Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

vizuri sana watambue nchi hii ina utawala halali. Babu mzima amejaa ubaguzi, chuki, uzushi, upotoshaji. Historia ya huyu babu yenyewe ni mbovu, ni katili, aliacha upadre akaoe, baadaye tena akaitelekeza familia na kwenda kuoa mke wa mtu. Ni mchafu, akapumzishwe gerezani asiendelee na uchochezi na uposhaji wake wa kipuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…