Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Hili Taifa mda si mrefu kivile kijiti kitashika moto.
 
Malipo ya kupigania haki za watu weusi ni kifo.

Hutaungwa mkono, uta achwa peke yako ufe.

Waafrika na watanzania sio watu wa kuwapigania ni kuwaacha na shida zao.

Ukikuta mtu mweusi na nyoka wanapigwa muokoe nyoka.
Nakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.

Wakenya nadhani mziki wao unaouona, ni kuwakosea heshima kuwafananisha wakenya na makondoo ya Tanganyika yaliyopumbazwa na ushirikina wa Mwenge.
 
Kwaio Serikali imeshindwa kujibu kwa hoja wanaanza kuumiza wanao wakosoa sio.
serikali haijibu matusi, uchochezi na uhaini, serikali inatakiwa isimamie ulinzi na usalama wa nchi yetu kwa gharama yoyote ile, yakitokea yakutokea ni watu km wewe watakuja tena huku kuuliza serikali ilikuwa wapi mpaka wamewaacha hawa watu kufanya uchochezi na kuhubiri chuki. Wacha serikali ifanye kazi yake amani yetu itamalaki
 
uchochezi, uzushi, upotoshaji na uwongo siyo maoni.
makuwadi ya dpworld baada ya kujaribu kuhadaa watu kupitia chongolo na makuwadi wenzake wakagundua kuwa watanzania sio wapumbavu kama wao matokeo yake wakasanda maana hata huku mwanza pale kirumba waliishia kupata watu wachache wa kusomba kutoka busega,magu,sengerema,geita na misungwi na sasa hawana nyimbo kilichobaki ni kukamata watu baada ya kushindwa kujibu hoja ambayo ni last resort na mkishindwa hio njia jiandaeni kukimbilie kwa mabwana zenu mliyoyapa bandar.
 
Waarabu na mawakala wao wameamua liwalo naliwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
makuwadi ya warabu yameshindwa kujibu hoja pamoja na kumtuma chongolo na genge lake kuhadaa watanganyika lakin wamempuuza na hao makuwadi wanaokamata watu hovyo ni swala la muda tu.
 
Ubinafishaji Kwa nguvu! Mh. Rais Kwa Nini asingesikiliza mawazo ya wanaopinga halafu wakaboresha mapungufu. Kwa Tanzania si ni ya watanzania ikiwemo yeye? Kuna ulazima was kuaza kukamata watu kisa kupi ga hoja ya selikari?
we ndio umeamka usingizini? Walivyokuwa wanatukana, wanaeneza chuki, wanafanya uchochezi ulikuwa wapi. Hayo ndiyo maoni? Acha ulofa
 
Season two imeanza baada ya kusubiri kwa muda mrefu hatime season two imeanza kurindima...
Yaliyomo katika season two ni pamoja na.
Kamata Kamata bambikia kesi.
Viroba vya maiti.
Wasiojulikana.#police
Utekwaji na kubwa zaidi Ubakwaji..
Usikose kufatilia kupitia channel yako pedwa Tz Dp world...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…