Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Hakuna demokrasia wala uhuru wa kubwatuka mimatusi na kudhalilisha watu wengine .ni lazima sasa watu hawa waanze kukamatwa na kuswekwa ndani haraka sanaHiyo demokrasia mnayojifanya mmeirudisha iko wapi?
Kuwanyima watu Uhuru wa kutoa maoni hiyo sio sawa kabisa
Watajua hawajuihap0 policccm wamegusa pabaya huyo mwamba huwa harudi nyuma na maneno yake ni makali kuliko radi
Ni yale yale tu hakuna hipya so hakuna cha kukumbukaMtanikumbuka 😄😄🔥😀🔥
Hapa ndo mtajua why kuku nyeti zake hazionekani
Maandiko kama haya ndio yanayosababisha watu kuona Watanzania ni watumwa tu hata ukiwapa uhuru hawataelewa. Mtu kama wewe ni mzigo kwa MwafrikaLisu akahojiwe akili matope zikoje,Mbowe afafanue kuhusu utanganyika na Tanganyika na Samia mzanzibar kivipi yaani!?
Tuliwambia Katiba Mpy ccm wakasema haileti maji sasa wanalia na bandari hawana cha kufanyaSuluhisho ni katiba mpya
Hahahajaj Hana kanisa ni askofu binafsi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na hako kaaskofu kakamatwe kakahojiwe.
Chenye mwanzo kina mwishoHiyo siku mbona haifiki tangu mwaka 1964?
Hivi wewe una akili timamu mtu anaweza panga uhaini kwenye mtandaoni au ndio hiyo mzingaumbwe?? Polisi hawana kazi ya kufanya kuhangaika na watu walioko mtandaoni??Ndo walikua wanapanga uhaini huko club house!?
Hilarious!Game over.
Na tukishindaKipi rudisha bandari za watu , hii vita hamtashinda take note
Mungu yupo.Chenye mwanzo kina mwisho
Hakuna cha kujibiwa kama hutaki hamia BurundiHata wafanye nini, hoja zijibiwe...
Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa
1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)
2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?
3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?
4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!
6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
Kwani bado yupo Tanzania?Who’s next? Lissu??
Unajua maana ya mtandao wa kijamii!?..ulishasikia msemo 'wazo ni mbegu,utaniua lakini huwezi ua wazi langu!?Hivi wewe una akili timamu mtu anaweza panga uhaini kwenye mtandaoni au ndio hiyo mzingaumbwe?? Polisi hawana kazi ya kufanya kuhangaika na watu walioko mtandaoni??
Mwanza huko wamewekewa wasafi festivo bureNakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.
Wakenya nadhani mziki wao unaouona, ni kuwakosea heshima kuwafananisha wakenya na makondoo ya Tanganyika yaliyopumbazwa na ushirikina wa Mwenge.
Si anaenda kufafanua tu,shida iko wapi!?Maandiko kama haya ndio yanayosababisha watu kuona Watanzania ni watumwa tu hata ukiwapa uhuru hawataelewa. Mtu kama wewe ni mzigo kwa Mwafrika