eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Mahakama ya Mbeya imezisema dosari lakini kwa hofu wakasema dosari hizo haziwezi kuvunja mkataba huu.Hoja sii zimeshajibiwa na mahkama kuu kanda ya mbeya
Sent from my ATU-L31 using JamiiForums mobile app
Unawajua Mafia wa Vatican lakini au unaitikia tu.Dr Slaa siyo Freeman Mbowe,JK mwenyewe hakuwai kumgusa kwasababu anajua mizizi yake!Patamu sana tena sana.
HawanaKwanini serikali isisikilize maoni ya wananchi kuliko kutumia nguvu.
Dola gani unazungumzia ?Bunge lenu limebariki, mahakama imebariki, dola imebariki wewe ni nani?
Hili Taifa mda si mrefu kivile kijiti kitashika moto.Muda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Nakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.Malipo ya kupigania haki za watu weusi ni kifo.
Hutaungwa mkono, uta achwa peke yako ufe.
Waafrika na watanzania sio watu wa kuwapigania ni kuwaacha na shida zao.
Ukikuta mtu mweusi na nyoka wanapigwa muokoe nyoka.
serikali haijibu matusi, uchochezi na uhaini, serikali inatakiwa isimamie ulinzi na usalama wa nchi yetu kwa gharama yoyote ile, yakitokea yakutokea ni watu km wewe watakuja tena huku kuuliza serikali ilikuwa wapi mpaka wamewaacha hawa watu kufanya uchochezi na kuhubiri chuki. Wacha serikali ifanye kazi yake amani yetu itamalakiKwaio Serikali imeshindwa kujibu kwa hoja wanaanza kuumiza wanao wakosoa sio.
makuwadi ya dpworld baada ya kujaribu kuhadaa watu kupitia chongolo na makuwadi wenzake wakagundua kuwa watanzania sio wapumbavu kama wao matokeo yake wakasanda maana hata huku mwanza pale kirumba waliishia kupata watu wachache wa kusomba kutoka busega,magu,sengerema,geita na misungwi na sasa hawana nyimbo kilichobaki ni kukamata watu baada ya kushindwa kujibu hoja ambayo ni last resort na mkishindwa hio njia jiandaeni kukimbilie kwa mabwana zenu mliyoyapa bandar.uchochezi, uzushi, upotoshaji na uwongo siyo maoni.
Waarabu na mawakala wao wameamua liwalo naliweMuda mchache uliopita kavamiwa nyumbani kwake, polisi hawajasema wametoka kituo gani na haijajulikana anapelekwa wapi.
---
Kupitia mtandao wa X, Martin Maranja anahabarisha kuwa Dkt. Slaa amekamatwa...
Nimepata taarifa muda huu kwamba Dr. Wilbroad Peter Slaa amekamatwa na watu waliojitambulisha ni jeshi la Polisi muda huu akiwa nyumbani kwake Mbweni, Kawe, Dar es Salaam. Dr. Peter Slaa ni mmoja kati ya wakosoaji wa mkataba wa uuzwaji bandari kwa waarabu wa Dubai, DP WORLD.
View attachment 2716202
Pia Askofu Mwamakula amethibitisha taarifa hivyo kupitia mtandao wa X
BALOZI DKT. SLAA AKAMATWA NA POLISI!
Ndugu Watanzania!
Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Balozi Dkt. Willibrod Slaa amekamtwa na Jeshi la Polisi nyumbani kwake muda huu.
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2716213
Keyboard warriorNchi imefika tulipopataka
Hajarudishwa tu huyo akirudishwa atarudi.hap0 policccm wamegusa pabaya huyo mwamba huwa harudi nyuma na maneno yake ni makali kuliko radi
Hii siyo Serikali bali genge la majambazi lililoteka Serikali.hiyo ndo selikali bwana.
makuwadi ya warabu yameshindwa kujibu hoja pamoja na kumtuma chongolo na genge lake kuhadaa watanganyika lakin wamempuuza na hao makuwadi wanaokamata watu hovyo ni swala la muda tu.serikali haijibu matusi, uchochezi na uhaini, serikali inatakiwa isimamie ulinzi na usalama wa nchi yetu kwa gharama yoyote ile, yakitokea yakutokea ni watu km wewe watakuja tena huku kuuliza serikali ilikuwa wapi mpaka wamewaacha hawa watu kufanya uchochezi na kuhubiri chuki. Wacha serikali ifanye kazi yake amani yetu itamalaki
we ndio umeamka usingizini? Walivyokuwa wanatukana, wanaeneza chuki, wanafanya uchochezi ulikuwa wapi. Hayo ndiyo maoni? Acha ulofaUbinafishaji Kwa nguvu! Mh. Rais Kwa Nini asingesikiliza mawazo ya wanaopinga halafu wakaboresha mapungufu. Kwa Tanzania si ni ya watanzania ikiwemo yeye? Kuna ulazima was kuaza kukamata watu kisa kupi ga hoja ya selikari?
Usiambukize watu hofu zao.Hajarudishwa atarudi tu huyo.
Toka mwanzo tulisema kuwa huyu mtu ni mnafiki. Kiuhalisia ni mwovu wa nafsi. Mwanamke akiwa mchawi wanasema ni aheri hata ya mwanaume.I would like to announce that now we have a dictatress in office under the disguise of Jeshi la Polisi.
Haki daima husimama. Maharamia ya DP, kamqe hayatashinda.Amepata alicho kitafuta