Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Dkt. Slaa anadaiwa kusafirishwa Usiku huu (August 14, 2023) kuelekea Mbeya

Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
Mhaini huyo

View: https://twitter.com/kigogo2014/status/1691062945491394560?t=HmfGLXsu4LgHkH78MHha4A&s=19
 
Haya yanayoendelea kufanyika Tanzania Wajukuu zetu watakuja kuyakojolea makaburi yetu,Kila kiongozi anajiuliza atapata lini nafasi ya juu zaidi ili aendelee kutunisha mfuko wake...Ugumu wa maisha tulio nao hadi sasa umesababishwa na mikataba ya Ovyo iliyosainiwa na viongozi waliopita kabla..

Rasilimali zetu ngapi zinachukuliwa na kusafirishwa moja kwa moja bila kuleta pato kwa Taifa na hatusemi kitu,,,Watu husema jambazi mwenye silaha akikuvamia,wewe fanya tu anachosema ili uyanusuru maisha yako,Tukubali tu kwamba tayari tumefeli kuitetea Nchi yetu,asilimia karibu 98 ya Raslimali zilizopo nchini sio zetu(Zimebinafsishwa),Tukae tu kimya kunusuru maisha yetu,mifano ndo kama hii tunayoiona,kila anayejaribu kusimama kutetea taifa anakatwa Miguu ili kututisha tulioko nyuma yake...

Nchi yetu hii kujifanya Hero(Shujaa) wa Taifa,,unapotea na hauchukui muda unasahaulika.....na kweli Tunamkumbuka mzee
🗑️🗑️
 
kwanza nijibu Zanzibar ni nchi au NI mkoa!?
KAMA ukijibu ni nchi Basi Tanganyika ipo , na Kama ww sio mzanzibar Basi mm na ww ni watanganyika , tuungane kulinda raslimali za Tanganyika yetu. Hiyo Tanzania unayoisema ipo ki ceremonial tu .
Zanzibar siyo mkoa bali ni sehemu ya Tanzania ambayo ina autonomous power.

Mimi siyo Mzanzibar na siyo Mtanganyika kwa sababu hata Passport yangu na NIDA vinaonyesha mimi ni Mtanzania
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tunayokunong'oneza kutoka kwenye vyanzo vyetu vya Uhakika zinadai Kwamba Balozi Dkt. Wilbrod Slaa ambaye ni miongoni mwa Watetezi wa Bandari za Tanganyika, anasafirishwa Usiku huu kuelekea Mbeya, kwa lengo la kuunganishwa na 'wahaini' wenzake ili wafikishwe Mahakamani .

Utetezi wake wa Mali za Tanganyika umempa kesi ya Uhaini .

----
Update

Wakili wa Dkt. Slaa amtafuta
Baada ya kutokea kwa tetesi za Dkt. Slaa kusafirishwa na kuhamishiwa Mbeya JamiiForums imewasiliana na Wakili wake Dikson Matata ili kupata taarifa hii ambaye naye amesema:

Hizi tetesi zinaweza kuwa kweli kwasababu:

1. Walienda Oysterbay hawajamkuta, Mkuu wa kituo akawaambia amepelekwa Mbweni.

2. Wameenda Mbweni pia hawajamkuta.

Aidha, alipoulizwa kuhusu hatua gani itafuata baada ya kutopatikana kwa Dkt. Slaa Wakili Matata amesema:
G.

Wakishindwa kukupa ushirikiano unaenda mahakamani kufungua maombi ya kulazimisha aletwe mahakamani na polisi (habeas corpus)

Ni maombi ambayo mahakama inalazimisha jeshi la polisi kumleta mtuhumiwa mahakamani ili awe dealt with kwa mujibu wa sheria.
Good, wanyongwe haraka
 
Ni nani wameturudisha zama za Magufuli? Nadhani ni hawa ambao wanashindwa kutumia vizuri uhuru wao kujieleza. Huwezi kuhamasisha watu waandamane kupindua serikali halafu vyombo vya dola vikukalie kimya!!
Ni lini walitaka watu wapindue serikali???
 
Ile clip umeiona ya mtangazaji anamhoji Nini kifanyike? Naanza kuogopa kidogo kama siyo sana.
Mdude Hana hatua ana advocate maandamano, ataratinu maandano. Kuratibu includes kuomba Vibali nk nk. Kwenye Majaji wa caliber ya juu, huyu ataachiwa huru.
 
Wadau, kwa mujibu wa Sauti ya Ujerumami (DW) mchana wa leo imedai Padri, Balozi Dr. Wilbroad Peter Slaa amehamishiwa jijini Mbeya ili kuunganishwa na wenzie Boniface na Mdude. Taarifa za ndani zinadai Slaa amesafirishwa kwa elikopta ya JWTZ alfajiri ya kuamkia leo!
 
Back
Top Bottom