Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu

Acha ujinga basi tofautisha kupigiwa kura na kuiba kura.
 
Acha ujinga basi tofautisha kupigiwa kura na kuiba kura.
CCM huwa inapigiwa kura za ndio na watanzania na siyo kuiba kura. Vyama vya upinzani hata navyo vinatambua namna ilivyo vigumu kwa watanzania wenye akili Timamu na wanaojitambua kuwapigia kura wapinzani hasa Chadema.
 
Andishi refu la kuchosha, kumbe ni utopolo wa chuki na udini mtupu!

Umefanyia utafiti wapi kuconclude kuwa Dr. Slaa hakubaliki kwenye mioyo ya watu na katengwa?

Ishu sijui kukisaliti chama, nk nk ni za kitoto sana kutolewa na mtu wa kariba yako.

Alitoka Chadema kwa maelezo yenye kujitosheleza ambayo hajawahi kuyakiuka mpaka leo ("mnyonge mnyongeni...").

Waliokisaliti chama ni wenzake kwa kununuliwa na Lowasa, jambo hilo kila mtu analielewa hatupo kuanza kukumbushana mambo ya juzi juzi ambayo hata muongo hayajatimiza.

Magufuli kumpatia Ubalozi haikumfanya arudi Ccm na mpaka leo hajajiunga na chama chochote.

Na katika mahojiano yake ya juzi aliulizwa hilo na akaeleza wazi kwamba hana mpango wa kujiunga na chama chichote na maoni yake hayatoi kwa kukisemea chama chochote bali hiyo ni haki yake ya kikatiba kama raia kutoa mawazo yake na msimamo wake.

Kumefumuka kundi la watu walionunuliwa kuchafua watu wema kwenye mitandao ikiwa chanzo ni mkataba wa DPW ukiwemo wewe.

Ulishamsikia huyo mzee akizungumzia udini ama uChadema zaidi ya kulaani mikataba ya kimagumashi ambayo kila mwenye kuitakia mema nchi analaani?

Muda ni mwalimu mkuu ipo siku utakuja kujuta sana kufanya kazi za uchawa wako usio na kichwa wala miguu kuchafua watu.

Ninalaani sana kuchafua watu ambao angalau wamebakia kuleta faraja na matumaini kwa raia wanyonge wasio na wa kuwatetea wala kuwasemea.
 
Huyo ni special case...kanisa lilimshindwa duniani mtamuweza?
 
Wenye akili thabiti hatumtengi tunaskiliza hoja alafu tunahitimisha Kwa akili. Mwenye akili ndogo huogopa wenye hoja tofauti maana hawana akili ya kuchambua wanajua watashawishika kwakila atachoambiwa!!!
 
Kuna watu kwenye hii dunia mmechagua maisha ya kunyenyekea watu ili muweze kupata chochote kitu,ila wengi wenu ni mapapai
 
Alijidai eti kuukimbia ule mchezo pendwa wa maaskofu na mapadri.

Hivi josefina nae kamtema mzee?
Hizo si ndio tabia pendwa za waarabu, huo walivyotuharia kanda ya pwani[emoji2], unakutana na binti wa kipwani anakwambia "kambare lake tope babu wewe huku amekuwekea vidole hivi [emoji108][emoji108]"
 


Siasa bwana haina Heshima kabisa

Yan mpaka ww kutoka mashimoni huko unaweza kuja kumsema mtu ambae serikali ilikaa ikamwamini na akafanya kazi yake Kwa weledi mkubwa

Mpaka akaondoka chadema, na bado serikali ilikuwa inampa backup

Mpaka akapewa inchi ya ulaya kwenda kuwakilisha tanzania

Then Leo mtu mmoja just because ana bando la buku na smart phone basi anaweza kuja kuandika anything anachojisikia
 
Huyo Slaa ananyea kila kambi anayopitia.

Mtu wa hovyo, mwongo, mnafik, asiye na maadili, kuwahi kutokea Tanzania hii.

Hili ni tusi na dharau kubwa Kwa idara ya vetting
 
Mm na family yangu pamoja na ukoo wangu tumemkubali n kumpokea kwa mikono miwili.
 
Dr Slaa Ni msaliti na mnafiki sana ndio maana hakuna wa kumuunga mkono wala habari naye

Kila mtu anaetoa mawazo yake ni msaliti?

Ww haya unayoandika si mawazo yako? So ww tukuitaje? Chawa kupe au Nani?
 
Kumbuka alikuwa padri wa kikatoliki, sio mnafiki ila mkweli. Ukweli ndio unaomfanya aonekane mbaya. Siku akishika dola mtashangaa na maneno yenu yasiyokuwa na ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…