Dkt. Slaa akamatwa na watu waliojitambulisha kama Polisi

Embu toa mfano wa hizo ligha za matusi na uchochezi zilizotumika, embu ifike mahali watanganyika mjitambue sasa na kutoka kwenye fikra mgando na mawazo ya kishetani, kama serekali inakosea inamaana haipaswi kuelezwa acheni ujinga
 
Ondoa neno ''anadaiwa'' Pili soma thread za mwanzoni kabla hujaposti thread mpya! Hii habari iko saa nyingi.
 
Maslahi gani mnayotaka??? Mlimpinga Dkt Magufuli, tena mnyamaze kabisa
Kabla hujawa chawa ulikuwa unaishije.., vijana wengi wa kijani wana akili ndogo sana. Maana wao huamin kila anachosema bwana mkubwa kipo sahihi., tumieni akili zenu japo kwa 80% na si kama mtumiavyo sas only 20%.
 
Ebu kajifunze kuandika kwanza na ujibu hoja we form four leaver
 
Aisee, sasa itakuwaje? WAPINZANI acheni nchi ifanye maendeleo , nyie kila siku mnaendelea na mikutano isiyo na tija maana huu ni wakati wa kujenga nchi na siyo kutugawa, nakushaurini wapinzani , tujenge nchi yetu TANZANIA.
 
That's arlet for Robert Amsterdam client
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…