Dkt. Slaa akatalika kila mahali na kutengwa na kila mtu


Lucas Hebel mwashambwa ndugu yangu, unaogelea maji mafu, utazama.

Kwa jinsi unayempamba, kila bandiko lako, humu JF, ni mfu maji kama wewe. Kama bado unaamini ni kiongozi bora, mpe ushauri ufuatao.

Rais amrudushie Dr Slaa, heshima yake ya Balozi. Kwa jinsi alivyojipambanua kwenye suala la uwekezaji bandari, kwa mkataba mbovu kabisa, ambao Serikali inawajibika kulinda haki za mwekezaji, ambazo pia zinapingana na Katiba, Sheria, Kanuni na Taratibu za nchi (soma kiambatanisho), ni habari nyingine kisiasa. Iwapo atasimamishwa na chama cha siasa cha upinzani, hakuna shaka kabisa CCM itafia mikononi mwake huyo unayempamba.

Na imeandikwa katika Biblia Mithali 14:1 Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
View attachment 2737549
 
Dr Slaa hana huo uwezo wa kumtikisa wala kumpa changamoto ya aina yoyote ile katika sanduku la kura Rais wetu mpendwa mama samia suluhu Hasssan. Hakuna mtanzania anayeweza mpatia kura yake Dr Slaa na hakuna chama chenye wafuasi wengi hapa nchini kinachoweza mpatia Dr Slaa Nafasi ya kugombea urais wa Tanzania. Rais samia anakubalika na kupendwa sana na watanzania.Mayendo na kauli zake ndizo zimemponza Dr Slaa mpaka kupokonywa hadhi ya ubalozi.Asione aibu kuomba msamaha kwa Taifa letu na Rais wetu ili asamehewe .huwezi kuendelea kushikilia hadhi ya ubalozi wakati kauli zako zinahatarisha usalama wa Taifa letu na kuchochea machafuko hapa nchini. Hakuna yeyote na kiongozi wa aina yoyote ile ambaye angeweza kumvumilia Dr Slaa kwa hatua aliyokuwa amefikia.
 
Unaposema anapigania kanisa katoliki baasi una maana gani? Hili suala la Bandari ni la kanisa katoliki? Kama sio, how come you generalize kuwa siku zote anapigania kanisa lake wakati sio kweli? Nyie ndio wapotoshaji kuwa Samia anakosolewa kwa sababu ni muislamu which is very shallow: wewe ulivyokuwa unamkosoa Mkapa ulifanya hivyo kwasababu hakuwa dini yako? Acha kujivunjia heshima uzeeeni!
 
Ww unatakiwa ufukuzwe CCM au upewe katazo unamuaribia maza
 
ccm kazini
 
kama ni uzalendo basuii ni huu wa Dr Slaa.
Kama ni ukweli Dr kaamua kuutetea ukweli.
kama ni ushujaa, Dr ni shujjaa.

Unapoamua kupambana na "shetani" hutakiwi kuangalia utapoteza nini!
 
Na sisiemu wasipokunyofoa unawatengenezea kaburui 2025. Hoja zako ni za kujenga chuki na wananchi. Kitu ambacho ccm wanatakiwa kuki-avoid nyakati hizi. Hv hampewi semina huko unajiandikia utumbo hovyo!
Naona wewe ndiye unajiandikia tu kwa kukurupuka tu.watanzania wanaendelea kuwa na imani na CCM kutokana na kazi kubwa iliyoifanya katika kuwapelekea maendeleo pasipo ubaguzi wala upendeleo wa aina yoyote ile.
 
Kanisa lipi
 
Naona wewe ndiye unajiandikia tu kwa kukurupuka tu.watanzania wanaendelea kuwa na imani na CCM kutokana na kazi kubwa iliyoifanya katika kuwapelekea maendeleo pasipo ubaguzi wala upendeleo wa aina yoyote ile.
Ww ni mole,traitor. Sijui kwanini fisiemu hawajakugundua muda wote
 
Hata wewe unampenda Samia kwakuwa ana madaraka, Siku yakiisha wewe na wenzako mtamkimbia.
Kama Dkt Slaa angewasifia kwenye uharamia wenu angekuwa kipenzi cha Rais na nyinyi wapambe wake. Ukitaka ujue, rejea alipojiondoa Chadema mlimuona mwema kwakywa alikuwa anatimiza lengo lenu la kijinga la kuvuruga upinzani, leo kawaambia ukweli mnataka kuaminishana huyo ni adui wa nchi nzima.
Hayati Magufuli alipigiwa kura zote za ndio na CCM akiwemo Makamba Senior, ilaakipokufa ndio tuligundua kumbe mzee wa watu alistahili kupata kura nusu yake, tena hata ya Samia huenda asingeistahili.
CCM ni adui wetu mkubwa na sio Dkt Slaa.
 
Wee mzee mbona mchezo pendwa ni sunna huko kwenu?
Jisomee:

 
Ngoja nilijadili katika levels ulizochagua kuzicheza.
Je, lipoondoka CCM na kujiunga na CHADEMA, Je, CHADEMA ilikua chini Mkatoliki gani?
Alipovunja kiapo chake cha Sakrament ya Upadre?
Akafunga ndoa ya Kanisa?
Alipovunja kiapo chake cha Sacrament ya Ndoa?
Alipoachana na uumini kwa Kanisa Katoliki na kujiunga kuwa muumini kanisani kwa Gwajima?
Alipoenda Canada akafunga ndoa kwenye Kanisa lingine.
Je, huko ndiyo unaita kulipigania Kanisa? Kanisa lipi?
 
Your imagination is on a wild run.
 
Huwa sikisii kabisa.

Hana heri kabisa huyo mzee, kama unabisha mkaribishe siku moja tu nyumbani kwako, uje kutowa majibu.

Jiulize kwanini?

Mimi jibu nnalo. Muulizeni Josefina.

Msinisemeshe mengi.
Najua wewe ulikuwa humpendi tangu zamani, itabidi tukuunhe mkono maana hata mie keshanikera
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…