James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nia ni kumng'oa kucha mkuu?Aisee hiii nchi sasa huyo mzee kafanya Kosa Gani hadi wakamtoe kucha hao jamaa
Ana hasira za kusingiziwa kubakwa kwenye kile kitabu cha Kwabendera
Wala sarungi hana cha kumuingiza chaka, silaa alisha jiingiza longtime , akina sarungi wako kwenye hizo haraka waaaay back before hata silaha hajanyang’anywa ubaloziMaria Sarungi kamuingiza chaka huyu Slaa, mwache akanyee debe kidogo akili imkae vizuri😎😎
Dr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
Itakua Mama kidawa.Mama nani?
Nahisi yale madai ya kupata taarifa kutoka watu wa TISS kuhusu uchaguzi wa CHADEMA.Kwani kafanya/ kasema nini?
Asingesema mtu wake wa ndaniNahisi yale madai ya kupata taarifa kutoka watu wa TISS kuhusu uchaguzi wa CHADEMA.
Amandla...
Mnafiki mchumia tumbo wacha akae ndaniDr Slaa amekamatwa usiku huu.
Inasemekana amepelekwa kituo cha Polisi Mbweni.
Soma pia: Dkt. Slaa: Tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa JMT leo na siyo Oktoba 2025...
Mhaini, kasema tundu Lissu anafaa kuwa Rais wa jmt leo!Kwani kafanya/ kasema nini?
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.Asingesema mtu wake wa ndani
Inawezekana ile kauli yake imeipa hofu serikali
hutakFor real?
Anahangaika kutafuta "nitoke vipi" ya kisiasa
Nahisi yale madai ya kupata taarifa kutoka watu wa TISS kuhusu uchaguzi wa CHADEMA.
Amandla...
kwani amefanya makosa gani?Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.
Amandla...