Ona huyu naye. Sasa asipoeleweka kwa watu wa kawaida anakua ameongea nini? Umeambiwa kuwa alikuwa akiwaelezea wasomi? Acha kukurupuka dogo. Slaa ni mnafiki tu hakuna namna.Wengi hawajamuelewa Slaa, elimu yetu bado haijalisaidia Taifa kuzalisha wasomi wenye uwezo wa kuchanganua mambo.
Slaa yuko sahihi kabisa.
TATIZO LA HUYU MZEE NI UNAFIKI MBONA MAGUFULI ALIPOKUWEPO HUKUYASEMA HAYA[emoji116]View attachment 2470528
Anadhani labda tumesahau, watanzania wa sasa sio mambumbumbu kwamba hatutunzi kumbukumbu.Maajabu hayataisha duniani. Muda mwingine ni bora mtu akabaki kimya tu. Japo namkubali sana huyu jamaa ila sidhani kama alikuwa kwenye position ya kusema haya maana na yeye alikuwa ni mtu wa kuunga mkono kila jambo.
Ni nani aliyethubutu kuzungumza chochote wakati wa JPM?Kwanini wakati wa jpm hakuzungumza haya..
Huoni kama ni mnafki kama wanasiasa wenzake
Ova
Kumbuka anayo haki kama haki ya kuongea na kutoa mawazo na maoni yake hivo kupinga maoni yake huo ni wendawazimu na kuingilia maoni ya mtu mwingineHalina hata aibu kufungua domo lake Leo wakati wote wa Magufuli alikuwa kimyaa akiunga mkono kilakitu
Kwahiyo na Ben Saanane hakupotea Kwa sababu hakuna taarifa ya polisi inasema hakupotea?
Sijasema JPM alikuwa sahihi kwenye sheria, nimesema amri ya rais ni sheria, hata kama amri hiyo sio amri halali!.Kama Magufuli alikuwa sahihi katika Sheria kwanini uliuliza swali pale Ikulu.
Kwanini tenapenda kutenda dhambi kwenye sheria.
Kuliko lowasa?!Ndio alitaka tumpe Urais?
Huyu angetuuza!!!!
huyu kila kitu anachofanya huwa hafanikiwi....upadre ukamshinda....ndoa ikamshinda.....kulea familiakumemshinda.....kimada wake josefini anamshindwa.....uccm ukamshinda.....uchadema ukamshinda....upinzani ukamshinda.....yupoyupo tuHUyu chawa wa JPM anasemaje! Nimemchukia huyu kiazi upeo!
Hasa alipoongozwa na delilah kufanya maamuzi ya usaliti
Hasa alipoanzisha spinning kuwa TAL alipigwa risasi na wenzake chadema
Hasa alipoanza upuuzi wa kusema Mbowe ni gaidi.
He is simply rubbish especially after getting a curse when he broke his vow of celibacy!
Dr Slaa amemshutumu pia aliyepo, Kwa kuzuia Mikutano Kwa miaka 2.Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Kumbe Ni mshenzi wa kiwango Cha lami? Halafu eti hamkubali Lowasa.Anao alizaa na rose kamili wakati akiwa bado padre wa kanisa.
Na pia alizaa na mshumbusi mmoja
Mtu asie na maadili Wala principles.
Hapa ndio maana tunasema Katiba yetu ni mbovu, kama amri ya rais ni sheria kuna siku tutapata rais kama Magufuli ambaye atatoa amri mimi au wewe tupingwe risasi 16.Sijasema JPM alikuwa sahihi kwenye sheria, nimesema amri ya rais ni sheria, hata kama amri hiyo sio amri halali!.
Rais alipozuia mikutano ya vyama vya siasa japo ilikuwa ni amri batili, lakini ilitekelezwa. Mamlaka pekee ya kusema amri ile ni batili, ni Mahakama Kuu, kwa vile hakuna yeyote aliyeiulizia amri hii batili, hivyo ubatili wake haukuwahi kuondolewa hadi hisani ya Mama ilipo uondoa
P.
Alivyomkula wewe umefaidika nini?Huyu mzee bwege sana ndiyo maana yule mlinzi wake Khalid Kagezi alikuwa anamkula yule mchumba Jose.
Ipo siku yatakufikaNdo tatizo ya akili ndogo we tuletee katazo Hilo harafu ndo uje na maneno Yako hayo machafu