Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Watakamata wangap?? We are tired of black colonialists. Muda utaongea
 
Nakataa siyo swala la watu weusi Bali makondoo ya Tanganyika tu, hata hapo Zanzibar hawapo hivi.

Wakenya nadhani mziki wao unaouona, ni kuwakosea heshima kuwafananisha wakenya na makondoo ya Tanganyika yaliyopumbazwa na ushirikina wa Mwenge.
sisi ni watanzania, we na hao mazuzu wenzio ndio watanganyika, nchi ya kufikirika. Nyie ndio mmepumbazwa na hao wanaowatumia. Hii ni Tanzania hatuna la kujifunza kutoka Kenya, sifa yetu ni kubwa sana kuliko hao wakenya, hatutaki siasa za hovyo km za hao unaowahusudu, kahamie huko inawezekana we siyo raia wa nchi yetu, usituletee ushenzi wenu huo
 
Safi sana ,acha Waendelee kukamatwa kwa kadri iwezekanavyo ,hawawezi wakaendelea kutoa malugha ya uchochezi na ubaguzi halafu wakaachwa hivi hivi bila kuchukuliwa hatua. Zoa wote tupia ndani kwa mahojiano ya kina ili waeleze ni demokrasia ya wapi hiyo ya kuwatukana , kuwadhalilisha na kuwavunjia heshima wengine. Hawawezi wakaachwa wachochee machafuko hapa nchini
 
Dr Slaa kanyakuliwa kama kuku,pata Picha mwananchi wa kawaida asie na status yoyote zaidi amekutwa na kosa lolote lile.

Unahisi kwa polisi hawa,vitendo hivi kuna nn kinaendelea?

Nimeshasema Once nikapata Chenchi zangu Mpaka unifikie unikamate labda unibahatishe Huko duniani ila sio unifate kwangu maana utatolewa ubongo.

siwapendi Polisi wa TZ
 
Ungeweka na hayo matusi ingependenza ili twende sawa.
 
Acha kujijaza ujinga wako hapa huku umejificha kwenye fake id
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…