Huyu jamaa si alisema wananchi hawataki mambo ya katiba bali wanataka maendeleo? Nini limebadilika
Aiseeeee !!!Kwa hiyo unapendekeza aliwe kichwa? Linazungumzika.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Kila jambo na wakati wake !!Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
Mambo ya Si-hasa za Dunia ya tatu !!Huyu jamaa si alisema wananchi hawataki mambo ya katiba bali wanataka maendeleo? Nini limebadilika
Rais Samia hana nia ya kuleta katiba mpya. Uhtaji na uharaka wa kupata katiba mpya hauendani na kasi ya kusuasua ya rais Samia ktk suala hili.sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Huyu mzee atulie tu anajiaibisha
Slaa ni mdini sana kkenge huyo
Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
🤣🤣🤣🤣🤣Nani hakuufyata? Mashujaa wetu si walikimbia nchi kabisa [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Wangekuwa samaki tungewaita bungulusi Ila ujue wapo watu humu kazi yao ni hiyo ikija hoja ya maana wanaleta ujinga mwingi,ili tu ionekane Haina maana,wao wanalipwa Chao, hiyo ndio kula yao usiwalaumu sanaDr Slaa katoa hoja ya Msingi, ila watu wamekazana kumjadili yeye.hivi nchi ina watu gani hii
🤣🤣🤣🤣 Akikujibu nitagWanapotafuna kina mbowe ,lema na Lisu nao si hao wamekaa kimya,full mapambio ya kumsifu mama
Mbowe anapigania nini?Kabisa anapigania tumbo lake tu
Ova
Kwani sasa hivi Chadema wanapiga kelele kuhusu uongozi wa Mama?Wakati wa yule bwana wake amempa ubalozi alitulia sasa bwana amekufa anaanza kelele, mizee kama hii ilokosa akili inakuwaga mijinga sana.
duh kwakuwa kakosa ubalozi? hivi yule mkewe dogodogo alirudi nae?
Dr. Slaa ambaye aliteuliwa na Dr. Magufuli kuwa Balozi na ambaye sasa amestaafu, amejitokeza hadharani kuipinga kamati ya haki Jinai huku akiitupia lawama serikali kwamba inawacheza shere wananchi .
Amedai kwamba kuleta Tume ya Haki Jinai katikati ya Mjadala wa Katiba mpya ni mbinu ya kupoteza muda, kwa sababu yote yanayojadiliwa kwenye Tume ya Haki Jinai ni lazima yawemo kwenye Katiba Mpya , sasa badala ya kujaza Matume yote haya kwanini jambo hili lisingeingizwa tu kwenye Katiba mpya?
Kama upo kwenye fungate la maridhiano, kamwe uwezi kumuelewa huyu Mzee.Huyu mzee atulie tu anajiaibisha
Kama upo kwenye fungate la maridhiano, kamwe uwezi kumuelewa huyu Mzee.Ndio kakumbuka haya sasa hivi. Alipokuwa Canada aliufyata kimya.
😂Nani hakuufyata? Mashujaa wetu si walikimbia nchi kabisa [emoji1787]
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app