi, we subiri kidogo tu.
 

LAKINI wewe UMEJIUNGA LEO APRIL 26th Umeandika HOJA 16 Umeshakuwa na REP POWER 304?

Unaandika au Unacharanga... Sasa hizi habari zote zinakupata wewe 16 kwa siku moja???

Join Date : 26th April 2013
Posts : 16
Rep Power : 304
Likes Received2
Likes Given3
Ana uhuru wa kufanya hivyo

Is that a Crime?
 
Hii habari imekaa kwa mtindo wa kutafuta Sympathy, ionekane wameandamwa viongozi wote hasa kwa wakati huu ambao imeonekana kuwa Lema ana matatizo ambayo yeye mwenyewe kayasababisha huku kilaza wao mkuu wa mkoa akiya chochea kwa akili yake iliyompa maamuzi ya kipimbi!

Dr Slaa alikuwa akifuatiliwa na watu wasiojulikana akiwemo afisa habari, huyo afisa habari kashindwa kutuletea habari hapa kwa uhakika zaidi ama ndiyo wewe mwenyewe umefungua ID hii kwa kazi hii?

Chadema mkiendelea hivi mtakuwa hakuna tofauti na serkali ya sasa. Hiyo ni UDHAIFU namna mmelichukulia hili suala!

Dr. Slaa anatumia vihadithi kama hivi kujustify mamilioni anayolipwa na chama.
 
Ungeweka picha ya hilo gari ingependeza zaidi

Mkuu nipo kitengo hicho. Nipo kufuatilia hilo gari na nahakikisha picha inaletwa hapa hadi hiyo plate number na ikiwezekana hadi dereva aliye endesha hilo gari siku hiyo. Labda iwe hilo gari kwa namba hiyo halipo kabisa. Siku hizi haya mambo ni kwenda kwa ushahidi.
 
Dr. Slaa anatumia vihadithi kama hivi kujustify mamilioni anayolipwa na chama.

Ukute hata Dr. Slaa hajahusishwa ila tu ni mtu mwenye mahaba na Dr. Slaa. Mkuu, najitolea kutumikia nchi yangu. Tumechoka na hizi sarakasi. Nahakikisha hilo gari linapatikana na dereva wake na naleta habari kamili hapa hapa!
 
Ukute hata Dr. Slaa hajahusishwa ila tu ni mtu mwenye mahaba na Dr. Slaa. Mkuu, najitolea kutumikia nchi yangu. Tumechoka na hizi sarakasi. Nahakikisha hilo gari linapatikana na dereva wake na naleta habari kamili hapa hapa!

Safi sana.

Aliyeleta thread hapa tumeshamfahamu tayari, hatuumizi vichwa. Hajui aina ya tools tulizo nazo kuanalyse yanayoendelea.
 
CDM lazima wawe makini kwa kila hatua wanayofanya ukizingatia kauli zilizotolewa na wasira na mwigulu.
 
Ana uhuru wa kufanya hivyo

Is that a Crime?

Where Did U see that I mention it is a CRIME??? Don't U think that I'm FREE & INDEPENDENT to raise my VOICE as well?? it is not a ONE SIDED OBLIGATION Here??
 
For readers enlightenment, please not that Confederate Spy amewaita "makamanda" wote wakuu tunaowajua hapa JF isipokuwa "kamanda" Ben Saanane hajaitwa kwenye mjadala.

I hope you know what am talking about...
Unapiga ramli tu umiza kichwa upate ujira wako
 
Jadili hoja sio mtu

Huwezi kujadili kesi kabla ya kujua kama kuna kesi ya kujibu. Ndio maana tundu Lissu amesema kesi ya Lwakatare ifutwe, hajasema mkanda ni feki. ikionekana kuna kesi ya kujibu ndio mambo ya mkanda kuwa feki au "bonafine genuine" yatakuja.

sasa hapa hatuwezi kujadili hoja kabla hatujaona kama jambo lenyewe limetokea na lina uzito. Dr. Slaa kwa vile ni member na kwa vile amesoma hii thread anaweza kutuletea taarifa rasmi ya jinsi alivyofuatwa.

Wewe kama umelaghaika na unaona kuna hoja ya kuijadili ijadili peke yako. Wenzako wote tumeona hii habari famba mpaka tuletewe uthibitisho rasmi.

Kwanza aliyeandika thread hii mwenyewe kaja kwa ID yake verified na hakusema lolote la maana.
 
For readers enlightenment, please not that Confederate Spy amewaita "makamanda" wote wakuu tunaowajua hapa JF isipokuwa "kamanda" Ben Saanane hajaitwa kwenye mjadala.

I hope you know what am talking about...

Acha kuweweseka.Jadili hoja.Mtu yeyote aliyefilisika kichwani anajadili watu badala ya hoja.
 
Back
Top Bottom