Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Pre GE2025 Dkt. Slaa akamatwa usiku nyumbani kwake Mbweni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.

Amandla...
Really? Alichokisema kinahatarisha usalama wa nchi kweli?

Hata kama walihitaji kumhoji, sioni ulazima wa kumkamata usiku.

Mambo mengine huwa wanaenda overboard. Labda kama hatua za awali za kutaka kuongea naye hazikuzaa matunda.

Ila kama shida yao ilikuwa ni kuongea naye tu, hakuna haja ya kumkamata usiku.

Dkt. Slaa siyo jambazi.
 
Kiusalama ni lazima ahojiwe. Mbaya zaidi alisemea Clubhouse ambamo watu wa usalama wa taifa lazima wamo. Na wanaweza kukurekodi kirahisi tu. Amejitakia mwenyewe.

Amandla...
Na mbaya kasema watu wa TISS wamemwambia (yeye Slaa) asimumunye manemo, kwamba wamechoka! Na mama amempa pesa mbowe! Dadeki patamu hapo
 
Tunajuaje nani kamuitia polisi, inaweza kuwa Mbowe/CDM ndio wamemshitaki kuwatungia uongo.

Ndio akathibitishe sasa hao wajumbe wa Nyasa wanaotaka rushwa, hayo maongezi ya bi-tozo na Mbowe kwenye simu, loud enough wasaidizi wake luluki wasikie maana inaonekana uwa wanarundikana mpaka ofisini kwake kiasi kwamba ni rahisi kutoa siri za maongezi yake bila ya kujulikana.

Uongo wa Dr Slaa saa zingine yaani anaona watu watoto wadogo kweli.

Kama Mbowe/CDM wameshitaki sawa, lakini kama serikali imemkamata hii sasa ni double standard; kwanini Slaa akamatwe halafu Mwamakula aachwe maana wote uongo wao unafanana tu.
 
Back
Top Bottom