Ona huyu naye. Sasa asipoeleweka kwa watu wa kawaida anakua ameongea nini? Umeambiwa kuwa alikuwa akiwaelezea wasomi? Acha kukurupuka dogo. Slaa ni mnafiki tu hakuna namna.Wengi hawajamuelewa Slaa, elimu yetu bado haijalisaidia Taifa kuzalisha wasomi wenye uwezo wa kuchanganua mambo.
Slaa yuko sahihi kabisa.