Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu

Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu

Nani amtumie yule? Labda mwenyewe alikuwa anajipendekeza kwa thamani ndogo.
Faiza faiza faiza!! kweli?? haya!! kumbukeni kuweka akiba ya maneno!! huku kwenye siasa huwa hakuna adui wa kudumu au rafiki wa kudumu!! kesho Dr Slaa anaweza kuwa boss wako wa chama!! Boss wako wa chama leo anaweza kuwa hasimu wako kesho!! Dunia hii huwa inazunguka!! Wenye hekima huweka akiba ya maneno!!
 
Hata wewe mpaka sasa kinachokusukuma kuflood JF na mada zako zisizo na kichwa wala miguu ni njaa zako.Tunaomba sana mamlaka za uteuzi wakuone wakupe kazi utupumzishe hapa na magazeti yako ya kila wakati
Hapana mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani na wala siandiki kwa ajili ya kupata fadhila ya aina yoyote ile.
 
Acha matusi.ukishindwa hoja jitulize chini.
Sasa hoja hapo iko wapi.
Unaandika ujinga halafu unalazimisha iwe hoja.
Umefanya wapi research kujua watu hawamtaki au kumpuuza Dr slaa.
Umejua wangapi hawampendi samia kwa sababu ya DP world.?
Fanya analyisis critical ndo uje huku badala ya kuja na upunguani wako humu
 
Sasa hoja hapo iko wapi.
Unaandika ujinga halafu unalazimisha iwe hoja.
Umefanya wapi research kujua watu hawamtaki au kumpuuza Dr slaa.
Umejua wangapi hawampendi samia kwa sababu ya DP world.?
Fanya analyisis critical ndo uje huku badala ya kuja na upunguani wako humu
Sikiliza wewe na tambua ya kuwa kwa sasa Dunia ni kama kijiji na ipo kiganjani.
 
Once a traitor, always a traitor;

Slaa ni Mtu wa maslahi. Muongo, Mnafki na mzandiki. Hajawahi kuaminika sio Kanisani tu alikofunzwa na kufindwa, Bali hata Ndoa yake Halali na Mama Rose aliisalilti, Alisaliti Chama chake (CHADEMA), Amesaliti loyalty yake kwa Dola iliyompa Ubalozi.

Huyu anatembea na fursa tu, Hana analoliewa wala la kweli analosimamia.

Ni mjinga ataweza kudanganyika na hadaa za Slaa.
 
It's you.
It's your shortest thinking capacity.

Wilbrod atabaki kuwa mtetezi wa maliasili zetu.

Historia ya Tanzania itamkumbuka. Aliyefungwa, aliefutiwa jina la ubalozi kwa kutetea bandari za Tanzania. Aliyepinga mkataba usio na kikomo.

Watoto au tuseme vizazi vyenu watafundishwa huko mashuleni.
 
Kulikoni kutusemea sisi tunaomwelewa mno? Wasemee mambuzi wa Lumumba huko. Siyo sisi ndugu!
Mamilioni ya watanzania hawapo pamoja wala kumuunga mkono Dr Slaa.Ndio Maana kwa sasa hana mtetezi popote pale panapoeleweka
 
It's you.
It's your shortest thinking capacity.

Wilbrod atabaki kuwa mtetezi wa maliasili zetu.

Historia ya Tanzania itamkumbuka. Aliyefungwa, aliefutiwa jina la ubalozi kwa kutetea bandari za Tanzania. Aliyepinga mkataba usio na kikomo.

Watoto au tuseme vizazi vyenu watafundishwa huko mashuleni.
Piga pepsi hapo nalipa

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Once a traitor, always a traitor;

Slaa ni Mtu wa maslahi. Muongo, Mnafki na mzandiki. Hajawahi kuaminika sio Kanisani tu alikofunzwa na kufindwa, Bali hata Ndoa yake Halali na Mama Rose aliisalilti, Alisaliti Chama chake (CHADEMA), Amesaliti loyalty yake kwa Dola iliyompa Ubalozi.

Huyu anatembea na fursa tu, Hana analoliewa wala la kweli analosimamia.

Ni mjinga ataweza kudanganyika na hadaa za Slaa.
Vipi wewe ni malaika huna dhambi?

Toa boriti achana na kibanzi

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
 
Nchi yetu ipo salama katika mikono salama ya Rais wetu mpendwa mh Mama Samia Suluhu Hasssan ,na itaendelea kukaribisha na kuvutia wawekezaji hapa nchini kwa kuzingatia na kutanguliza mbele maslahi ya Taifa letu,kama ambavyo amekuwa akifanya wakati wote mh Rais na serikali yake.
Huyo ni mama wa Abdul sio mama yako kenge wewe....mwite raisi inatosha au unatamani adoption?
 
Back
Top Bottom