Angeukataa na huo ubalozi wa kununuliwa.Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Hivi bado ni balozi huyu?Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Umeandika Mambo ya msingi. Hakuna official documents iliyokataza mikutano ya hadhara. Kama ilikuwa inaweza kufanyika kila kitu kwa mdomo, uteuzi ungefanyika kwa mdomoKwanza Magufuli hakukataza iyo mikutano ya hadhara ila alibadilisha mfumo kuwa Kila mtu afanye sehemu yake ya Jimbo lakini hoja ya Dr. Ni kwamba kwa ngazi ya Rais lazima kuwepo na official document ya Hilo tamko ndo hata Rais mwingine anaweza kuliondoa Sasa wote wawili wametoa tamko la mdomo then who know kesho uyo Rais ataamua nn kama nchi haitakiwi kufurahia tu Kila jambo au kulaumu kwa Kila jambo huu ujinga kunasiku utatukosti sana
Huyu mzee ameshakosa mwelekeo bora angekaa kimya kulinda heshima yake. Kipindi Magufuli akiwa hai mbona hakunyanyua mdomo wake na aliufyata hatimaye akapewa ulaji. Sikutegemea angekuwa mtu wa dizaini hii, hawa wazee ni aibu sasa watabaki kutukanwa na watoto wadogo.Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Nitajie raisi hata mmoja wa Tanzania mwenye mikono Safi.Qur'an inasema ukiua mtu mmoja ni sawa na kuua watu wote,imagine wewe ndiyo ungekua Ben saanane!?..imagine feeling za wazazi,ndugu nk
Anao kuna mmoja wa Kike bonge kishenzi nilikuwa namuona wakati anaishi Sinza miaka hiyo.Hivi Slaa anamtoto?
Weka document official inayoinesha katazoKama hakukuwa na katazo nini kiliwazuia wasifanye?
Aliwasaliti wapialishatumika kama KONDOMU siku ile alipowasaliti wenzake umbwa huyu...sasa imetupwa hukoo
Bora aende NCCR Mageuzi. Kwani CHADEMA mmejimilikisha kiasi cha kuraAtaenda Kule nccr kimkakati Ili kugawa kura za Chadema KABLA ya 2025!
Nccr ya SASA ni mchezo wa system kupitia selasini!
Itatumika kama neutralizing agent!
Slaa amrudishie Magu zile pesa walizo mhonga ili akimbie Chadema. Shida yote hii iliyo tupata utawala wa Magu Slaa na Pengo hawawezi kukwepa lawama. Mingubata wahukumu sawasawa na matendo yao.Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Tunazungumzia kuua siyo rais wa tz mwenye mikono safiNitajie raisi hata mmoja wa Tanzania mwenye mikono Safi.
Bado anatafuta uteuzi?Dkt. Slaa anasema katazo la Magufuli lilikuwa null void ab initio.
Yaani ni agizo haramu na halina tofauti na agizo ambalo halikuwepo.
Msikilizeni Dr hapa chini.
Sikiliza Clip nzima mwenyewe. Usitegemee uchambuzi wa mleta mada peke yake.Slaa anakunywa maji gani?’ Au ana import kutoka Kijiji pendwa kule Kagera?
[emoji38][emoji38][emoji38] alishawahi kusema hata Canada watu wanapigwa risasi , kwahiyo tusishangae Lissu kushambuliwaMnafiki sana huyu mzee.
Huyo Slaa panapomfaa ni hukohuko aliko, loyalty kwanza huo upuuzi unaouita hoja ndiyo mambo ya kuwa na [emoji216]serpent kundini.Nafurahi Kumuona DR SLAA kurudi ulingoni,
CDM na vyama vingine na CCM hayupo mwenye capacity ya kujenga HOJA na kuzitetea wa level ya Dr Slaa.
Nashauri CDM waridhiane naye na kumrudisha chamani,
Mbatia akifanikiwa kurudi chamani na kufanikiwa kumkaribisha Dr Slaa na Covid 19, wataweza kupata majimbo kadhaa.
Sana kuliko Lowassa.Kuliko lowasa?!
Bado haihalalishi mauaji ya Saa8 and others.Nitajie raisi hata mmoja wa Tanzania mwenye mikono Safi.